Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Rais al Assad: Siasa za Marekani ni za kutoa vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi

    Rais al Assad: Siasa za Marekani ni za kutoa vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi

    Sep 06, 2018 02:57

    Akizungumza na Seneta wa jimbo la Marekani huko Damascus mji mkuu wa Syria, Rais wa Syria Bashar al Assad amesema kuwa hatua ya kutekeleza siasa za vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi ni moja ya sifa kuu za Marekani.

  • Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib

    Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib

    Sep 04, 2018 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa suala kuu lilogubika kikao cha pande tatu cha viongozi wa Iran, Russia na Uturuki mjini Tehran lilikuwa kuhusiana na kukombolewa mkoa wa Idlib.

  • Radiamali ya Russia kwa njama mpya za Marekani dhidi ya Syria

    Radiamali ya Russia kwa njama mpya za Marekani dhidi ya Syria

    Aug 29, 2018 04:35

    Russia imeonya kuhusu taathira za njama na hatua zozote za kijeshi zitakazochukuliwa na Marekani na waitifaki wake dhidi ya Syria.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran atembelea mji wa Halab Syria kukagua vita dhidi ya ugaidi

    Waziri wa Ulinzi wa Iran atembelea mji wa Halab Syria kukagua vita dhidi ya ugaidi

    Aug 28, 2018 13:49

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami ametembelea mjiHalab (Aleppo) la kaskazini mwa Syria na kuwkagua mchakato wa kuwatimua magaidi katika mji huo.

  • Spika wa Bunge la Syria: Iran itakuwa pamoja na Syria katika kuikarabati nchi hiyo

    Spika wa Bunge la Syria: Iran itakuwa pamoja na Syria katika kuikarabati nchi hiyo

    Aug 28, 2018 03:32

    Spika wa Bunge la Syria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama ambavyo tangu mwanzoni mwa mgogoro wa nchi hiyo ilikuwa pamoja na wananchi na serikali ya Damascus, itashiriki pia katika ukarabati wa taifa hilo.

  • Syria yalaani ripoti ya Wamagharibi kuhusu silaha za kemikali

    Syria yalaani ripoti ya Wamagharibi kuhusu silaha za kemikali

    Aug 24, 2018 08:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani vikali taarifa ya pamoja ya Marekani, Ufaransa na Uingereza kuhusiana na tuhuma bandia dhidi ya Damascus kwamba, imetumia silaha za kemikali.

  • Bashar al-Assad alilikataa pendekezo la Saudia la kujengwa upya Syria kwa kuvunja uhusiano na Iran na Hizbullah

    Bashar al-Assad alilikataa pendekezo la Saudia la kujengwa upya Syria kwa kuvunja uhusiano na Iran na Hizbullah

    Aug 23, 2018 01:39

    Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon amesema, rais wa Syria hakulikubali pendekezo la Saudi Arabia la kuijenga upya nchi hiyo mkabala wa Syria kuvunja uhusiano wake na Hizbullah na Iran.

  • Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria

    Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria

    Jul 26, 2018 03:03

    Tangu mwezi Disemba mwaka 2015 Russia ilituma majeshi katika nchi ya Syria kwa ajili ya kupambana na makundi ya kigaidi na vilevile kuisaidia serikali halali ya nchi hiyo.

  • Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel

    Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel

    Jul 24, 2018 03:23

    Sambamba na jeshi la Syria kuimarisha mzingiro dhidi ya makundi ya kigaidi kusini mwa nchi hiyo, makamanda wa makundi hayo na kupitia taa ya kijani ya utawala wa Kizayuni, wamekimbilia upande wa jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita

    Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita

    Jul 22, 2018 03:26

    Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mke wake wametembelea familia za mashahidi na majeruhi wa vita wanaoishi katika kambi ya Abenau Nasr, katika kijiji cha al-Zainat cha mji wa Masyaf, magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS