-
Ikhwanul Muslimin yalaani mapatano ya Imarati ya Israel, yasema ni usaliti dhidi ya al Aqsa
Aug 18, 2020 21:57Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imelaani hatua ya Imarati ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
Mazungumzo ya viongozi wa Sudan na Misri kuhusu Bwawa la An-Nahdhah
Aug 16, 2020 03:15Waziri Mkuu wa Misri Mostafa Madbouli amefanya mazungumzo na mwenzake wa Sudan Abdalla Hamdok kuhusiana na Bwawa la An-Nahdhah au Grand Renaissance Dam (GERD) lililojengwa na Ethiopia.
-
Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi kuhusu kifo cha al Aryan
Aug 14, 2020 08:34Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri ifanye uchunguzi kuhusu mazingira ya kutatanisha yanayohusiana na kifo cha mmoja wa viongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin akishikiliwa katika jela ya Tora mjini Cairo.
-
Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin afia jela Misri baada ya kunyimwa huduma za matibabu
Aug 13, 2020 22:26Mmoja kati ya viongozi wa harakati kubwa zaidi ya upinzani dhidi ya serikali ya Misri ya Ikhwanul Muslimin ameaga dunia kiwa jela kutokana na matatizo ya moyo.
-
Ethiopia yaionya Misri kuhusu mpango wake wa kuanzisha kituo cha kijeshi Afrika Mashariki
Aug 13, 2020 09:39Ethiopia imetoa onyo kuhusu uamuzi iliochukua Misri wa kutaka kuanzisha kituo cha kijeshi katika eneo la Afrika Mashariki.
-
Kuendelea mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha; kukataa Sudan kurejea katika mazungumzo
Aug 11, 2020 05:20Mgogoro kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha ungali unaendelea na katika hali ambayo, Ethiopia imetekeleza hatua ya awali ya ujazaji maji katika bwawa hilo, Sudan na Misri zimekataa kuendelea na mazungumzo ya pande tatu kwa ajili ya kufikia makubaliano na serikali ya Addis Ababa.
-
Sudan yakataa pendekezo la Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha
Aug 06, 2020 00:00Wizara ya Umwagiliaji ya Sudan imesema, nchi hiyo haijakubali pendekezo la Ethiopia kuhusu kujaza maji na kutumia Bwawa la al-Nahdha (GERD).
-
Misri yatangaza kusitisha rasmi mazungumzo yake na Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha
Aug 05, 2020 03:34Serikali ya Misri imetangaza kusitisha mazungumzo yake na Ethiopia kuhusiana na kadhia ya Bwawa la al-Nahdha kutokana na kile ilichokieleza kuwa, hatua ya upande mmoja ya Addis Ababa ya kuanza kujaza maji katika bwawa hilo.
-
Misri yapinga hatua ya Ethiopia ya kujaza maji katika Bwawa na Renaissance
Aug 04, 2020 02:45Wizara ya Maji ya Misri imepinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kujaza maji katika Bwawa na Renaissance.
-
Rais Sisi wa Misri aidhinisha sheria ya kuwazuia wanajeshi kuwania urais
Jul 30, 2020 06:03Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria ya kupiga marufuku wanajeshi walio kazini na waliostaafu kuwania urais au ubunge bila idhini ya jeshi.