Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni

    Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni

    Dec 05, 2019 08:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.

  • Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya

    Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya

    Nov 29, 2019 11:18

    Duru za habari nchini Misri zimeelezea kuwasili nchini Libya shehena ya silaha kutoka Imarati.

  • Misri yarusha satalaiti ya mawasiliano katika anga za mbali

    Misri yarusha satalaiti ya mawasiliano katika anga za mbali

    Nov 27, 2019 14:07

    Misri imezindua satalaiti yake ya kwanza ya mawasiliano kwa kuirusha katika anga za mbali.

  • Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Nov 25, 2019 02:52

    Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).

  • HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi

    HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi

    Nov 21, 2019 07:35

    Ripoti iliyotayarishwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kushirikiana na Kituo cha Shihab na tasisi ya Uadilifu kwa Ajili ya Haki za Binadamu imesema kuwa, idadi ya jela nchini Misri imefikia 68 na kwamba jela 26 kati yazo zimejengwa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

  • Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo

    Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo

    Nov 19, 2019 02:40

    Kwa mara nyingine Marekani imetoa vitisho vikali kwa Misri kutokana na uamuzi wake wa kununua ndege aina ya Sukhoi-35 kutoka Russia.

  • Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Nov 16, 2019 11:17

    Mitazamo ya upande mmoja ya Marekani na juhudi za nchi hiyo za kuimarisha ubeberu wake duniani, ambazo zimepata kasi kubwa katika utawala wa Rais Donald Trump, imechukua muelekeo mpya ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nov 15, 2019 01:24

    Nchi kadhaa za Ulaya zimeishutumu serikali ya Misri kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, huku wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa wakieleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo inayoongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

  • Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri

    Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri

    Oct 31, 2019 12:16

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imeutaka Umoja wa Mataifa na taasisi zote za kisheria na za kutetea haki za binadamu za kikanda na kimataifa kuokoa maisha ya kiongozi wake, Dakta Mohammed Badie anayeshikiliwa katika jela ya Misri tangu mwaka 2013.

  • Magaidi 13 wauawa katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Magaidi 13 wauawa katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Oct 29, 2019 15:53

    Maafisa wa serikali ya Misri wametangaza kuwa magaidi 13 wameuawa katika mapigano yaliyojiri baina yao na askari usalama katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS