-
Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa
Apr 11, 2019 03:36Serikali ya Misri imetangaza uamuzi wa kujiondoa katika muungano dhidi ya Iran unaojulikana kama "NATO ya Kiarabu" ambao unaongozwa na Marekani.
-
Misri yajiondoa katika muungano dhidi ya Iran, Marekani yachanganyikiwa
Apr 11, 2019 01:46Serikali ya Misri imetangaza uamuzi wa kujiondoa katika muungano dhidi ya Iran unaojulikana kama "NATO ya Kiarabu" ambao unaongozwa na Marekani.
-
Wapinzani nchini Misri wakosoa azma ya kuondoa kikomo cha urais
Mar 28, 2019 00:15Muungano wa upinzani nchini Misri umekosoa vikali mpango wa kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo kugombea zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.
-
Maelfu ya watu wanahitaji kuokolewa Msumbiji baada ya kimbunga cha Idai
Mar 22, 2019 03:47Habari kutoka nchini Msumbiji zinasema kuwa, watu zaidi ya 15,000 wanahitaji kuokolewa haraka na kupewa hifadhi kufuatia kimbunga cha Idai kilichotokea hivi karibuni nchini humo na kusababisha vifo vya mamia ya watu.
-
Jumatatu, 18 Machi, 2019
Mar 17, 2019 21:46leo ni Jumatatu tarehe 11 Rajab mwaka 1440 Hijria sawa na Machi 18 mwaka 2019.
-
Utumiaji wa mihadarati Misri watia fora, hata watoto wa miaka 9 wanavuta
Mar 12, 2019 12:46Afisa mmoja wa serikali ya Misri amesema kuwa, kiwango cha utumiaji wa dawa za kulevya na mihadarati kimeongezeka na kufikia asilimia 10.4 nchini humo na kwamba umri wa watumiaji wa dawa hizo pia umepungua kiasi kwamba hata watoto wa miaka 9 wanatumia madawa hayo.
-
Magaidi 46 wanaofungamana na Kundi la Daesh waangamizwa Sinai, Misri
Mar 11, 2019 13:17Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 46 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katikati ya mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
El Baradei akosoa ukandamizaji dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri
Mar 03, 2019 23:10Makamu wa zamani wa rais wa Misri amekosoa ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya wafungwa wa kisiasa ikiwa ni pamoja na kuzuia familia za wafungwa hao kuwatembelea korokoroni kwa kipindi kirefu.
-
Mamia ya waandamanaji watiwa nguvuni Misri, wanamtaka al Sisi ang'atuke
Mar 02, 2019 04:18Askari usalama wa Misri wamewatia nguvuni mamia ya vijana waliofanya maandamano katika maneo mbalimbali ya nchi hiyo wakipinga utawala wa Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo.
-
Afisa wa Misri: Utawala wa Israel unalenga kuigawa Afrika vipande vipande
Feb 26, 2019 11:48Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa unafuatilia njama ya kuzigawa vipande vipande nchi za Afrika.