Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mauaji ya Kimbari

  • Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

    Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

    May 15, 2025 22:46

    Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda huo hususan wanawake na watoto si tu kwamba kumeibua mijadala ya upinzani na kulaaniwa kimataifa kitendo hicho, bali hata nchi za Ulaya zimekuwa zikiukosoa utawala huo ghasibu kwa hatua zake hizo za kikatili.

  • Je, dunia itabaki kuwa mtazamaji pekee wa mauaji ya kimbari Gaza?

    Je, dunia itabaki kuwa mtazamaji pekee wa mauaji ya kimbari Gaza?

    May 01, 2025 09:47

    Ukanda wa Gaza uko katika janga kubwa la kibinadamu. Katika miezi iliyopita, kushadidi mzingiro wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo sambamba na mashambulizi ya mara kwa mara ya angani na nchi kavu, na vizuizi vikali vya misaada ya kibinadamu vilivvyowekwa na utawala huo wa Kizayuni vimeharibu si tu miundombinu ya msingi ya eneo hilo, bali pia vimeweka hatarini matumaini ya kuendelea kuishi kwa malaki ya raia wa Palestina.

  • Microsoft inashirikiana na Israel katika mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Microsoft inashirikiana na Israel katika mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

    Apr 22, 2025 22:40

    Hatua ya Ibtihal Aboussad mhandisi wa nchini Morocco ya kupanda jukwaani na kumshutumu Mustafa Suleyman Mkuu wa Kitengo cha Akili Bandia AI cha Kampuni ya Microsoft imegonga vichwa vya habari duniani.

  • UN, EU zataka kusitishwa vita Gaza huku Israel ikifanya mashambulizi mapya

    UN, EU zataka kusitishwa vita Gaza huku Israel ikifanya mashambulizi mapya

    Mar 22, 2025 01:02

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimetoa wito wa kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, huku Israel ikianzisha tena vita vya mauaji ya kimbari kwenye ukanda huo.

  • Mkuu wa IEBC aliyesimamia uchaguzi wa kwanza Kenya kubatilishwa na mahakama afariki

    Mkuu wa IEBC aliyesimamia uchaguzi wa kwanza Kenya kubatilishwa na mahakama afariki

    Feb 21, 2025 07:25

    Wafula Wanyonyi Chebukati, aliyesimamia uchaguzi wa urais uliobatilishwa na Mahakama mwaka 2017 na 2022 ulioigawanya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ( IEBC) amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 63.

  • UN yatahadharisha mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka hadi Ukingo wa Magharibi

    UN yatahadharisha mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka hadi Ukingo wa Magharibi

    Jan 22, 2025 23:21

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina ametahadharisha kuwa mauaji ya kimbari ya Israel yanaweza kupanuka kutoka Gaza hadi Ukingo wa Magharibi, kwa kuzingatia operesheni kubwa ya kijeshi inayoendelea kufanywa na utawala huo ghasibu katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin.

  • Tunisia yatoa wito wa kufikishwa mahakamani maafisa wa Israel kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza

    Tunisia yatoa wito wa kufikishwa mahakamani maafisa wa Israel kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza

    Jan 20, 2025 07:51

    Tunisia imetangaza kuwa, makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza hayapaswi kufunika jukumu la kuwafungulia mashtaka na kuwahukumu maafisa wa Kizayuni wa Israel kwa kosa la kufanya uhalifu wa mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • Mwanahistoria wa Kizayuni naye pia athibitisha kuwa Israel inafanya mauaji ya kimbari Ghaza

    Mwanahistoria wa Kizayuni naye pia athibitisha kuwa Israel inafanya mauaji ya kimbari Ghaza

    Dec 10, 2024 08:34

    Mwanahistoria wa Israel anayetajika kimataifa Lee Mordechai ametoa hitimisho kuwa utawala huo wa Kizayuni unafanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Ghaza, baada ya kuandaa ripoti ndefu ya kitaalamu inayobainisha orodha ya uhalifu wa kivita uliofanywa tangu uvamizi wa Israel dhidi ya eneo hilo ulipoanza Oktoba 7 mwaka jana kufuatia kufuatia Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa na harakati ya Hamas.

  • Ujerumani; Kuanzia historia yake ya giza hadi kuunga mkono Israeli katika vita vya Gaza

    Ujerumani; Kuanzia historia yake ya giza hadi kuunga mkono Israeli katika vita vya Gaza

    Nov 28, 2024 05:31

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki ambachao kinazungumzia uungaji mkono usio na kikomo wa Ujerumani na kushirikiana kwake na utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Gaza.

  • Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan

    Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan

    Oct 27, 2024 07:40

    Mashambulizi yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko kaskazini na mashariki mwa jimbo la Gezira nchini Sudan yametajwa na taasisi ya kieneo ya Gezira Conference kuwa ni mauaji ya halaiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS