-
Kuendelea mivutano juu ya ujenzi wa Bwawa la Renaissance
Jul 30, 2020 04:56Mgogoro ulianzishwa na ujenzi wa Bwawa la Renaissance juu ya maji ya Mto Nile unachukua mkondo mpya siku baada ya nyingine na kila moja kati ya nchi tatu zinazohusika katika mzozo huo, yaani Misri, Ethiopia na Sudan, zinaendelea kufanya jitihada za kulinda mgao wao wa maji ya mto huo.
-
Misri na Sudan zapinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kutumia maji ya bwawa la Renaissance
Jul 28, 2020 22:02Misri na Sudan zimesema, hazikubaliani na hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na Ethiopia ya kutekeleza awamu ya kwanza ya utumiaji wa maji ya bwawa la Renaissance.
-
Misri yatoa vitisho dhidi ya Ethiopia kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha
Jul 25, 2020 06:57Mjumbe wa timu ya Misri katika mazungumzo kuhusu Bwawa la al-Nahdha ametishia kuwa, endapo hakutafikiwa mwafaka katika kadhia hiyo, serikali ya Cairo itachukua hatua ya upande mmoja dhidi ya Ethiopia.
-
Misri sasa yadai inapinga uingiliaji wowote wa kigeni nchini Libya
Jul 25, 2020 03:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amedai kuwa nchi yake inapinga uingiliaji wowote wa kigeni nchini Libya.
-
Vyama vya upinzani Misri kususuia uchaguzi wa Seneti, vyasema hakuna mazingira ya uchaguzi huru
Jul 23, 2020 21:53Vyama vya siasa vya upinzani nchini Misri vimetangaza kuwa vitasusia uchaguzi wa Baraza la Seneti uliopangwa kufanyika tarehe 11 na 12 mwezi ujao wa Agosti.
-
Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya
Jul 21, 2020 22:03Wakati mgogoro na mapigano yangali yanaendelea nchini Libya, uingiliaji wa madola ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umezidi kuongezeka. Katika mwendelezo wa uingiliaji huo, siku ya Jumatatu bunge la Misri lilitoa idhini kwa rais Abdel Fattah el Sisi ya kutuma askari na kujiingiza kijeshi nchini Libya itapolazimu kufanya hivyo; na vilevile likaafikiana na mpango wa kutumwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo nje ya nchi kwa ajili ya shughuli za kijeshi.
-
Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya
Jul 19, 2020 02:09Kushadidi hitilafu za Uturuki na Misri kuhusiana na kadhia ya Libya kumezifanya nchi hizo zipigane makumbo katika Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa.
-
Misri yavunja rekodi Afrika, zaidi ya wagonjwa 700 wa corona wapatikana siku moja
Jul 18, 2020 03:35Wizara ya Afya ya Misri imetangaza kuwa, zaidi ya wagonjwa 700 wa COVID-19 wamegunduliwa nchini humo katika kipindi cha siku moja.
-
Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri
Jul 18, 2020 03:29Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake itaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri na kamwe haitowaacha mkono wananchi wa Libya.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yalaani vitisho vya al Sisi vya kuivamia nchi hiyo
Jul 17, 2020 22:01Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) imelaani vikali matamshi yaliyotolewa na Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri aliyetishia kuvamia ardhi ya Libya.