Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia

    Dec 30, 2020 02:47

    Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.

  • Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari kwa waandishi habari mwaka 2020

    Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari kwa waandishi habari mwaka 2020

    Dec 29, 2020 02:39

    Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari sana kwa waandishi habari katika mwaka huu wa 2020.

  • Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya

    Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya

    Dec 28, 2020 04:40

    Serikali ya Misri imetangaza kuwa, karibuni hivi itafungua tena ubalozi wake katika nchi jirani ya Libya.

  • Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu

    Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu

    Dec 18, 2020 23:30

    Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.

  • Misri kupokea ndege za kivita kutoka Russia kabla ya Biden kuingia White House

    Misri kupokea ndege za kivita kutoka Russia kabla ya Biden kuingia White House

    Dec 18, 2020 08:45

    Duru za habari za Misri zimearifu kuwa, serikali ya nchi hiyo inafanya jitihada ili kupokea awamu ya kwanza ya ndege za kivita kutoka Russia kabla ya kuingia White House Joe Biden Rais mteule wa Marekani.

  • Ijumaa, Disemba 18, 2020

    Ijumaa, Disemba 18, 2020

    Dec 17, 2020 23:25

    Leo ni Ijumaa tarehe 3 Mfunguo Nane Jamadil Awwal mwaka 1442 Hijria mwafaka na tarehe 18 Desemba 2020 Miladia.

  • Safari ya Rais wa Misri nchini Ufaransa na kupamba moto upinzani na malalamiko dhidi yake

    Safari ya Rais wa Misri nchini Ufaransa na kupamba moto upinzani na malalamiko dhidi yake

    Dec 09, 2020 21:58

    Safari ya hivi karibuni ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri nchini Ufaransa na mazungumzo aliyofanya na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo vimeibua hasira na malalamiko ya waungaji mkono wa haki za binadamu.

  • Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine

    Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine

    Dec 08, 2020 03:58

    Mashirika mengi ya haki za binadamu yamemtupia lawama chungu nzima Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri wakati huu wa ziara yake mjini Paris, Ufaransa.

  • Baada ya mashinikizo ya kimataifa, Misri yawaachia huru wanaharakati watatu wa haki za binadamu

    Baada ya mashinikizo ya kimataifa, Misri yawaachia huru wanaharakati watatu wa haki za binadamu

    Dec 04, 2020 03:15

    Serikali ya Misri imewaachia huru wafanyakazi watatu wa shirika kubwa la kutetea haki za binadamu nchini humo kufuatia mashinikizo ya kimataifa.

  • Misri yaionya Israel kwa hatua yake ya kuendeleza ujenzi wake wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Misri yaionya Israel kwa hatua yake ya kuendeleza ujenzi wake wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Nov 26, 2020 23:00

    Serikali ya Misri imeuonya utawala haramu wa Israel kwa hatua yake ya kutaka kujenga vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS