-
Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai
Sep 15, 2019 07:16Vyombo vya usalama vya Misri vimetangaza habari ya kuuawa watu kadhaa katika makabiliano baina ya wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo na wanamgambo huko kaskazini mwa mkoa wa Sinai.
-
Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta
Sep 14, 2019 11:35Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.
-
Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan
Sep 10, 2019 07:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan, akisisitiza kuwa serikali mpya ya kiraia ya Khartoum inahitaji uungaji mkono wa jamii ya kimataifa na sio kuendelea kuwekewa vikwazo na kutengwa.
-
Viongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri wahukumiwa vifungo vya maisha jela
Sep 08, 2019 07:20Mahakama nchini Misri imewahukumu viongozi kadhaa wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin vifungo vya maisha jela.
-
Ofisi ya mwanasheria wa Misri yachunguza kifo cha mtoto wa Morsi
Sep 05, 2019 11:10Wakili wa familia ya rais wa zamani wa Misri aliyefariki dunia miezi kadhaa iliyopita akiwa mikononi mwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo, Muhammad Morsi amesema kuwa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo inafanya uchunguzi kuhusu kifo cha mtoto wa mwisho wa Morsi, Abdullah Morsi aliyeaga dunia ghafla hiyo jana.
-
Deni la kigeni la serikali ya Misri linazidi kuongezeka
Aug 27, 2019 11:54Benki Kuu ya Misri imetangaza habari ya kuongezeka deni la kigeni la nchi hiyo na kupindukia dola bilioni 106.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar
Aug 23, 2019 02:31Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.
-
Watu wasiopungua 19 waaga dunia Cairo Misri kufuatia mlipuko uliosababishwa na ajali
Aug 05, 2019 08:13Wizara ya Afya ya Misri imetangaza kuwa, kwa akali watu 19 wameuawa mapema leo na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mripuko nje ya Taasisi ya Taifa ya Saratani katikati mwa mji mkuu wa Cairo.
-
Amnesty: Wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula, wanaishi katika hali mbaya
Aug 01, 2019 02:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula katika mojawapo ya jela za nchi hiyo.
-
Matamshi aliyotoa waziri wa Misri Canada kwamba wakosoaji wa serikali 'watakatwa vichwa' yazusha taharuki
Jul 25, 2019 06:56Matamshi yaliyotolewa nchini Canada na waziri mmoja wa serikali ya Misri ya kuwatisha wapinzani wa serikali ya rais Abdel Fattah el Sisi wa nchi hiyo yamezusha taharuki miongoni mwa wananchi.