Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3 mingine

    Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3 mingine

    Jul 22, 2019 06:59

    Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kuongeza muda wa hali ya hatari nchini humo kwa kipindi cha miezi mitatu mingine.

  • Makumi ya magaidi waangamizwa na jeshi la Misri eneo la Sinai

    Makumi ya magaidi waangamizwa na jeshi la Misri eneo la Sinai

    Jul 20, 2019 07:24

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa limeua magaidi 20 katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki

    Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki

    Jul 13, 2019 07:13

    Mwanadiplomasia na mgombea wa zamani wa uchaguzi wa rais nchini Misri, Abdullah al-Ashaal amezitaka nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki.

  • Misri kuwauzia wageni uraia wa nchi hiyo kwa dola elfu kumi

    Misri kuwauzia wageni uraia wa nchi hiyo kwa dola elfu kumi

    Jul 08, 2019 11:27

    Bunge la Misri limekubaliana na mpango wa serikali ya nchi hiyo kwa kuwauzia uraia wageni kwa dola elfu kumi za Kimarekani licha ya baadhi ya wabunge kupinga suala hilo.

  • Jumatano, tarehe 3 Julai, 2019

    Jumatano, tarehe 3 Julai, 2019

    Jul 03, 2019 02:16

    Leo ni Jumatano tarehe 29 Shawwal 1440 Hijria sawa na Julai 3 mwaka 2019.

  • Ikhwanul Muslimin ya Misri yatangaza mikakati mipya baada ya kifo cha Morsi

    Ikhwanul Muslimin ya Misri yatangaza mikakati mipya baada ya kifo cha Morsi

    Jul 01, 2019 01:30

    Kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri limetangaza mikakati yake mipya baada ya kufariki dunia Mohammad Morsi, mwanachama mwandamizi wa kundi hilo ambaye alikuwa rais wa kwanza wa Misri kuwahi kuchaguliwa kidemokrasia.

  • Mwana wa Morsi ahadithia alivyopewa maiti ya baba yake, asisitiza ameuawa

    Mwana wa Morsi ahadithia alivyopewa maiti ya baba yake, asisitiza ameuawa

    Jun 25, 2019 02:30

    Abdullah Morsi mwana wa kiume wa aliyekuwa rais wa Misri Muhammad Morsi aliyefariki dunia siku chache zilizopita akiwa kizimbani kusikiliza kesi iliyokuwa ikimkabili amehadithia jinsi alivyokabidhiwa mwili wa baba yake na jinsi alivyoaga dunia.

  • Misri: Rais Tayyip Erdoğan ana uhusiano na kundi la Ikhwanul Muslimin

    Misri: Rais Tayyip Erdoğan ana uhusiano na kundi la Ikhwanul Muslimin

    Jun 21, 2019 08:02

    Serikali ya Misri kupitia Waziri wake wa Mambo ya Nje imemtuhumu Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuwa ana uhusiano na kundi la Ikhwanul Muslimin.

  • UN yataka Misri ifanye uchunguzi huru wa kifo cha Morsi

    UN yataka Misri ifanye uchunguzi huru wa kifo cha Morsi

    Jun 19, 2019 02:40

    Ofisi ya Kamishna mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imesema ni matumaini yake kuwa uchunguzi huru na wa kina utafanyika juu ya mazingira ya kifo cha rais wa zamani wa Misri, Mohamed Morsi kilichotokea jana wakati akiwa mahakamani.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi

    Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi

    Jun 18, 2019 12:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mkono wa pole kwa familia ya Mohammed Morsi, kufuatia kifo tata cha rais huyo wa zamani wa Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS