Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yatoa vitisho dhidi ya Ethiopia kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha

    Misri yatoa vitisho dhidi ya Ethiopia kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha

    Jul 25, 2020 11:27

    Mjumbe wa timu ya Misri katika mazungumzo kuhusu Bwawa la al-Nahdha ametishia kuwa, endapo hakutafikiwa mwafaka katika kadhia hiyo, serikali ya Cairo itachukua hatua ya upande mmoja dhidi ya Ethiopia.

  • Misri sasa yadai inapinga uingiliaji wowote wa kigeni nchini Libya

    Misri sasa yadai inapinga uingiliaji wowote wa kigeni nchini Libya

    Jul 25, 2020 07:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amedai kuwa nchi yake inapinga uingiliaji wowote wa kigeni nchini Libya.

  • Vyama vya upinzani Misri kususuia uchaguzi wa Seneti, vyasema hakuna mazingira ya uchaguzi huru

    Vyama vya upinzani Misri kususuia uchaguzi wa Seneti, vyasema hakuna mazingira ya uchaguzi huru

    Jul 24, 2020 02:23

    Vyama vya siasa vya upinzani nchini Misri vimetangaza kuwa vitasusia uchaguzi wa Baraza la Seneti uliopangwa kufanyika tarehe 11 na 12 mwezi ujao wa Agosti.

  • Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya

    Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya

    Jul 22, 2020 02:33

    Wakati mgogoro na mapigano yangali yanaendelea nchini Libya, uingiliaji wa madola ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umezidi kuongezeka. Katika mwendelezo wa uingiliaji huo, siku ya Jumatatu bunge la Misri lilitoa idhini kwa rais Abdel Fattah el Sisi ya kutuma askari na kujiingiza kijeshi nchini Libya itapolazimu kufanya hivyo; na vilevile likaafikiana na mpango wa kutumwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo nje ya nchi kwa ajili ya shughuli za kijeshi.

  • Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya

    Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya

    Jul 19, 2020 06:39

    Kushadidi hitilafu za Uturuki na Misri kuhusiana na kadhia ya Libya kumezifanya nchi hizo zipigane makumbo katika Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa.

  • Misri yavunja rekodi Afrika, zaidi ya wagonjwa 700 wa corona wapatikana siku moja

    Misri yavunja rekodi Afrika, zaidi ya wagonjwa 700 wa corona wapatikana siku moja

    Jul 18, 2020 08:05

    Wizara ya Afya ya Misri imetangaza kuwa, zaidi ya wagonjwa 700 wa COVID-19 wamegunduliwa nchini humo katika kipindi cha siku moja.

  • Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri

    Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri

    Jul 18, 2020 07:59

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake itaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri na kamwe haitowaacha mkono wananchi wa Libya.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yalaani vitisho vya al Sisi vya kuivamia nchi hiyo

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yalaani vitisho vya al Sisi vya kuivamia nchi hiyo

    Jul 18, 2020 02:31

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) imelaani vikali matamshi yaliyotolewa na Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri aliyetishia kuvamia ardhi ya Libya.

  • Misri yaionya Uturuki, yasema operesheni dhidi ya mji wa Sirte huko Libya ni hatua hatari sana

    Misri yaionya Uturuki, yasema operesheni dhidi ya mji wa Sirte huko Libya ni hatua hatari sana

    Jul 14, 2020 10:52

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Misfri amekosoa vikali matamshi yaliyotolewa na mwenzake wa Uturuki kwamba Ankara inajitayarisha kushiriki katika operesheni ya kijeshi katika mji wa Sirte huko Libya na kusema matamshi hayo kuwa ni hatari kubwa.

  • Mgogoro wa bwawa la al Nahdha ungali unazitesa Misri, Sudan na Ethiopia

    Mgogoro wa bwawa la al Nahdha ungali unazitesa Misri, Sudan na Ethiopia

    Jul 13, 2020 07:33

    Wizara ya Umwagiliaji Maji ya Misri imetangaza habari ya kuendelea mgogoro baina ya nchi hiyo na Sudan na Ethiopia katika siku ya kumi ya mazungumzo ya nchi hizo tatu kuhusu bwawa la al Nahdha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS