-
Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri
Mar 14, 2020 12:38Mkuu wa majeshi ya Ethiopia amesema kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya kijeshi itakayolenga bwawa la al Nahdha na kujibu hujuma hiyo.
-
Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya
Mar 10, 2020 11:41Misri huku ikiungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu imeripotiwa kuunda kikosi maalumu cha oparesheni za majini kinachowajumuisha makomando wa Libya ambacho kimepewa jukumu la kulenga maslahi ya Uturuki katika pwani za Libya.
-
Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu
Mar 09, 2020 02:47Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuwa, inapinga vikali taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia kuhusu azimio la Baraza la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la al-Nahdha.
-
Wapinzani 37 wa serikali ya Cairo wahukumiwa kifo nchini Misri
Mar 03, 2020 02:26Mahakama ya Misri imewahukumu kifo wanaharakati 37 kwa kile kilichotajwa kuwa ni kuhusika na harakati za makundi ya kigaidi.
-
Ijumaa tarehe 28 Februari 2020
Feb 28, 2020 01:18Leo ni Ijumaa tarehe 4 Rajab 1441 Hijria sawa na Februari 28 mwaka 2020.
-
Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar
Feb 25, 2020 13:27Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.
-
Misri yapongeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini
Feb 24, 2020 11:49Serikali ya Misri imepngeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini na kusema kuwa ina matumaini hatua hiyo itatoa fursa ya kushuhudiwa utulivu na usalama wa kudumu nchini humo.
-
Mahakama Misri yawaondoa hatiani wanae Mubarak
Feb 23, 2020 01:17Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wameondolewa hatiani na mahakama katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya uuzaji hisa za benki kinyume cha sheria miaka minne kabla ya mwamko wa mwaka 2011 uliopelekea baba yao kuondolewa madarakani baada ya miaka 30 ya utawala wake wa kidikteta.
-
Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto
Feb 16, 2020 02:51mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka bara la Afrika lipewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la umoja huo na haki ya kura ya veto (turufu).
-
Magaidi 17 waangamizwa katika mkoa wa Sinai, Misri
Feb 12, 2020 07:32Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 17 wa genge moja la kigaidi katika mji wa al-Arish, katika mkoa wa Sinai Kaskazini.