-
Uchunguzi: Al Sisi anawaua wapinzani wake kwa "mauti ya polepole" wakiwa jela
Feb 10, 2020 08:21Uchunguzi uliofanywa na televisheni ya al Jazeera ya Qatar umefichua takwimu za kutisha kuhusu idadi ya wafungwa wa kisiasa waliouawa au kuaga dunia kutokana na kutelekezwa, kutopatiwa matibabu kwa makusudi na mazingira mabaya kupita kiasi ndani ya jela za Misri tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdel Fattah al Sisi mwezi julai mwaka 2013.
-
Al Sisi atahadharisha kuhusu kupelekwa magaidi wa Syria katika nchi ya Libya
Feb 09, 2020 02:42Rais wa Miisri ametahadharisha kuwa kuhamisha magaidi walioko Syria na kuwapelekwa Libya kutakuwa na matokeo hatari kwa nchi zote jirani za Kiafrika.
-
Misri yatahadharisha kuhusu madola ya kigeni kuingilia masuala ya ndani ya Libya
Feb 03, 2020 03:06Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametahadharisha kuhusu madhara yanayosababishwa na madola ajinabi ya kuingilia masuala ya ndani ya Libya.
-
Watu 37 wahukumiwa kifo nchini Misri
Feb 02, 2020 02:41Mahakama moja nchini Misri imewahukumu adhabu ya kifo watu 37 akiwemo Hisham al Ashmawy afisa wa zamani wa jeshi la nchi hiyo aliyejiunga na magenge ya kigaidi.
-
Misri yawahukumu watu kadhaa kifungo cha maisha jela kwa kujiunga na Daesh
Jan 28, 2020 08:11Mahakama Cairo nchini Misri imewahukumu watu wasiopungua 37 vifungo mbalimbali vya jela kikiwemo kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kujiunga na kuliunga mkono genge la uhalifu lenye mfungamano na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Wanasheria wataka rais wa Misri atiwe mbaroni mjini London
Jan 21, 2020 00:17Kundi moja la mawakili wa Uingereza limetaka rais wa Misri atiwe mbaroni mara atakapofika mjini London.
-
Mazungumzo kuhusu bwawa la al-Nahdha yavunjika nchini Ethiopia
Jan 11, 2020 04:50Wizara ya Maji ya Misri imetangaza kuwa, mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea huko Addis Ababa kati ya nchi hiyo, Ethiopia na Sudan kuhusiana na bwawa na al-Nahdha yamevunjika baada ya pande husika kushindwa kufikia makubaliano.
-
Mkuu wa zamani wa jeshi la Misri aachiwa huru baada ya kuwa kizuizini kwa karibu miaka miwili
Dec 23, 2019 13:26Sami Anan Mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ameachiwa huru kutoka kizuizini ambapo alikuwa akishikiliwa kwa karibu miaka miwili kwa kosa la kutaka kugombea kiti cha rais mwaka uliopita.
-
Jumatano tarehe 18 Disemba 2019
Dec 18, 2019 01:40Leo ni Jumatano tarehe 21 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 18 mwaka 2019.
-
Misri yatoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Dec 05, 2019 10:26Mwakilishi wa kudumu wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kusema kuwa, amani na utulivu haviwezi kupatikana bila ya kuchukuliwa hatua hiyo.