Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Al Azhar: Itungwe sheria ya kutambua hujuma dhidi ya Uislamu kuwa ni uhalifu

    Al Azhar: Itungwe sheria ya kutambua hujuma dhidi ya Uislamu kuwa ni uhalifu

    Oct 29, 2020 02:55

    Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.

  • Baada ya vitisho vya Trump IGAD yataka mazungumzo ya Ethiopia na Misri kuhusu bwawa

    Baada ya vitisho vya Trump IGAD yataka mazungumzo ya Ethiopia na Misri kuhusu bwawa

    Oct 26, 2020 07:18

    Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Mashariki mwa Afrika (IGAD) limehimiza mazungumzo yafanyike na mwafaka ufikiwe ili kuleta suluhu kuhusu kadhia ya bwawa kubwa linalojengwa na Ethiopia kwenye Mto Nile linalojulikana kama Grand Renaissance Dam (GERD).

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia: Matamshi ya Trump kuhusu bwawa la Renaissance ni ya kihalifu

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia: Matamshi ya Trump kuhusu bwawa la Renaissance ni ya kihalifu

    Oct 25, 2020 12:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la Renaissance kuwa ni jinai na uhalifu.

  • Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump

    Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump

    Oct 24, 2020 14:41

    Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.

  • Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi

    Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi

    Oct 11, 2020 12:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kwa uchache watu elfu mbili wametiwa mbaroni katika maandamano ya kupinga utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ndani ya siku 20 zilizopita.

  • Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi

    Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi

    Oct 05, 2020 08:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amefanya mazungumzo na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa na kutilia mkazo udharura wa kupambana vilivyo na kikamilifu na magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Amnesty yaitaka serikali ya Misri kusitisha ukandamizaji wa wapinzani

    Amnesty yaitaka serikali ya Misri kusitisha ukandamizaji wa wapinzani

    Oct 04, 2020 02:45

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kukomesha ukandamizaji dhidi ya wapinzani.

  • Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha

    Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha

    Oct 01, 2020 10:34

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Ethiopia amekariri tena kwamba nchi yake ina uwezo wa kuziuia shambulizi lolote dhidi ya bwawa na Renaissance (al-Nahdha) linalojengwa juu ya maji ya Mto Nile ambalo limesababisha mgogoro mkubwa baina ya nchi hiyo na nchi za Misri na Sudan.

  • Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri

    Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri

    Oct 01, 2020 02:28

    Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa wa polisi.

  • Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi

    Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi

    Sep 29, 2020 07:29

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Misri yametangaza kuwa mamia ya watu wametiwa nguvuni katika maandamano yanayofanywa na wananchi kwa siku kadhaa mtawalia wakimtaka Rais Abdel Fattah al Sisi ajiuzulu na kuondoka madarakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS