-
Spika wa Bunge Misri amfananisha Rais wa nchi hiyo na Adolf Hitler
Oct 03, 2019 07:57Spika wa Bunge la Misri amemfananisha Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo na dikteta wa zamani wa Ujerumani Adolf Hitler.
-
Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali
Sep 30, 2019 08:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukandamizaji na kamatakamata dhidi ya waandamanaji nchini Misri na kusisitiza kuwa nchi hiyo imegeuzwa kuwa gereza kubwa la wakosoaji.
-
Usalama waimarishwa Misri kukabiliana na maandamano dhidi ya Rais Abdul-Fattah al-Sisi
Sep 29, 2019 12:30Usalama umeimarishwa kote nchini Misri ili kukabiliana na maandamano ya wananchi dhidi ya Rais wa nchi hiyo Abdul-Fattah al-Sisi ambayo yameshadidi na kutishia uongozi wake.
-
Kuanza tena maandamano ya wananchi huko Misri
Sep 29, 2019 07:10Wananchi wa Misri kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kulalamikia matatizo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii wanayokabiliana nayo na kutaka kuondoka madarakani rais wa nchi hiyo Abdel Fattah al Sisi baada ya kupita miaka 8 ya vuguvufu la harakati ya wananchi wa Misri lililopelekea kung'olewa madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo Hosni Mubarak.
-
Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya
Sep 27, 2019 02:38Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.
-
Kuendelea maandamano nchini Misri, sambamba na uungaji mkono wa Trump kwa Abdul-Fattah al-Sisi
Sep 26, 2019 10:45Katika hali ambayo, Rais Donald Trump wa Marekani alimtaja Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri walipokutana mjini New York makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuwa, 'Kiongozi Mkubwa', maandamano dhidi ya serikali ya Cairo yameendelea kushuhudiwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin wauawa nchini Misri
Sep 25, 2019 07:46Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kuwa, polisi wa nchi hiyo wamewapiga risasi na kuwaua wanachama sita wa Ikhwanul Muslim katika mapigano yaliyotokea baina ya pande hizo mbili.
-
Waandamanaji zaidi ya 650 watiwa mbaroni Misri
Sep 23, 2019 12:33Vyombo vya sheria vya Misri vimewatia mbaroni wafanya maandamano zaidi ya 650. Watu hao walikuwa wakiandamana dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah al Sisi.
-
Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi
Sep 21, 2019 07:14Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.
-
Afisa wa zamani wa jeshi la Misri atishia kufichua ufuska wa Rais al Sisi
Sep 20, 2019 07:24Afisa wa zamani wa jeshi la Misri amesema kuwa anazo nyaraka zinazohusiana na ufuska na utovu wa maadili wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya ngono.