-
Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri
Nov 14, 2019 21:54Nchi kadhaa za Ulaya zimeishutumu serikali ya Misri kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, huku wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa wakieleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo inayoongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Sisi.
-
Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri
Oct 31, 2019 08:46Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imeutaka Umoja wa Mataifa na taasisi zote za kisheria na za kutetea haki za binadamu za kikanda na kimataifa kuokoa maisha ya kiongozi wake, Dakta Mohammed Badie anayeshikiliwa katika jela ya Misri tangu mwaka 2013.
-
Magaidi 13 wauawa katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri
Oct 29, 2019 12:23Maafisa wa serikali ya Misri wametangaza kuwa magaidi 13 wameuawa katika mapigano yaliyojiri baina yao na askari usalama katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini humo.
-
Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu
Oct 24, 2019 23:21Bunge la Ulaya linalokutana Strasbourg nchini Ufaransa limepasisha azimio la kuilaani serikali ya Misri kutokana na ukiukaji wake wa haki za binadamu.
-
Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha
Oct 22, 2019 23:16Waziri Mkuu wa Ethiopia ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakusanya mamilioni ya wapiganaji iwapo italazimika kingia vitani na Misri katika mzozo wa ujenzi wa bwawa la El Nahdha juu ya maji ya Mto Nile.
-
Libya yahamishia nchini Misri wahamiaji haramu 95
Oct 17, 2019 23:55Serikali ya Libya imewahamishia nchini Misri makumi ya wahamiaji haramu wanaodaiwa kuwa na magonjwa ya kuambukiza.
-
Azma ya Ethiopia, Misri kuhusu mazungumzo ya ujenzi wa bwawa la Mto Nile
Oct 12, 2019 08:38Rais wa Misri Abdel-Fatah al-Sisi na waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed wamesisitiza umuhimu wa kuondoa vizuizi vyote vinavyokabili mazungumzo ya pande tatu juu ya Bwawa la GERD linalojengwa na Ethiopia kwenye Mto Nile.
-
Zaidi ya walimu 1000 wafutwa kazi nchini Misri kwa tuhuma za kuwa wafuasi wa Ikhwanul Muslimin
Oct 08, 2019 23:03Wizara ya Elimu ya Misri imetoa amri ya kuwafuta kazi walimu 1070 kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la Ikhwanul Muslimin. uamuzi huo umetolewa kufuatia maandamano ya hivi karibuni nchini humo dhidi ya serikali ya Abdel Fattah al Sisi.
-
El Sisi 'apigwa mnada' kwa nusu pauni katika mitandao ya kijamii, serikali ya Misri yaja juu
Oct 07, 2019 15:33Mwanaharakati na mpinzani wa Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ameanzisha kampeni ya Hashtagi katika mtandao wa kijamii wa Twitter ya kumpiga mnada kiongozi huyo kwa thamani haba na duni.
-
Licha ya kukumbwa na kashfa za wizi, mauaji na maadili maovu, kasisi mmoja Misri amwita Abdel Fattah el Sisi kuwa ni Nabii wa Mungu
Oct 07, 2019 04:25Kasisi wa kanisa moja nchini Misri, mfuasi wa rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah el Sisi ametoa matamshi ya ajabu ya kumsifu kupindukia rais huyo licha ya kwamba ana kashfa nyingi za wizi, mauaji ya watu na maadili maovu.