Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Jumanne, Juni 18, 2019

    Jumanne, Juni 18, 2019

    Jun 18, 2019 02:23

    Leo ni Jumanne tarehe 14 Mfunguo Mosi Shawwal 1440 Hijria inayosadifiana na Juni 18 mwaka 2019 Milaadia.

  • Muhammad Morsi aaga dunia mahakamani wakati  kesi yake ikisikilizwa

    Muhammad Morsi aaga dunia mahakamani wakati kesi yake ikisikilizwa

    Jun 17, 2019 20:03

    Muhammad Morsi rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini Misri na kupinduliwa na jeshi ameaga dunia akiwa mahakamani kusikiliza kesi iliyokuwa ikimkabili.

  • Ulimwengu wa Michezo, Juni 17

    Ulimwengu wa Michezo, Juni 17

    Jun 17, 2019 09:26

    Mkusanyiko wa matukio ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita...

  • Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Jun 05, 2019 11:59

    Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri

    Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri

    Jun 05, 2019 11:28

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa askari wanane wa serikali katika mkoa wa Sinai wa kaskazini mwa nchi hiyo.

  • HRW: Misri imetenda jinai za kivita katika mkoa wa Sinai

    HRW: Misri imetenda jinai za kivita katika mkoa wa Sinai

    May 28, 2019 13:42

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Righs Watch (HRW) limesema kuwa askari usalama wa Misri wametenda jinai za kivita kwa kuwalenga kwa mashambulizi raia katika Peninsula ya Sinai kaskazini mwaMisri.

  • Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza

    Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza

    May 25, 2019 10:24

    Utafiti mpya umefichua kuwa, takriban watu milioni 10 katika kanda ya Afrika Mashariki wanavuta bangi kinyume cha sheria, huku Tanzania ikishika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo.

  • Basi jingine la watalii lashambuliwa karibu na Mapiramidi ya Giza, Misri

    Basi jingine la watalii lashambuliwa karibu na Mapiramidi ya Giza, Misri

    May 19, 2019 14:26

    Watu 16 wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililolenga basi la watalii karibu na Mapiramidi ya Giza, eneo ambalo ni kivutio kikuu cha watalii, nje kidogo ya mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    May 17, 2019 02:32

    Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Jumanne, 30 Aprili, 2019

    Jumanne, 30 Aprili, 2019

    Apr 30, 2019 04:09

    Leo ni Jumanne tarehe 24 Sha'aban 1440 Hijria mwafaka na tarehe 30 Aprili 2019 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS