-
Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi kuhusu kifo cha al Aryan
Aug 14, 2020 13:04Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri ifanye uchunguzi kuhusu mazingira ya kutatanisha yanayohusiana na kifo cha mmoja wa viongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin akishikiliwa katika jela ya Tora mjini Cairo.
-
Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin afia jela Misri baada ya kunyimwa huduma za matibabu
Aug 14, 2020 02:56Mmoja kati ya viongozi wa harakati kubwa zaidi ya upinzani dhidi ya serikali ya Misri ya Ikhwanul Muslimin ameaga dunia kiwa jela kutokana na matatizo ya moyo.
-
Ethiopia yaionya Misri kuhusu mpango wake wa kuanzisha kituo cha kijeshi Afrika Mashariki
Aug 13, 2020 14:09Ethiopia imetoa onyo kuhusu uamuzi iliochukua Misri wa kutaka kuanzisha kituo cha kijeshi katika eneo la Afrika Mashariki.
-
Kuendelea mgogoro wa Bwawa la al-Nahdha; kukataa Sudan kurejea katika mazungumzo
Aug 11, 2020 09:50Mgogoro kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha ungali unaendelea na katika hali ambayo, Ethiopia imetekeleza hatua ya awali ya ujazaji maji katika bwawa hilo, Sudan na Misri zimekataa kuendelea na mazungumzo ya pande tatu kwa ajili ya kufikia makubaliano na serikali ya Addis Ababa.
-
Sudan yakataa pendekezo la Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha
Aug 06, 2020 04:30Wizara ya Umwagiliaji ya Sudan imesema, nchi hiyo haijakubali pendekezo la Ethiopia kuhusu kujaza maji na kutumia Bwawa la al-Nahdha (GERD).
-
Misri yatangaza kusitisha rasmi mazungumzo yake na Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha
Aug 05, 2020 08:04Serikali ya Misri imetangaza kusitisha mazungumzo yake na Ethiopia kuhusiana na kadhia ya Bwawa la al-Nahdha kutokana na kile ilichokieleza kuwa, hatua ya upande mmoja ya Addis Ababa ya kuanza kujaza maji katika bwawa hilo.
-
Misri yapinga hatua ya Ethiopia ya kujaza maji katika Bwawa na Renaissance
Aug 04, 2020 07:15Wizara ya Maji ya Misri imepinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kujaza maji katika Bwawa na Renaissance.
-
Rais Sisi wa Misri aidhinisha sheria ya kuwazuia wanajeshi kuwania urais
Jul 30, 2020 10:33Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria ya kupiga marufuku wanajeshi walio kazini na waliostaafu kuwania urais au ubunge bila idhini ya jeshi.
-
Kuendelea mivutano juu ya ujenzi wa Bwawa la Renaissance
Jul 30, 2020 09:26Mgogoro ulianzishwa na ujenzi wa Bwawa la Renaissance juu ya maji ya Mto Nile unachukua mkondo mpya siku baada ya nyingine na kila moja kati ya nchi tatu zinazohusika katika mzozo huo, yaani Misri, Ethiopia na Sudan, zinaendelea kufanya jitihada za kulinda mgao wao wa maji ya mto huo.
-
Misri na Sudan zapinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kutumia maji ya bwawa la Renaissance
Jul 29, 2020 02:32Misri na Sudan zimesema, hazikubaliani na hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na Ethiopia ya kutekeleza awamu ya kwanza ya utumiaji wa maji ya bwawa la Renaissance.