Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu

    Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu

    Oct 25, 2019 02:51

    Bunge la Ulaya linalokutana Strasbourg nchini Ufaransa limepasisha azimio la kuilaani serikali ya Misri kutokana na ukiukaji wake wa haki za binadamu.

  • Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha

    Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha

    Oct 23, 2019 02:46

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakusanya mamilioni ya wapiganaji iwapo italazimika kingia vitani na Misri katika mzozo wa ujenzi wa bwawa la El Nahdha juu ya maji ya Mto Nile.

  • Libya yahamishia nchini Misri wahamiaji haramu 95

    Libya yahamishia nchini Misri wahamiaji haramu 95

    Oct 18, 2019 03:25

    Serikali ya Libya imewahamishia nchini Misri makumi ya wahamiaji haramu wanaodaiwa kuwa na magonjwa ya kuambukiza.

  • Azma ya Ethiopia, Misri kuhusu mazungumzo ya ujenzi wa bwawa la Mto Nile

    Azma ya Ethiopia, Misri kuhusu mazungumzo ya ujenzi wa bwawa la Mto Nile

    Oct 12, 2019 12:08

    Rais wa Misri Abdel-Fatah al-Sisi na waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed wamesisitiza umuhimu wa kuondoa vizuizi vyote vinavyokabili mazungumzo ya pande tatu juu ya Bwawa la GERD linalojengwa na Ethiopia kwenye Mto Nile.

  • Zaidi ya walimu 1000 wafutwa kazi nchini Misri kwa tuhuma za kuwa wafuasi wa Ikhwanul Muslimin

    Zaidi ya walimu 1000 wafutwa kazi nchini Misri kwa tuhuma za kuwa wafuasi wa Ikhwanul Muslimin

    Oct 09, 2019 02:33

    Wizara ya Elimu ya Misri imetoa amri ya kuwafuta kazi walimu 1070 kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la Ikhwanul Muslimin. uamuzi huo umetolewa kufuatia maandamano ya hivi karibuni nchini humo dhidi ya serikali ya Abdel Fattah al Sisi.

  • El Sisi 'apigwa mnada' kwa nusu pauni katika mitandao ya kijamii, serikali ya Misri yaja juu

    El Sisi 'apigwa mnada' kwa nusu pauni katika mitandao ya kijamii, serikali ya Misri yaja juu

    Oct 07, 2019 19:03

    Mwanaharakati na mpinzani wa Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ameanzisha kampeni ya Hashtagi katika mtandao wa kijamii wa Twitter ya kumpiga mnada kiongozi huyo kwa thamani haba na duni.

  • Licha ya kukumbwa na kashfa za wizi, mauaji na maadili maovu, kasisi mmoja Misri amwita Abdel Fattah el Sisi kuwa ni Nabii wa Mungu

    Licha ya kukumbwa na kashfa za wizi, mauaji na maadili maovu, kasisi mmoja Misri amwita Abdel Fattah el Sisi kuwa ni Nabii wa Mungu

    Oct 07, 2019 07:55

    Kasisi wa kanisa moja nchini Misri, mfuasi wa rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah el Sisi ametoa matamshi ya ajabu ya kumsifu kupindukia rais huyo licha ya kwamba ana kashfa nyingi za wizi, mauaji ya watu na maadili maovu.

  • Misri: Mazungumzo yetu na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah yamevunjika

    Misri: Mazungumzo yetu na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah yamevunjika

    Oct 06, 2019 08:13

    Serikali ya Misri imesema mazungumzo mapya kati ya nchi hiyo na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah linalojengwa na Addis Ababa yamegonga mwamba.

  • Jumapili, 6 Oktoba, 2019

    Jumapili, 6 Oktoba, 2019

    Oct 06, 2019 02:41

    Leo ni Jumapili tarehe 7 Mfunguo Tano Swafar 1441 Hijiria, sawa na tarehe 6 Oktoba 2019 Miladia.

  • Maelfu watiwa nguvuni Misri katika maandamano yanayomtaka al Sisi ang'atuke

    Maelfu watiwa nguvuni Misri katika maandamano yanayomtaka al Sisi ang'atuke

    Oct 05, 2019 02:39

    Kamisheni ya Haki na Uhuru ya Misri imetangaza kuwa, askari usalama wa nchi hiyo wamewatia nguvuni raia zaidi ya elfu 3 katika maandamano ya wiki mbili za hivi karibuni dhidi ya Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi huyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS