Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Katiba mpya ya Misri na mustakabali wa nchi hiyo

    Katiba mpya ya Misri na mustakabali wa nchi hiyo

    Apr 25, 2019 02:21

    Asilimia 88.8 ya wananchi wa Misri walioshiriki katika kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba ya nmchi hiyo wamepiga kura ya ndiyo na kwa muktadha huo, Rais Abdulfattah as-Sisi wa nchi hiyo anaweza kuendelea kutawala hadi mwaka 2030.

  • Kura ya maoni kuhusu katiba ya Misri yapitishwa kwa asilimia 88

    Kura ya maoni kuhusu katiba ya Misri yapitishwa kwa asilimia 88

    Apr 24, 2019 07:50

    Kura ya maoni ambayo imekuwa ikifanyika nchini Misri tokea tarehe 20 Aprili ilikamilika Jumatatu usiku ambapo Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza kwamba ushiriki wa wananchi ulikuwa wa asilimia 44.33.

  • Taasisi za Kiislamu za Ufaransa: Imarati na Misri zinawapaka matope Waislamu

    Taasisi za Kiislamu za Ufaransa: Imarati na Misri zinawapaka matope Waislamu

    Apr 23, 2019 03:21

    Umoja wa Taasisi za Kiislamu za Ufaransa umesema kuwa, vitendo vya Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri vinaupaka matope Uislamu duniani na kupelekea kuongezeka mashambulizi dhidi ya Waislamu barani Ulaya.

  • Wananchi wa Misri wapiga kura 'kurefusha uongozi wa Sisi'

    Wananchi wa Misri wapiga kura 'kurefusha uongozi wa Sisi'

    Apr 20, 2019 13:11

    Wananchi wa Misri hii leo wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki kura ya maoni, yenye azma ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili inayoruhusiwa na katiba.

  • Misri yatangaza tarehe ya kura ya maoni ya kurefusha uongozi wa Sisi

    Misri yatangaza tarehe ya kura ya maoni ya kurefusha uongozi wa Sisi

    Apr 18, 2019 03:46

    Tume ya Uchaguzi ya Misri imetangaza tarehe ya kura ya maoni yenye azma ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili inayoruhusiwa na katiba.

  • Misri yaunga mkono mashambulizi ya vikosi vya Haftar nchini Libya

    Misri yaunga mkono mashambulizi ya vikosi vya Haftar nchini Libya

    Apr 15, 2019 08:02

    Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ametangaza kuwa anaunga mkono mashambulizi yanayofaywa na vikosi vya Jenerali Khalifa Haftar yenye lengo la kuudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Zaidi ya watu 2000 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Zaidi ya watu 2000 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Apr 14, 2019 16:53

    Mahakama za Misri zimetoa adhabu ya kifo kwa watu elfu mbili na 159 nchini humo.

  • Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Apr 11, 2019 08:06

    Serikali ya Misri imetangaza uamuzi wa kujiondoa katika muungano dhidi ya Iran unaojulikana kama "NATO ya Kiarabu" ambao unaongozwa na Marekani.

  • Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa

    Apr 11, 2019 06:16

    Serikali ya Misri imetangaza uamuzi wa kujiondoa katika muungano dhidi ya Iran unaojulikana kama "NATO ya Kiarabu" ambao unaongozwa na Marekani.

  • Wapinzani nchini Misri wakosoa azma ya kuondoa kikomo cha urais

    Wapinzani nchini Misri wakosoa azma ya kuondoa kikomo cha urais

    Mar 28, 2019 04:45

    Muungano wa upinzani nchini Misri umekosoa vikali mpango wa kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS