Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Jan 05, 2019 11:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeripoti kuwa, ukandamizaji wa haki ya kujieleza umefikia kileleni katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa Misri, Abbel Fattah al Sisi.

  • CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi

    CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi

    Jan 05, 2019 04:27

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ameiomba kanali ya televisheni ya CBS ya Marekani kutorusha hewani mahojiano iliyomfanyia, ambapo alifichua kuhusu uhusiano wa karibu wa kijeshi wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya watalii nchini Misri

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya watalii nchini Misri

    Dec 30, 2018 11:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi la hivi karibuni lililopelekea kuuawa watalii kadhaa huko nchini Misri.

  • Watu kadhaa wakiwemo watalii wauawa katika mripuko wa bomu Misri

    Watu kadhaa wakiwemo watalii wauawa katika mripuko wa bomu Misri

    Dec 29, 2018 04:32

    Watalii watatu wa Vietnam na raia mmoja wa Misri wameuawa baada ya bomu lililotegwa kando ya barabara kuripukia basi lililokuwa likifanya safari ya kitalii karibu na Mapiramidi ya Giza nje kidogo ya mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Maafisa wa Iran na Misri wajadili masuala ya pande mbili

    Maafisa wa Iran na Misri wajadili masuala ya pande mbili

    Dec 27, 2018 11:13

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa, Hossein Amir-Abdollahian amekutana hapa mjini Tehran na kufanya mazungumzo na afisa mkuu anayeshughulikia maslahi ya Misri hapa nchini, Yasser Othman ambapo wamesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili.

  • Misri yamteua mkuu mpya wa intelijinsia wa jeshi

    Misri yamteua mkuu mpya wa intelijinsia wa jeshi

    Dec 23, 2018 11:44

    Misri imemteua Meja Jenerali Khalid Megawer kuwa Mkuu Mpya wa Intelijinsia wa Jeshi la nchi hiyo. Nafasi hiyo awali ilikuwa ikishikiliwa na Mohamed al Shahat.

  • Wanajeshi wanne wa Misri wauawa mapiganoni katika mkoa wa Sinai

    Wanajeshi wanne wa Misri wauawa mapiganoni katika mkoa wa Sinai

    Dec 17, 2018 04:47

    Wanajeshi wanne wa Misri wameuawa katika mapigano kati ya jeshi la serikali na makundi ya waasi katika mkoa wa Sinai ya kaskazini nchini humo.

  • Serikali ya Misri yaogopa kivuli chake, yapiga marufuku uuzaji wa 'vizibao vya njano'

    Serikali ya Misri yaogopa kivuli chake, yapiga marufuku uuzaji wa 'vizibao vya njano'

    Dec 11, 2018 03:51

    Serikali ya Misri imepiga marufuku uuzaji wa vizibao vya njano, ikihofia kuwa huenda wapinzani wakavitumia katika maandamano kama yale yanayoshuhudiwa nchini Ufaransa kwa zaidi ya wiki nne sasa.

  • Mazoezi ya kijeshi ya nchi nne za Afrika yaanza nchini Misri

    Mazoezi ya kijeshi ya nchi nne za Afrika yaanza nchini Misri

    Dec 10, 2018 12:36

    Majeshi ya nchi nne za Misri, Nigeria, Sudan na Burkina Faso yameanza kufanya luteka na mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika kambi moja ya kijeshi ya magharibi mwa Misri.

  • Misri nayo yataka marekebisho ya katiba ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Misri nayo yataka marekebisho ya katiba ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Dec 07, 2018 20:55

    Mahakama moja nchini Misri imetangaza Disemba 23 kama siku ya kusikiliza ombi la kutaka kufanyiwa marekebisho katiba ya nchi, yatakayomruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS