-
Jeshi la Misri laua magaidi 13 katikati mwa nchi hiyo
Oct 28, 2018 01:11Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kwamba maafisa wa usalama wa nchi hiyo wamewaua wanachama 13 wa kundi moja la kigaidi katikati ya nchi.
-
Sudan yaondoa marufuku ya uingizaji mazao ya kilimo kutoka Misri
Oct 26, 2018 04:41Rais Omar al Bashir wa Sudan jana alitoa dikrii na kuondoa marufuku ya miezi 17 ya kuzuia kuingizwa nchini humo mazao ya kilimo kutoka Misri.
-
Mripuko wa bomu Sinai, Misri waua wafanyakazi watatu
Oct 25, 2018 10:22Wafanyakazi watatu raia wa Misri wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi katika eneo linalokumbwa na misukosuko na ukosefu wa usalama la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Misri yajiandaa kutuma jeshi nchini Libya
Oct 22, 2018 11:19Duru za habari zimetangaza kuwa, serikali ya Misri imechukua uamuzi wa kutuma jeshi katika nchi jirani ya Libya kwa ajili ya kulisaidia jeshi la Khalifa Haftar linalojulikana kama Jeshi la Taifa.
-
Misri yatangaza kurefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3 mingine
Oct 22, 2018 04:18Bunge la Misri jana lilipiga kura ya kurefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi mingine mitatu na hivyo kurefusha nguvu ya serikali ya kutumia madaraka maalumu kuelekea mwaka 2019.
-
AI yailaumu Ufaransa kwa kuiuzia silaha serikali ya Misri
Oct 17, 2018 03:48Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty international limeikosoa vikali Ufaransa na nchi nyingine kadhaa za Ulaya kwa kuendelea kuiuzia silaha serikali ya Misri na kusema kwamba, zimekiuka maamuzi ya Umoja wa Ulaya ya kupiga marufuku kuiuzia silaha serikali ya Cairo.
-
Waarabu wataka utatuzi wa kudumu wa mgogoro wa Libya
Oct 15, 2018 04:15Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League amesisitizia haja ya kutafutwa utatuzi wa kimsingi na wa kudumu wa mgogoro wa Libya.
-
Gaidi hatari zaidi wa Misri atiwa nguvuni Derna, Libya
Oct 08, 2018 23:05Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ametangaza kuwa, jeshi hilo limemtia nguvuni kinara wa makundi ya kigaidi katika mkoa wa Derna huko kaskazini mwa Libya.
-
Zaidi ya magaidi 50 wauawa Sinai, Misri
Oct 08, 2018 09:48Jeshi la Misri limetangaza kuwa, magaidi 52 wameuawa katika operesheni ya kijeshi iliyofanyika dhidi ya kundi moja la kigaidi katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Magaidi 15 waangamizwa Sinai Kaskazini nchini Misri
Oct 03, 2018 23:11Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 15 katika mapigano baina ya vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo na magaidi hao kaskazini mwa Misri.