Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri

    Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri

    Sep 30, 2020 22:58

    Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa wa polisi.

  • Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi

    Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi

    Sep 29, 2020 03:59

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Misri yametangaza kuwa mamia ya watu wametiwa nguvuni katika maandamano yanayofanywa na wananchi kwa siku kadhaa mtawalia wakimtaka Rais Abdel Fattah al Sisi ajiuzulu na kuondoka madarakani.

  • Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu

    Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu

    Sep 26, 2020 08:51

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika ghasia za maandamano ya wananchi wa Misri, wanaomtaka Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo ang'atuke madarakani.

  • Maandamano wa wapinzani wa el Sisi yafanyika nchini Misri

    Maandamano wa wapinzani wa el Sisi yafanyika nchini Misri

    Sep 19, 2020 02:57

    Baadhi ya wananchi wa Misri wamefanya maandamano katika mji wa Suez wa mashariki mwa mji mkuu Cairo kupinga siasa za rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah el Sisi.

  • Mawakili: Mtoto wa Morsi aliuawa kwa kemikali ya sumu Misri

    Mawakili: Mtoto wa Morsi aliuawa kwa kemikali ya sumu Misri

    Sep 08, 2020 03:20

    Mawakili wa familia ya Mohammad Morsi, rais wa zamani wa Misri wamesema mtoto wa kiume wa kiongozi huyo, Abdullah Morsi aliuawa kwa kemikali hatari ya sumu, na wala hakufa kwa mshtuko wa moyo kama zilivyotangaza mamlaka za nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Human Rights Watch: Hali katika jela za Misri ni mbaya

    Human Rights Watch: Hali katika jela za Misri ni mbaya

    Sep 04, 2020 07:20

    Shirika la kimataifa la haki za Binadamu, Human Rights Watch limetangaza habari ya kupoteza maisha wafungwa wanne katika kipindi cha chini ya masaa 72 kwenye jela za Misri na kusema kuwa hali katika jela hizo ni mbaya hasa kutokana na kudharauliwa usalama wa kiafya wa wafungwa.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi zaidi ya 70 Sinai Kaskazini

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi zaidi ya 70 Sinai Kaskazini

    Aug 31, 2020 22:02

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa limeua magaidi zaidi ya 70 wenye mfungamano na genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika operesheni za vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Sudan yataka mzozo wa Bwawa la al-Nahdha ujadiliwe na marais wa nchi husika

    Sudan yataka mzozo wa Bwawa la al-Nahdha ujadiliwe na marais wa nchi husika

    Aug 30, 2020 07:29

    Serikali ya Khartoum imetoa mwito wa kujadiliwa mzozo wa Bwawa la al-Nahdha na marais wa Sudan, Misri na Ethiopia.

  • Bunge la Ugiriki laafiki mapatano ya baharini yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Misri

    Bunge la Ugiriki laafiki mapatano ya baharini yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Misri

    Aug 28, 2020 02:59

    Bunge la Ugiriki hatimaye limepasisha mapatano yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Misri ya kuianisha mipaka ya baharini.

  • Amnesty: Misri inawanyima wafungwa haki zao kwa miaka kadhaa sasa

    Amnesty: Misri inawanyima wafungwa haki zao kwa miaka kadhaa sasa

    Aug 20, 2020 19:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuziruhusu familia za wafungwa kutembea jamaa zao wanaoshikiliwa katika jela za nchi hiyo wakiwemo watetezi wa haki za binadamu na wanaharakati wa masuala ya kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS