-
Serikali ya Misri yatakiwa kuwaachia huru wanaharakati 3 wa haki za binadamu
Nov 23, 2020 01:06Idadi kubwa ya wahadhiri wa vyuo vikuu na watetezi wa haki za binadamu kote ulimwenguni wamewataka viongozi wa serikali ya Misri iwaachie huru haraka iwezekanavyo wanachama watatu wa taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya nchini humo.
-
Misri na Sudan kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kukabiliana na Ethiopia
Nov 15, 2020 04:41Majeshi ya Misri yametoa taarifa kuhusu mpango wa kufanyika luteka na mazoezi ya pamoja ya anga ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Sudan katika anga ya Sudan.
-
Al Azhar: Itungwe sheria ya kutambua hujuma dhidi ya Uislamu kuwa ni uhalifu
Oct 28, 2020 23:25Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.
-
Baada ya vitisho vya Trump IGAD yataka mazungumzo ya Ethiopia na Misri kuhusu bwawa
Oct 26, 2020 03:48Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Mashariki mwa Afrika (IGAD) limehimiza mazungumzo yafanyike na mwafaka ufikiwe ili kuleta suluhu kuhusu kadhia ya bwawa kubwa linalojengwa na Ethiopia kwenye Mto Nile linalojulikana kama Grand Renaissance Dam (GERD).
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia: Matamshi ya Trump kuhusu bwawa la Renaissance ni ya kihalifu
Oct 25, 2020 08:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la Renaissance kuwa ni jinai na uhalifu.
-
Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump
Oct 24, 2020 11:11Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.
-
Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi
Oct 11, 2020 08:32Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kwa uchache watu elfu mbili wametiwa mbaroni katika maandamano ya kupinga utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ndani ya siku 20 zilizopita.
-
Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi
Oct 05, 2020 04:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amefanya mazungumzo na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa na kutilia mkazo udharura wa kupambana vilivyo na kikamilifu na magenge ya kigaidi nchini Syria.
-
Amnesty yaitaka serikali ya Misri kusitisha ukandamizaji wa wapinzani
Oct 03, 2020 23:15Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kukomesha ukandamizaji dhidi ya wapinzani.
-
Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha
Oct 01, 2020 07:04Kamanda wa Jeshi la Anga la Ethiopia amekariri tena kwamba nchi yake ina uwezo wa kuziuia shambulizi lolote dhidi ya bwawa na Renaissance (al-Nahdha) linalojengwa juu ya maji ya Mto Nile ambalo limesababisha mgogoro mkubwa baina ya nchi hiyo na nchi za Misri na Sudan.