-
Pamoja na Imam Hasan al Mujtaba AS (kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa kwake)
Jun 10, 2017 03:10Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Mwezi 15 Ramadhani ni siku inayosadifiana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Hasan al Mujtaba, mjukuu mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Makala maalumu kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Sajjad AS
May 01, 2017 09:52Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika dakika hizi chache za kipindi hiki maalumu ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Imam Ali bin Hussein Zainul Abidiin AS mmoja kati ya Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW.
-
Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuzaliwa Bibi Fatimatuz Zahra SA
Mar 18, 2017 09:37Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyolaziwa Bibi Fatma Zahra as, binti ya Mtukufu Mtume saw. Huku tukitoa mkono wa kheri, Baraka na fanaka tuna matumaini kwamba, mtanufaika nay ale niliyokuandalieni kwa manasaba huu.
-
Kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatimatuz Zahra SA
Feb 28, 2017 11:26Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra SA binti mtukufu wa Bwana Mtume SAW na mwanamke bora duniani na Akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema.
-
Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hassan al Askari AS
Dec 07, 2016 09:15Kwa mara nyingine leo tunakumbuka tukio la kuuawa shahadi mmoja wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume wa Mwenyezi Mungu SAW naye si mwingine isipokuwa ni Imam Hassan Askari AS. Siku kama ya leo mwaka 260 Hijiria, ulimwengu ulipatwa na huzuni ya kuondokewa na Imam Hassan Askari AS, ambaye ni miongoni mwa wajukuu wa Mtume Muhammad SAW.
-
Hekima na busara katika fikra za Imam Musa al Kadhim AS
Nov 06, 2016 18:20Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni mnasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa Imam Mussa al Kadhim AS. Ni matumaini yangu utakuwa nami hadi mwisho wa makala hii.
-
Hekima na busara katika fikra za Imam Musa al Kadhim AS
Sep 21, 2016 19:42Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni mnasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa Imam Mussa al Kadhim AS. Ni matumaini yangu utakuwa nami hadi mwisho wa makala hii.
-
Ghadir, hakika ing'arayo katika kitovu cha historia
Sep 19, 2016 10:43Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kuwa miongoni mwa wenye kushikamana na Wilaya ya Ali bin Abi Talib na kizazi chake kitoharifu na maasumu; na mpaka pale roho zetu zitakapokuwamo viwiliwilini mwetu tutaendelea kuishukuru neema hii kwa kuikariri aya ya 43 ya Suratul A'araf isemayo:" Alhamdulillah! Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye aliye tuhidi kufikia haya. Wala hatukuwa wenye kuhidika wenyewe ingelikuwa Mwenyezi Mungu hakutuhidi.
-
Fikra za Imam Hadi AS katika kubainisha Tauhidi na Uimamu
Sep 16, 2016 19:08Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujumuika nami katika kipindi hiki maalumu cha makala ya wiki ambacho kinakujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Hadi AS.
-
Utawala na uongozi katika fikra za kisiasa za Imam Baqir (as)
Sep 10, 2016 05:32Katika siku hizi ambapo mamilioni ya Waislamu wanaelekea katika ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya ibada ya Hija, jina la Mtume wetu Muhammad (saw) na Ahlu Baiti zake watoharifu linatajwa na kuhuishwa zaidi kuliko wakati wowote mwingine.