-
Wito watolewa Misri kutaka Machi 15 iwe Siku ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani
Mar 16, 2020 23:53Kituo kimoja cha Kiislamu nchini Misri kimetaka tarehe 15 Machi kila mwaka iwe Siku ya Kimataifa ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu.
-
Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita
Mar 15, 2020 03:16Duru za habari zimeripoti kuwa, afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijesi wa Sudan ametembelea Misri kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu bwawa la al Nahdha la Ethiopia na kupunguza wasiwasi wa kutokea vita baina ya nchi hizo mbili.
-
Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri
Mar 14, 2020 09:08Mkuu wa majeshi ya Ethiopia amesema kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya kijeshi itakayolenga bwawa la al Nahdha na kujibu hujuma hiyo.
-
Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya
Mar 10, 2020 08:11Misri huku ikiungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu imeripotiwa kuunda kikosi maalumu cha oparesheni za majini kinachowajumuisha makomando wa Libya ambacho kimepewa jukumu la kulenga maslahi ya Uturuki katika pwani za Libya.
-
Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu
Mar 08, 2020 23:17Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuwa, inapinga vikali taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia kuhusu azimio la Baraza la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la al-Nahdha.
-
Wapinzani 37 wa serikali ya Cairo wahukumiwa kifo nchini Misri
Mar 02, 2020 22:56Mahakama ya Misri imewahukumu kifo wanaharakati 37 kwa kile kilichotajwa kuwa ni kuhusika na harakati za makundi ya kigaidi.
-
Ijumaa tarehe 28 Februari 2020
Feb 27, 2020 21:48Leo ni Ijumaa tarehe 4 Rajab 1441 Hijria sawa na Februari 28 mwaka 2020.
-
Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar
Feb 25, 2020 09:57Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.
-
Misri yapongeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini
Feb 24, 2020 08:19Serikali ya Misri imepngeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini na kusema kuwa ina matumaini hatua hiyo itatoa fursa ya kushuhudiwa utulivu na usalama wa kudumu nchini humo.
-
Mahakama Misri yawaondoa hatiani wanae Mubarak
Feb 22, 2020 21:47Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wameondolewa hatiani na mahakama katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya uuzaji hisa za benki kinyume cha sheria miaka minne kabla ya mwamko wa mwaka 2011 uliopelekea baba yao kuondolewa madarakani baada ya miaka 30 ya utawala wake wa kidikteta.