Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Kuongezeka jitihada za kutatua mgogoro wa bwawa la al Nahdha

    Kuongezeka jitihada za kutatua mgogoro wa bwawa la al Nahdha

    Jun 27, 2020 09:12

    Hitilafu zinazoendelea baina ya nchi za Misri, Sudan na Ethiopia kuhusu ujenzi wa bwawa na al Nahdha juu ya maji ya Mto Nile na mgogoro uliosababishwa na hitilafu hizo zimezidisha jitihada za kikanda na kimataifa za kutafuta suhulisho la hitilafu hizo.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya yajibu matamshi ya al Sisi

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya yajibu matamshi ya al Sisi

    Jun 22, 2020 22:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amejibu matamshi ya karibuni ya Rais wa Misri kuhusu uingiliaji wa moja kwa moja wa nchi hiyo katika masuala ya ndani ya Libya akisema kuwa yanakinzana na azimio la Umoja wa Mataifa.

  • Raia 18 wa Misri watiwa mbaroni nchini Libya

    Raia 18 wa Misri watiwa mbaroni nchini Libya

    Jun 22, 2020 03:12

    Timu ya opereseheni za "Volkano ya Hasira" ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kutiwa mbaroni raia 18 wa Misri ambao ni wananchi wa kundi moja linaloendesha shughuli zake kinyume cha sheria nchini Libya.

  • Wanajeshi watano wa Misri wauawa katika mkoa wa Sinai

    Wanajeshi watano wa Misri wauawa katika mkoa wa Sinai

    Jun 22, 2020 03:02

    Duru za kijeshi za Misri zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi watano wa nchi hiyo katika shambulio lilifanywa na watu wenye silaha katika eneo la Sinai la kaskazini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yamjibu Rais al Sisi wa Misri, yamtaka afunge mipaka ya nchi yake

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yamjibu Rais al Sisi wa Misri, yamtaka afunge mipaka ya nchi yake

    Jun 21, 2020 06:08

    Msemaji wa jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaita ya Libya (GNA) amejibu matamshi ya vitisho yaliyotolewa na Rais Abdel Fattah al Sisi dhidi ya Libya.

  • Rais wa Misri aliamuru jeshi kuandaa oparesheni nje ya nchi

    Rais wa Misri aliamuru jeshi kuandaa oparesheni nje ya nchi

    Jun 21, 2020 03:45

    Rais Abdel Fattah el-Sisi ameliamuru jeshi la Misri kujitayarisha kutekeleza oparesheni ndani na nje ya nchi kwa lengo la kulinda usalama wa taifa huku hali ya taharuki ikiongezeka baina ya nchi hiyo na Uturuki kuhusu kadhia ya Libya.

  • Misri yataka UN iingilie kati mzozo wa bwawa la al-Nahdha

    Misri yataka UN iingilie kati mzozo wa bwawa la al-Nahdha

    Jun 20, 2020 02:17

    Misri imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liingilie kati kwa ajili ya kutatua mgogoro wa bwawa la al-Nahdha la nchini Ethiopia.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Hakuna anayeamini kwamba Morsi alikufa kifo cha kawaida

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Hakuna anayeamini kwamba Morsi alikufa kifo cha kawaida

    Jun 18, 2020 07:27

    Jumuiya ya kimataifa za kutetea haki za binadamu zimetoa taarifa kwa mnasaba wa kutimia mwaka mmoja tangu kuaga dunia rais wa zamani wa Misri, Mohammad Morsi zikisisitiza kuwa, hakuna hata mtu mmoja aliyeamini riwaya ya serikali ya Misri iliyodai Morsi alifariki dunia kwa kifo cha kawaida.

  • Misri na Ethiopia zaafikiana juu ya maji ya bwana la al Nahdha

    Misri na Ethiopia zaafikiana juu ya maji ya bwana la al Nahdha

    Jun 18, 2020 03:15

    Misri na Ethiopia zimeafikiana juu ya jinsi ya kujaza maji katika bwana lililozusha mgogoro mkubwa baina ya pande hizo mbili la al Nahdha.

  • Misri kufungua viwanja vya ndege Julai, Algeria yalegeza sheria za kudhibiti corona

    Misri kufungua viwanja vya ndege Julai, Algeria yalegeza sheria za kudhibiti corona

    Jun 16, 2020 00:25

    Misri imetangaza kuwa itafungua viwanja vyake vyote vya ndege kuanzia Julai Mosi, baada ya kuvifunga kwa miezi kadhaa sasa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS