Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Basi jingine la watalii lashambuliwa karibu na Mapiramidi ya Giza, Misri

    Basi jingine la watalii lashambuliwa karibu na Mapiramidi ya Giza, Misri

    May 19, 2019 09:56

    Watu 16 wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililolenga basi la watalii karibu na Mapiramidi ya Giza, eneo ambalo ni kivutio kikuu cha watalii, nje kidogo ya mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    May 16, 2019 22:02

    Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Jumanne, 30 Aprili, 2019

    Jumanne, 30 Aprili, 2019

    Apr 29, 2019 23:39

    Leo ni Jumanne tarehe 24 Sha'aban 1440 Hijria mwafaka na tarehe 30 Aprili 2019 Miladia.

  • Katiba mpya ya Misri na mustakabali wa nchi hiyo

    Katiba mpya ya Misri na mustakabali wa nchi hiyo

    Apr 24, 2019 21:51

    Asilimia 88.8 ya wananchi wa Misri walioshiriki katika kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba ya nmchi hiyo wamepiga kura ya ndiyo na kwa muktadha huo, Rais Abdulfattah as-Sisi wa nchi hiyo anaweza kuendelea kutawala hadi mwaka 2030.

  • Kura ya maoni kuhusu katiba ya Misri yapitishwa kwa asilimia 88

    Kura ya maoni kuhusu katiba ya Misri yapitishwa kwa asilimia 88

    Apr 24, 2019 03:20

    Kura ya maoni ambayo imekuwa ikifanyika nchini Misri tokea tarehe 20 Aprili ilikamilika Jumatatu usiku ambapo Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kwamba ushiriki wa wananchi ulikuwa wa asilimia 44.33.

  • Taasisi za Kiislamu za Ufaransa: Imarati na Misri zinawapaka matope Waislamu

    Taasisi za Kiislamu za Ufaransa: Imarati na Misri zinawapaka matope Waislamu

    Apr 22, 2019 22:51

    Umoja wa Taasisi za Kiislamu za Ufaransa umesema kuwa, vitendo vya Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri vinaupaka matope Uislamu duniani na kupelekea kuongezeka mashambulizi dhidi ya Waislamu barani Ulaya.

  • Wananchi wa Misri wapiga kura 'kurefusha uongozi wa Sisi'

    Wananchi wa Misri wapiga kura 'kurefusha uongozi wa Sisi'

    Apr 20, 2019 08:41

    Wananchi wa Misri hii leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki kura ya maoni, yenye azma ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili inayoruhusiwa na katiba.

  • Misri yatangaza tarehe ya kura ya maoni ya kurefusha uongozi wa Sisi

    Misri yatangaza tarehe ya kura ya maoni ya kurefusha uongozi wa Sisi

    Apr 17, 2019 23:16

    Tume ya Uchaguzi ya Misri imetangaza tarehe ya kura ya maoni yenye azma ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili inayoruhusiwa na katiba.

  • Misri yaunga mkono mashambulizi ya vikosi vya Haftar nchini Libya

    Misri yaunga mkono mashambulizi ya vikosi vya Haftar nchini Libya

    Apr 15, 2019 03:32

    Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ametangaza kuwa anaunga mkono mashambulizi yanayofaywa na vikosi vya Jenerali Khalifa Haftar yenye lengo la kuudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Zaidi ya watu 2000 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Zaidi ya watu 2000 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Apr 14, 2019 12:23

    Mahakama za Misri zimetoa adhabu ya kifo kwa watu elfu mbili na 159 nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS