• Syria na kukaribia kufanyika mazungumzo ya Geneva

    Syria na kukaribia kufanyika mazungumzo ya Geneva

    Mar 13, 2016 06:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid al-Muallem amekosoa matamshi yaliyotolewa na Staffan de Mistura, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria na kusisitiza kuwa serikali ya Damascus inaendelea kuheshimu makubaliano ya usitishaji vita.

  • Wanajeshi watatu wauawa kaskazini mwa Mali

    Wanajeshi watatu wauawa kaskazini mwa Mali

    Feb 24, 2016 13:30

    Watu wenye silaha wamefanya shambulio katika eneo la kaskazini mwa Mali na kuua wanajeshi watatu wa nchi hiyo.