-
Ethiopia yaituhumu Misri kuwa imechochea ghasia na machafuko nchini humo
Jun 04, 2020 11:43Afisa wa serikali ya jimbo la Oromia nchini Ethiopia ameituhumu serikali ya Misri kuwa imechochea maandamano na ghasia zilizoshuhudiwa katika siku za hivi karibuni jimboni humo.
-
Safari ya Jenerali Haftar nchini Misri
Jun 04, 2020 07:49Kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Kitaifa la Libya yuko mjini Cairo Misri, kwa lengo la kuonana na kuzungumza na viongozi wa nchi hiyo.
-
Magaidi 21 waliopanga kuvuruga sherehe za Iddi wauawa Sinai, Misri
May 24, 2020 09:45Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 21 wa genge moja la kigaidi katika operesheni mbili tofauti zilizofanyika katika Peninsula ya Sinai.
-
Makabila ya kaskazini mwa Misri yajiandaa kutekeleza operesheni dhidi ya ISIS
May 17, 2020 02:20Duru za kieneo zimeripoti kwamba makabila ya eneo la Sinai, kaskazini mwa Misri yametangaza utayarifu wao wa kutekeleza operesheni dhidi ya magaidi wa kundi la Daesh baada ya kumalizika mwezi wa Ramadhani.
-
Wananchi wa Misri wahimiza kupambana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Syria
May 10, 2020 07:46Harakati moja ya wananchi wa Misri imesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuishukuru Syria kwa kusimama kidete na kujitolea kupambana vilivyo na magenge ya kigaidi ambayo ni hatari kwa usalama wa dunia nzima, na imeyataka mataifa ya dunia kuungana kupinga vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya Syria.
-
'Rais wa Misri analitumia vibaya janga la corona kujiongezea mamlaka ili kushadidisha ukandamizaji'
May 09, 2020 07:37Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa hatua ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ya kujiongezea mamlaka kwa kutumia kisingizio cha kukithiri maambukizi ya corona nchini humo.
-
Ushirikiano wa Hamas na Misri katika kukakbiliana na magaidi wakufurishaji eneo la Sinai
May 06, 2020 04:13Duru mjini Cairo zinadokeza kuwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) inashirikiana na serikali ya Misri katika kukabiliana na magaidi wakufurishaji katika eneo la Sinai.
-
Magaidi 126 na askari 15 wauawa katika mapigano makali Misri
May 04, 2020 02:27Jeshi la Misri limesema askari wake 15 wameuawa katika mapigano makali na magaidi ambapo magaidi 126 wakufurishaji pia wameuawa mashariki mwa nchi.
-
Asasi ya kiraia yakosoa hali mbaya ya jela za Misri
Apr 30, 2020 12:45Kwa mujibu wa kanali moja ya Kiarabu inayotoa taarifa kuhusu haki za binaadamu, ukandamizaji na virusi vya Corona vinawahangaisha wafungwa na mahabusu katika jela za Misri na kuwasumbua.
-
Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu
Apr 28, 2020 11:11Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri leo ametangaza kuwa hali ya hatari kitaifa nchini humo itaendelea kwa muda wa miezi mingine mitatu.