Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Ethiopia yaituhumu Misri kuwa imechochea ghasia na machafuko nchini humo

    Ethiopia yaituhumu Misri kuwa imechochea ghasia na machafuko nchini humo

    Jun 04, 2020 11:43

    Afisa wa serikali ya jimbo la Oromia nchini Ethiopia ameituhumu serikali ya Misri kuwa imechochea maandamano na ghasia zilizoshuhudiwa katika siku za hivi karibuni jimboni humo.

  • Safari ya Jenerali Haftar nchini Misri

    Safari ya Jenerali Haftar nchini Misri

    Jun 04, 2020 07:49

    Kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Kitaifa la Libya yuko mjini Cairo Misri, kwa lengo la kuonana na kuzungumza na viongozi wa nchi hiyo.

  • Magaidi 21 waliopanga kuvuruga sherehe za Iddi wauawa Sinai, Misri

    Magaidi 21 waliopanga kuvuruga sherehe za Iddi wauawa Sinai, Misri

    May 24, 2020 09:45

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 21 wa genge moja la kigaidi katika operesheni mbili tofauti zilizofanyika katika Peninsula ya Sinai.

  • Makabila ya kaskazini mwa Misri yajiandaa kutekeleza operesheni dhidi ya ISIS

    Makabila ya kaskazini mwa Misri yajiandaa kutekeleza operesheni dhidi ya ISIS

    May 17, 2020 02:20

    Duru za kieneo zimeripoti kwamba makabila ya eneo la Sinai, kaskazini mwa Misri yametangaza utayarifu wao wa kutekeleza operesheni dhidi ya magaidi wa kundi la Daesh baada ya kumalizika mwezi wa Ramadhani.

  • Wananchi wa Misri wahimiza kupambana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria

    Wananchi wa Misri wahimiza kupambana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria

    May 10, 2020 07:46

    Harakati moja ya wananchi wa Misri imesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuishukuru Syria kwa kusimama kidete na kujitolea kupambana vilivyo na magenge ya kigaidi ambayo ni hatari kwa usalama wa dunia nzima, na imeyataka mataifa ya dunia kuungana kupinga vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya Syria.

  • 'Rais wa Misri analitumia vibaya janga la corona kujiongezea mamlaka ili kushadidisha ukandamizaji'

    'Rais wa Misri analitumia vibaya janga la corona kujiongezea mamlaka ili kushadidisha ukandamizaji'

    May 09, 2020 07:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa hatua ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ya kujiongezea mamlaka kwa kutumia kisingizio cha kukithiri maambukizi ya corona nchini humo.

  • Ushirikiano wa Hamas na Misri katika kukakbiliana na magaidi wakufurishaji eneo la Sinai

    Ushirikiano wa Hamas na Misri katika kukakbiliana na magaidi wakufurishaji eneo la Sinai

    May 06, 2020 04:13

    Duru mjini Cairo zinadokeza kuwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) inashirikiana na serikali ya Misri katika kukabiliana na magaidi wakufurishaji katika eneo la Sinai.

  • Magaidi 126 na askari 15 wauawa katika mapigano makali Misri

    Magaidi 126 na askari 15 wauawa katika mapigano makali Misri

    May 04, 2020 02:27

    Jeshi la Misri limesema askari wake 15 wameuawa katika mapigano makali na magaidi ambapo magaidi 126 wakufurishaji pia wameuawa mashariki mwa nchi.

  • Asasi ya kiraia yakosoa hali mbaya ya jela za Misri

    Asasi ya kiraia yakosoa hali mbaya ya jela za Misri

    Apr 30, 2020 12:45

    Kwa mujibu wa kanali moja ya Kiarabu inayotoa taarifa kuhusu haki za binaadamu, ukandamizaji na virusi vya Corona vinawahangaisha wafungwa na mahabusu katika jela za Misri na kuwasumbua.

  • Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu

    Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu

    Apr 28, 2020 11:11

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri leo ametangaza kuwa hali ya hatari kitaifa nchini humo itaendelea kwa muda wa miezi mingine mitatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS