-
UN: Somalia, Misri, Ethiopia zaongoza kwa ukeketaji
Feb 06, 2016 04:15Umoja wa Mataifa umesema utamaduni wa kuwakeketa wasichana wadogo na wanawake umeongezeka kwa kiwango kikubwa katika nchi mbali mbali duniani, licha ya kampeni za kupiga vita jambo hilo.
-
Mahakama ya Misri yafuta hukumu ya kifo dhidi ya wapinzani 149
Feb 03, 2016 10:51Mahakama ya Rufaa nchini Misri imefuta hukumu ya kifo iliyokuwa imetolewa hapo awali dhidi ya wapinzani 149 wa serikali nchini humo.