-
Rais al Assad: Siasa za Marekani ni za kutoa vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi
Sep 06, 2018 02:57Akizungumza na Seneta wa jimbo la Marekani huko Damascus mji mkuu wa Syria, Rais wa Syria Bashar al Assad amesema kuwa hatua ya kutekeleza siasa za vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi ni moja ya sifa kuu za Marekani.
-
Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib
Sep 04, 2018 02:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa suala kuu lilogubika kikao cha pande tatu cha viongozi wa Iran, Russia na Uturuki mjini Tehran lilikuwa kuhusiana na kukombolewa mkoa wa Idlib.
-
Radiamali ya Russia kwa njama mpya za Marekani dhidi ya Syria
Aug 29, 2018 04:35Russia imeonya kuhusu taathira za njama na hatua zozote za kijeshi zitakazochukuliwa na Marekani na waitifaki wake dhidi ya Syria.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran atembelea mji wa Halab Syria kukagua vita dhidi ya ugaidi
Aug 28, 2018 13:49Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami ametembelea mjiHalab (Aleppo) la kaskazini mwa Syria na kuwkagua mchakato wa kuwatimua magaidi katika mji huo.
-
Spika wa Bunge la Syria: Iran itakuwa pamoja na Syria katika kuikarabati nchi hiyo
Aug 28, 2018 03:32Spika wa Bunge la Syria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama ambavyo tangu mwanzoni mwa mgogoro wa nchi hiyo ilikuwa pamoja na wananchi na serikali ya Damascus, itashiriki pia katika ukarabati wa taifa hilo.
-
Syria yalaani ripoti ya Wamagharibi kuhusu silaha za kemikali
Aug 24, 2018 08:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani vikali taarifa ya pamoja ya Marekani, Ufaransa na Uingereza kuhusiana na tuhuma bandia dhidi ya Damascus kwamba, imetumia silaha za kemikali.
-
Bashar al-Assad alilikataa pendekezo la Saudia la kujengwa upya Syria kwa kuvunja uhusiano na Iran na Hizbullah
Aug 23, 2018 01:39Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon amesema, rais wa Syria hakulikubali pendekezo la Saudi Arabia la kuijenga upya nchi hiyo mkabala wa Syria kuvunja uhusiano wake na Hizbullah na Iran.
-
Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria
Jul 26, 2018 03:03Tangu mwezi Disemba mwaka 2015 Russia ilituma majeshi katika nchi ya Syria kwa ajili ya kupambana na makundi ya kigaidi na vilevile kuisaidia serikali halali ya nchi hiyo.
-
Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel
Jul 24, 2018 03:23Sambamba na jeshi la Syria kuimarisha mzingiro dhidi ya makundi ya kigaidi kusini mwa nchi hiyo, makamanda wa makundi hayo na kupitia taa ya kijani ya utawala wa Kizayuni, wamekimbilia upande wa jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita
Jul 22, 2018 03:26Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mke wake wametembelea familia za mashahidi na majeruhi wa vita wanaoishi katika kambi ya Abenau Nasr, katika kijiji cha al-Zainat cha mji wa Masyaf, magharibi mwa nchi hiyo.