-
Watetezi wa haki za binadamu waandamana kupinga hukumu za vifo Misri
Feb 22, 2019 13:42Watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano katika nchi kadhaa duniani kupinga utekelezaji wa hukumu ya kifo dhidi ya wapinzani wa serikali ya Misri.
-
Magaidi 16 wauawa Sinai Kaskazini nchini Misri
Feb 19, 2019 12:12Jeshi la Misri limewauwa magaidi 16 katika oparesheni ya ulipizaji kisasi iliyoifanya katika mji wa Arisha katika eneo la Sinai Kaskazini.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Misri
Feb 19, 2019 00:55Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyolenga wanajeshi wa Misri katika eneo la Sinai.
-
Kadhaa wauawa katika makabiliano baina ya jeshi la Misri na magaidi, Sinai
Feb 16, 2019 09:10Mapigano kati ya askari usalama wa Misri na watu waliokuwa na silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini yamesababisha askari kadhaa na wanagambao kuuawa.
-
Hofu ya Amnesty International baada ya Misri kupewa uenyekiti wa AU
Feb 09, 2019 04:26Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasi wasi wake baada ya Misri kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika kwa mwaka huu 2019, likisisitiza kuwa ukandamizaji wa haki za binadamu umefikia katika upeo wa juu kabisa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.
-
Nchi tatu za Afrika zataka Russia iwepo kijeshi katika ardhi zao
Feb 05, 2019 23:16Libya, Sudan na Misri, nchi tatu za Kiarabu za bara la Afrika zimetangaza utayari wa kuwapokea askari wa Russia au kuiruhusu nchi hiyo ianzishe kituo cha kijeshi katika ardhi zao.
-
Bunge la Misri lajadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais
Feb 05, 2019 12:19Bunge la Misri leo Jumanne limeanza kujadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.
-
Libya yaanza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri
Jan 22, 2019 11:29Serikali ya Libya imeanzisha ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri kwa lengo la kuzuia kuingia wanachama wa kigaidi katika nchi hiyo.
-
Magaidi sita waangamizwa na maafisa usalama kusini mwa Misri
Jan 13, 2019 04:20Wanachama sita wa genge moja la kigaidi wameuawa katika operesheni ya maafisa usalama huko kusini mwa Misri.
-
Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza
Jan 12, 2019 23:29Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametangaza habari ya kuanzishwa kivuko cha kibiashara katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na Misri.