Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai

    Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai

    Sep 15, 2019 07:16

    Vyombo vya usalama vya Misri vimetangaza habari ya kuuawa watu kadhaa katika makabiliano baina ya wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo na wanamgambo huko kaskazini mwa mkoa wa Sinai.

  • Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Sep 14, 2019 11:35

    Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.

  • Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan

    Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan

    Sep 10, 2019 07:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan, akisisitiza kuwa serikali mpya ya kiraia ya Khartoum inahitaji uungaji mkono wa jamii ya kimataifa na sio kuendelea kuwekewa vikwazo na kutengwa.

  • Viongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri wahukumiwa vifungo vya maisha jela

    Viongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri wahukumiwa vifungo vya maisha jela

    Sep 08, 2019 07:20

    Mahakama nchini Misri imewahukumu viongozi kadhaa wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin vifungo vya maisha jela.

  • Ofisi ya mwanasheria wa Misri yachunguza kifo cha mtoto wa Morsi

    Ofisi ya mwanasheria wa Misri yachunguza kifo cha mtoto wa Morsi

    Sep 05, 2019 11:10

    Wakili wa familia ya rais wa zamani wa Misri aliyefariki dunia miezi kadhaa iliyopita akiwa mikononi mwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo, Muhammad Morsi amesema kuwa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo inafanya uchunguzi kuhusu kifo cha mtoto wa mwisho wa Morsi, Abdullah Morsi aliyeaga dunia ghafla hiyo jana.

  • Deni la kigeni la serikali ya Misri linazidi kuongezeka

    Deni la kigeni la serikali ya Misri linazidi kuongezeka

    Aug 27, 2019 11:54

    Benki Kuu ya Misri imetangaza habari ya kuongezeka deni la kigeni la nchi hiyo na kupindukia dola bilioni 106.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Aug 23, 2019 02:31

    Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.

  • Watu wasiopungua 19 waaga dunia Cairo Misri kufuatia mlipuko uliosababishwa na ajali

    Watu wasiopungua 19 waaga dunia Cairo Misri kufuatia mlipuko uliosababishwa na ajali

    Aug 05, 2019 08:13

    Wizara ya Afya ya Misri imetangaza kuwa, kwa akali watu 19 wameuawa mapema leo na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mripuko nje ya Taasisi ya Taifa ya Saratani katikati mwa mji mkuu wa Cairo.

  • Amnesty: Wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula, wanaishi katika hali mbaya

    Amnesty: Wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula, wanaishi katika hali mbaya

    Aug 01, 2019 02:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula katika mojawapo ya jela za nchi hiyo.

  • Matamshi aliyotoa waziri wa Misri Canada kwamba wakosoaji wa serikali 'watakatwa vichwa' yazusha taharuki

    Matamshi aliyotoa waziri wa Misri Canada kwamba wakosoaji wa serikali 'watakatwa vichwa' yazusha taharuki

    Jul 25, 2019 06:56

    Matamshi yaliyotolewa nchini Canada na waziri mmoja wa serikali ya Misri ya kuwatisha wapinzani wa serikali ya rais Abdel Fattah el Sisi wa nchi hiyo yamezusha taharuki miongoni mwa wananchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS