-
Jumanne, Juni 18, 2019
Jun 18, 2019 02:23Leo ni Jumanne tarehe 14 Mfunguo Mosi Shawwal 1440 Hijria inayosadifiana na Juni 18 mwaka 2019 Milaadia.
-
Muhammad Morsi aaga dunia mahakamani wakati kesi yake ikisikilizwa
Jun 17, 2019 20:03Muhammad Morsi rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini Misri na kupinduliwa na jeshi ameaga dunia akiwa mahakamani kusikiliza kesi iliyokuwa ikimkabili.
-
Ulimwengu wa Michezo, Juni 17
Jun 17, 2019 09:26Mkusanyiko wa matukio ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita...
-
Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao
Jun 05, 2019 11:59Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.
-
Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri
Jun 05, 2019 11:28Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa askari wanane wa serikali katika mkoa wa Sinai wa kaskazini mwa nchi hiyo.
-
HRW: Misri imetenda jinai za kivita katika mkoa wa Sinai
May 28, 2019 13:42Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Righs Watch (HRW) limesema kuwa askari usalama wa Misri wametenda jinai za kivita kwa kuwalenga kwa mashambulizi raia katika Peninsula ya Sinai kaskazini mwaMisri.
-
Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza
May 25, 2019 10:24Utafiti mpya umefichua kuwa, takriban watu milioni 10 katika kanda ya Afrika Mashariki wanavuta bangi kinyume cha sheria, huku Tanzania ikishika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo.
-
Basi jingine la watalii lashambuliwa karibu na Mapiramidi ya Giza, Misri
May 19, 2019 14:26Watu 16 wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililolenga basi la watalii karibu na Mapiramidi ya Giza, eneo ambalo ni kivutio kikuu cha watalii, nje kidogo ya mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai
May 17, 2019 02:32Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Jumanne, 30 Aprili, 2019
Apr 30, 2019 04:09Leo ni Jumanne tarehe 24 Sha'aban 1440 Hijria mwafaka na tarehe 30 Aprili 2019 Miladia.