Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yataka nchi za dunia ziache kupeleka magaidi maeneo ya machafuko

    Misri yataka nchi za dunia ziache kupeleka magaidi maeneo ya machafuko

    Jul 13, 2020 07:14

    Mwakilishi wa kudumu wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa viongozi wa baadhi ya nchi waache kupeleka magaidi katika maeneo ya machafuko hasa wakati huu wa kuenea maambukizi ya kirusi cha corona.

  • Mahakama Misri yathibitisha hukumu ya kifungo cha maisha jela alichohukumiwa kiongozi wa Ikhwanul Muslimin

    Mahakama Misri yathibitisha hukumu ya kifungo cha maisha jela alichohukumiwa kiongozi wa Ikhwanul Muslimin

    Jul 10, 2020 02:26

    Mahakama Kuu ya Misri imethibitisha hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyopewa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin Muhammad Badie pamoja na wenzake watano.

  • Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Jul 10, 2020 02:24

    Vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Libya vimechukua sura mpya na tata na hasa kufuatia uamuzi wa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wa kuanzisha hujuma ya kuuteka mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, mnamo mwezi Aprili 2019 na uingiliaji wa nchi za kigeni kwa ajili ya kuziunga mkono pande hasimu katika mgogoro huo.

  • Misri yawasiliana na mtoto wa Gaddafi ili kujinufaisha kiuchumi nchini Libya

    Misri yawasiliana na mtoto wa Gaddafi ili kujinufaisha kiuchumi nchini Libya

    Jul 04, 2020 11:50

    Baadhi ya duru za Misri zimesema kuwa, mashirika ya kijasusi ya nchi hiyo yamewasiliana na mwana wa kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi kwa ajili ya kumshinikiza kisiasa na kujinufaisha na fursa za kiuchumi nchini humo.

  • Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya

    Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya

    Jul 02, 2020 02:15

    Balozi wa Uturuki mjini Paris ameituhumu Ufaransa kuwa inaegemea upande mmoja na kwamba imefumbia macho jinai zinazofanywa na Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri nchini Libya.

  • Misri yakosoa tena misimamo ya Ethiopia kuhusu Bwawa la Renaissance

    Misri yakosoa tena misimamo ya Ethiopia kuhusu Bwawa la Renaissance

    Jul 01, 2020 06:39

    Serikali ya Misri imekosoa utendaji na mienendo ya Ethiopia kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la Renaissance (al Nahdha) juu ya Mto Nile lakini imeeleza kwamba, ina matumaini na matokeo ya mazungumzo yaliyopangwa kusimamiwa na Umoja wa Afrika kujadili kadhia hiyo.

  • Mgogoro wa Bwawa la Renaissance waingia Baraza la Usalama, Ethiopia yatahadharisha

    Mgogoro wa Bwawa la Renaissance waingia Baraza la Usalama, Ethiopia yatahadharisha

    Jun 30, 2020 03:45

    Mgogoro wa Bwawa la Renaissance (Al Nahdha) baina ya Misri, Sudan na Ethiopia umewekwa rasmi kwenye meza ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Misri kuwasilisha muswada huo kwa ajili ya kujadiliwa na wanachama wa baraza hilo.

  • Ethiopia: Marekani ikome kuiunga mkono Misri kibubusa

    Ethiopia: Marekani ikome kuiunga mkono Misri kibubusa

    Jun 29, 2020 03:56

    Gazeti moja la Ethiopia limeishambulia vikali serikali ya Marekani kwa kile lilichosema ni uungaji mkono wa kibubusa na kipofupofu wa misimamo ya Misri katika mazungumzo ya kutafuta suluhisho la bwawa na al Nahdha linalojengwa na Addis Ababa juu ya maji ya Nto Nile.

  • Kuongezeka jitihada za kutatua mgogoro wa bwawa la al Nahdha

    Kuongezeka jitihada za kutatua mgogoro wa bwawa la al Nahdha

    Jun 27, 2020 13:42

    Hitilafu zinazoendelea baina ya nchi za Misri, Sudan na Ethiopia kuhusu ujenzi wa bwawa na al Nahdha juu ya maji ya Mto Nile na mgogoro uliosababishwa na hitilafu hizo zimezidisha jitihada za kikanda na kimataifa za kutafuta suhulisho la hitilafu hizo.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya yajibu matamshi ya al Sisi

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya yajibu matamshi ya al Sisi

    Jun 23, 2020 02:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amejibu matamshi ya karibuni ya Rais wa Misri kuhusu uingiliaji wa moja kwa moja wa nchi hiyo katika masuala ya ndani ya Libya akisema kuwa yanakinzana na azimio la Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS