-
Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya
Dec 28, 2020 08:10Serikali ya Misri imetangaza kuwa, karibuni hivi itafungua tena ubalozi wake katika nchi jirani ya Libya.
-
Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu
Dec 19, 2020 03:00Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.
-
Misri kupokea ndege za kivita kutoka Russia kabla ya Biden kuingia White House
Dec 18, 2020 12:15Duru za habari za Misri zimearifu kuwa, serikali ya nchi hiyo inafanya jitihada ili kupokea awamu ya kwanza ya ndege za kivita kutoka Russia kabla ya kuingia White House Joe Biden Rais mteule wa Marekani.
-
Ijumaa, Disemba 18, 2020
Dec 18, 2020 02:55Leo ni Ijumaa tarehe 3 Mfunguo Nane Jamadil Awwal mwaka 1442 Hijria mwafaka na tarehe 18 Desemba 2020 Miladia.
-
Safari ya Rais wa Misri nchini Ufaransa na kupamba moto upinzani na malalamiko dhidi yake
Dec 10, 2020 01:28Safari ya hivi karibuni ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri nchini Ufaransa na mazungumzo aliyofanya na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo vimeibua hasira na malalamiko ya waungaji mkono wa haki za binadamu.
-
Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine
Dec 08, 2020 07:28Mashirika mengi ya haki za binadamu yamemtupia lawama chungu nzima Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri wakati huu wa ziara yake mjini Paris, Ufaransa.
-
Baada ya mashinikizo ya kimataifa, Misri yawaachia huru wanaharakati watatu wa haki za binadamu
Dec 04, 2020 06:45Serikali ya Misri imewaachia huru wafanyakazi watatu wa shirika kubwa la kutetea haki za binadamu nchini humo kufuatia mashinikizo ya kimataifa.
-
Misri yaionya Israel kwa hatua yake ya kuendeleza ujenzi wake wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Nov 27, 2020 02:30Serikali ya Misri imeuonya utawala haramu wa Israel kwa hatua yake ya kutaka kujenga vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
-
Serikali ya Misri yatakiwa kuwaachia huru wanaharakati 3 wa haki za binadamu
Nov 23, 2020 04:36Idadi kubwa ya wahadhiri wa vyuo vikuu na watetezi wa haki za binadamu kote ulimwenguni wamewataka viongozi wa serikali ya Misri iwaachie huru haraka iwezekanavyo wanachama watatu wa taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya nchini humo.
-
Misri na Sudan kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kukabiliana na Ethiopia
Nov 15, 2020 08:11Majeshi ya Misri yametoa taarifa kuhusu mpango wa kufanyika luteka na mazoezi ya pamoja ya anga ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Sudan katika anga ya Sudan.