Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Spika wa Bunge Misri amfananisha Rais wa nchi hiyo na Adolf Hitler

    Spika wa Bunge Misri amfananisha Rais wa nchi hiyo na Adolf Hitler

    Oct 03, 2019 07:57

    Spika wa Bunge la Misri amemfananisha Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo na dikteta wa zamani wa Ujerumani Adolf Hitler.

  • Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Sep 30, 2019 08:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukandamizaji na kamatakamata dhidi ya waandamanaji nchini Misri na kusisitiza kuwa nchi hiyo imegeuzwa kuwa gereza kubwa la wakosoaji.

  • Usalama waimarishwa Misri kukabiliana na maandamano dhidi ya Rais Abdul-Fattah al-Sisi

    Usalama waimarishwa Misri kukabiliana na maandamano dhidi ya Rais Abdul-Fattah al-Sisi

    Sep 29, 2019 12:30

    Usalama umeimarishwa kote nchini Misri ili kukabiliana na maandamano ya wananchi dhidi ya Rais wa nchi hiyo Abdul-Fattah al-Sisi ambayo yameshadidi na kutishia uongozi wake.

  • Kuanza tena maandamano ya wananchi huko Misri

    Kuanza tena maandamano ya wananchi huko Misri

    Sep 29, 2019 07:10

    Wananchi wa Misri kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kulalamikia matatizo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii wanayokabiliana nayo na kutaka kuondoka madarakani rais wa nchi hiyo Abdel Fattah al Sisi baada ya kupita miaka 8 ya vuguvufu la harakati ya wananchi wa Misri lililopelekea kung'olewa madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo Hosni Mubarak.

  • Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Sep 27, 2019 02:38

    Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.

  • Kuendelea maandamano nchini Misri, sambamba na uungaji mkono wa Trump kwa Abdul-Fattah al-Sisi

    Kuendelea maandamano nchini Misri, sambamba na uungaji mkono wa Trump kwa Abdul-Fattah al-Sisi

    Sep 26, 2019 10:45

    Katika hali ambayo, Rais Donald Trump wa Marekani alimtaja Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri walipokutana mjini New York makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuwa, 'Kiongozi Mkubwa', maandamano dhidi ya serikali ya Cairo yameendelea kushuhudiwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin wauawa nchini Misri

    Wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin wauawa nchini Misri

    Sep 25, 2019 07:46

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kuwa, polisi wa nchi hiyo wamewapiga risasi na kuwaua wanachama sita wa Ikhwanul Muslim katika mapigano yaliyotokea baina ya pande hizo mbili.

  • Waandamanaji zaidi ya 650 watiwa mbaroni Misri

    Waandamanaji zaidi ya 650 watiwa mbaroni Misri

    Sep 23, 2019 12:33

    Vyombo vya sheria vya Misri vimewatia mbaroni wafanya maandamano zaidi ya 650. Watu hao walikuwa wakiandamana dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah al Sisi.

  • Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Sep 21, 2019 07:14

    Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.

  • Afisa wa zamani wa jeshi la Misri atishia kufichua ufuska wa Rais al Sisi

    Afisa wa zamani wa jeshi la Misri atishia kufichua ufuska wa Rais al Sisi

    Sep 20, 2019 07:24

    Afisa wa zamani wa jeshi la Misri amesema kuwa anazo nyaraka zinazohusiana na ufuska na utovu wa maadili wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya ngono.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS