Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri

    Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri

    Mar 14, 2020 12:38

    Mkuu wa majeshi ya Ethiopia amesema kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya kijeshi itakayolenga bwawa la al Nahdha na kujibu hujuma hiyo.

  • Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya

    Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya

    Mar 10, 2020 11:41

    Misri huku ikiungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu imeripotiwa kuunda kikosi maalumu cha oparesheni za majini kinachowajumuisha makomando wa Libya ambacho kimepewa jukumu la kulenga maslahi ya Uturuki katika pwani za Libya.

  • Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu

    Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu

    Mar 09, 2020 02:47

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuwa, inapinga vikali taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia kuhusu azimio la Baraza la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la al-Nahdha.

  • Wapinzani 37 wa serikali ya Cairo wahukumiwa kifo nchini Misri

    Wapinzani 37 wa serikali ya Cairo wahukumiwa kifo nchini Misri

    Mar 03, 2020 02:26

    Mahakama ya Misri imewahukumu kifo wanaharakati 37 kwa kile kilichotajwa kuwa ni kuhusika na harakati za makundi ya kigaidi.

  • Ijumaa tarehe 28 Februari 2020

    Ijumaa tarehe 28 Februari 2020

    Feb 28, 2020 01:18

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Rajab 1441 Hijria sawa na Februari 28 mwaka 2020.

  • Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Feb 25, 2020 13:27

    Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.

  • Misri yapongeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini

    Misri yapongeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini

    Feb 24, 2020 11:49

    Serikali ya Misri imepngeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini na kusema kuwa ina matumaini hatua hiyo itatoa fursa ya kushuhudiwa utulivu na usalama wa kudumu nchini humo.

  • Mahakama Misri yawaondoa hatiani wanae Mubarak

    Mahakama Misri yawaondoa hatiani wanae Mubarak

    Feb 23, 2020 01:17

    Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wameondolewa hatiani na mahakama katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya uuzaji hisa za benki kinyume cha sheria miaka minne kabla ya mwamko wa mwaka 2011 uliopelekea baba yao kuondolewa madarakani baada ya miaka 30 ya utawala wake wa kidikteta.

  • Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto

    Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto

    Feb 16, 2020 02:51

    mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka bara la Afrika lipewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la umoja huo na haki ya kura ya veto (turufu).

  • Magaidi 17 waangamizwa katika mkoa wa Sinai, Misri

    Magaidi 17 waangamizwa katika mkoa wa Sinai, Misri

    Feb 12, 2020 07:32

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 17 wa genge moja la kigaidi katika mji wa al-Arish, katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS