-
Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni
Dec 06, 2018 02:39Mkutano wa 92 wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni umefanyika katika makao makuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mjini Cairo Misri na kushirikishwa wawakilishi kutoka nchi za Kiarabu na wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.
-
Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin ya Misri ahukumiwa kifungo kingine cha maisha jela
Dec 05, 2018 23:16Katika mwendelezo wa utoaji hukumu za adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin, mahakama ya Misri imemhukumu Muhammad Badie na washtakiwa wengine watano hukumu ya kifungo cha maisha jela katika kesi nyingine iliyokuwa ikiwakabili.
-
Misri na Saudia zasema mzingiro dhidi ya Qatar utaendelea
Nov 28, 2018 04:11Saudi Arabia na Misri zimesema mzingiro na vikwazo zilivyoiwekea Qatar kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa vitaendelea kwa muda usiojulikana, licha ya Doha kuwasilisha lalama zake mbele ya mahakama za kimataifa na taasisi za Umoja wa Mataifa ili kushinikiza kuhitimishwa mzingiro huo.
-
Sudan na Misri zaafiki doria ya pamoja mpakani kukabiliana na ugaidi
Nov 26, 2018 04:47Sudan na Misri zimekubaliana kulinda doria ya pamoja katika mpaka kati yao na kuzindua kikosi cha pamoja katika siku za baadaye ili kupambana na ugaidi.
-
Waandishi 100 wa habari waahidi kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman
Nov 26, 2018 01:15Waandishi wa habari 100 nchini Misri wametia saini hati ya kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia atakapotembelea nchi hiyo.
-
Duru mpya ya mazungumzo kati ya Misri na Ethiopia kuhusu bwawa la An Nahdhah
Nov 19, 2018 04:00Viongozi wa Misri wameripoti kuhusu kuanza mazungumzo mapya kati ya nchi hiyo na Ethiopia kuhusu bwawa la An Nahdhah.
-
HRW: Misri inawazuilia kusikojulikana makumi ya watetezi wa haki za binadamu
Nov 18, 2018 10:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema vyombo vya usalama nchini Misri vimewatia nguvuni na kuwazuilia kusikojulikana makumi ya watetezi wa haki za binadamu tangu mwezi uliopita wa Oktoba hadi sasa.
-
Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds
Nov 06, 2018 04:34Misri imesimamisha safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil aliyetazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wiki hii, kulalamikia kitendo cha Rais Mteule wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake ulioko Israel katika mji wa Quds Tukufu.
-
Sheikh wa Azhar alaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Wakristo nchini Misri
Nov 03, 2018 10:58Sheikh Mkuu wa al Azhar amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga Wakristo wa Kikopti nchini humo.
-
Majina 164 ya wanachama wa Ikhwanul Muslimin yawekwa katika orodha ya makundi ya kigaidi Misri
Oct 29, 2018 01:10Mahakama moja ya mjini Cairo Misri imeyaweka majina 164 ya viongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchi hiyo katika orodha ya makundi ya kigaidi.