-
Mkuu wa zamani wa jeshi la Misri aachiwa huru baada ya kuwa kizuizini kwa karibu miaka miwili
Dec 23, 2019 09:56Sami Anan Mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ameachiwa huru kutoka kizuizini ambapo alikuwa akishikiliwa kwa karibu miaka miwili kwa kosa la kutaka kugombea kiti cha rais mwaka uliopita.
-
Jumatano tarehe 18 Disemba 2019
Dec 17, 2019 22:10Leo ni Jumatano tarehe 21 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 18 mwaka 2019.
-
Misri yatoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Dec 05, 2019 06:56Mwakilishi wa kudumu wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kusema kuwa, amani na utulivu haviwezi kupatikana bila ya kuchukuliwa hatua hiyo.
-
Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni
Dec 05, 2019 04:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
-
Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya
Nov 29, 2019 07:48Duru za habari nchini Misri zimeelezea kuwasili nchini Libya shehena ya silaha kutoka Imarati.
-
Misri yarusha satalaiti ya mawasiliano katika anga za mbali
Nov 27, 2019 10:37Misri imezindua satalaiti yake ya kwanza ya mawasiliano kwa kuirusha katika anga za mbali.
-
Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC
Nov 24, 2019 23:22Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).
-
HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi
Nov 21, 2019 04:05Ripoti iliyotayarishwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kushirikiana na Kituo cha Shihab na tasisi ya Uadilifu kwa Ajili ya Haki za Binadamu imesema kuwa, idadi ya jela nchini Misri imefikia 68 na kwamba jela 26 kati yazo zimejengwa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo Jenerali Abdel Fattah al Sisi.
-
Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo
Nov 18, 2019 23:10Kwa mara nyingine Marekani imetoa vitisho vikali kwa Misri kutokana na uamuzi wake wa kununua ndege aina ya Sukhoi-35 kutoka Russia.
-
Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia
Nov 16, 2019 07:47Mitazamo ya upande mmoja ya Marekani na juhudi za nchi hiyo za kuimarisha ubeberu wake duniani, ambazo zimepata kasi kubwa katika utawala wa Rais Donald Trump, imechukua muelekeo mpya ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa huko nyuma.