-
Filamu ya "al Nihaya" yatabiri kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani
Apr 27, 2020 11:50Filamu iliyotengenezwa nchini Misri na kupewa jina la al Nihaya (The End) kwa maana ya mwisho, imetabiri kungamia kikamilifu utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika miaka ijayo.
-
Serikali ya Misri yaliunga mkono jeshi la Syria, yahimiza ushirikiano katika vita dhidi ya magaidi
Apr 24, 2020 02:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametilia mkazo udharura wa kuendelea operesheni za jeshi la Syria za kupambana na magenge ya kigaidi nchini humo.
-
Marekani yaelemewa na janga la Corona, yapewa msaada na Misri
Apr 22, 2020 12:53Misri imetuma nchini Marekani ndege iliyosheheni vifaa na zana za kitiba za kukabiliana na virusi vya Corona, wakati huu ambapo nchi hiyo inayotajwa kuwa dola kubwa na lenye uwezo zaidi duniani linaendelea kulemewa na janga ugonjwa wa Covid-19.
-
Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri
Apr 15, 2020 08:06Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.
-
Jeshi la Misri lafanya oparesheni ya mashambulio dhidi ya magaidi katika eneo la Sinai
Apr 08, 2020 07:59Jeshi la Misri limezishambulia ngome za magaidi katika eneo la Sinai kaskazini mwa nchi hiyo kufuatia kuongezeka mashambulizi ya magaidi.
-
Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri
Mar 23, 2020 13:58Jumuiya za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimatangaza kuwa, mfungwa mwingine wa kisiasa amefia jela akiwa chini ya mateso ya maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
Misri yaanza kuwaondoa askari wake Libya kwa hofu ya Corona
Mar 22, 2020 02:35Duru za habari nchini Misri zimearifu kuwa, serikali ya Cairo imeanza kuwaondoa wanajeshi wake Libya, kutokana na hofu ya maambukizi ya kirusi cha Corona.
-
Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona
Mar 21, 2020 11:44Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa sababu ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona.
-
Wito watolewa Misri kutaka Machi 15 iwe Siku ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani
Mar 17, 2020 03:23Kituo kimoja cha Kiislamu nchini Misri kimetaka tarehe 15 Machi kila mwaka iwe Siku ya Kimataifa ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu.
-
Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita
Mar 15, 2020 06:46Duru za habari zimeripoti kuwa, afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijesi wa Sudan ametembelea Misri kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu bwawa la al Nahdha la Ethiopia na kupunguza wasiwasi wa kutokea vita baina ya nchi hizo mbili.