Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Asasi ya kiraia yakosoa hali mbaya ya jela za Misri

    Asasi ya kiraia yakosoa hali mbaya ya jela za Misri

    Apr 30, 2020 08:15

    Kwa mujibu wa kanali moja ya Kiarabu inayotoa taarifa kuhusu haki za binaadamu, ukandamizaji na virusi vya Corona vinawahangaisha wafungwa na mahabusu katika jela za Misri na kuwasumbua.

  • Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu

    Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu

    Apr 28, 2020 06:41

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri leo ametangaza kuwa hali ya hatari kitaifa nchini humo itaendelea kwa muda wa miezi mingine mitatu.

  • Filamu ya

    Filamu ya "al Nihaya" yatabiri kuangamia utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani

    Apr 27, 2020 07:20

    Filamu iliyotengenezwa nchini Misri na kupewa jina la al Nihaya (The End) kwa maana ya mwisho, imetabiri kungamia kikamilifu utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika miaka ijayo.

  • Serikali ya Misri yaliunga mkono jeshi la Syria, yahimiza ushirikiano katika vita dhidi ya magaidi

    Serikali ya Misri yaliunga mkono jeshi la Syria, yahimiza ushirikiano katika vita dhidi ya magaidi

    Apr 23, 2020 21:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametilia mkazo udharura wa kuendelea operesheni za jeshi la Syria za kupambana na magenge ya kigaidi nchini humo.

  • Marekani yaelemewa na janga la Corona, yapewa msaada na Misri

    Marekani yaelemewa na janga la Corona, yapewa msaada na Misri

    Apr 22, 2020 08:23

    Misri imetuma nchini Marekani ndege iliyosheheni vifaa na zana za kitiba za kukabiliana na virusi vya Corona, wakati huu ambapo nchi hiyo inayotajwa kuwa dola kubwa na lenye uwezo zaidi duniani linaendelea kulemewa na janga ugonjwa wa Covid-19.

  • Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Apr 15, 2020 03:36

    Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.

  • Jeshi la Misri lafanya oparesheni ya mashambulio dhidi ya magaidi katika eneo la Sinai

    Jeshi la Misri lafanya oparesheni ya mashambulio dhidi ya magaidi katika eneo la Sinai

    Apr 08, 2020 03:29

    Jeshi la Misri limezishambulia ngome za magaidi katika eneo la Sinai kaskazini mwa nchi hiyo kufuatia kuongezeka mashambulizi ya magaidi.

  • Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri

    Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri

    Mar 23, 2020 09:28

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimatangaza kuwa, mfungwa mwingine wa kisiasa amefia jela akiwa chini ya mateso ya maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Misri yaanza kuwaondoa askari wake Libya kwa hofu ya Corona

    Misri yaanza kuwaondoa askari wake Libya kwa hofu ya Corona

    Mar 21, 2020 22:05

    Duru za habari nchini Misri zimearifu kuwa, serikali ya Cairo imeanza kuwaondoa wanajeshi wake Libya, kutokana na hofu ya maambukizi ya kirusi cha Corona.

  • Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona

    Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona

    Mar 21, 2020 07:14

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa sababu ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS