Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Qatar: Kuuvamia Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    Qatar: Kuuvamia Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    Jun 04, 2019 06:27

    Qatar imelaani jinai ya mamia ya walowezi wa Kizayuni ya kuuvamia Msikiti wa al Aqsa na kuwajeruhi Waislamu kadhaa waliokuwa wanasali msikitini humo kwa kushirikiana na wanajeshi katili wa Israel.

  • Hamas walaani uvamizi wa wanajeshi wa Israel ndani ya Msikiti wa al Aqsa + Video

    Hamas walaani uvamizi wa wanajeshi wa Israel ndani ya Msikiti wa al Aqsa + Video

    Jun 02, 2019 10:59

    Mjumbe mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani kitendo cha wanajeshi na walowezi wa Kizayuni cha kuvamia na kuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa na matukufu mengine ya Kiislamu.

  • Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa wakati wa Sala

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa wakati wa Sala

    May 20, 2019 10:12

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Waislamu Wapalestina waliokuwa wakiswali katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem).

  • Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Apr 12, 2019 04:31

    Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliongoza genge la walowezi wa Kizayuni katika kushambulia na kuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa na kibla cha kwanza cha Waislamu wote duniani.

  • Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Mar 16, 2019 07:56

    Wananchi wa Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Masjid al Aqswa, Kibla cha Kwanza cha Waislamu kinachokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Matakwa matatu ya Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan dhidi ya Israel

    Mar 15, 2019 07:21

    Kamisheni ya Masuala ya Palestina ya Bunge la Jordan imetoa wito wa kufukuzwa balozi wa Israel mjini Amman, kurejeshwa nyumbani balozi wa Jordan huko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kufutwa mkataba wa gesi na Israel.

  • Palestina yapuuza agizo la mahakama ya Israel la kufunga lango la Msikiti wa al-Aqsa

    Palestina yapuuza agizo la mahakama ya Israel la kufunga lango la Msikiti wa al-Aqsa

    Mar 06, 2019 13:55

    Mamlaka ya Wakfu wa Kidini ya Palestina imepuuzilia mbali agizo lililotolewa na mahakama ya utawala wa Kizayuni wa Israel la kuitaka ifunge moja ya malango muhimu ya Msikiti Mtukufu wa al-Aqsa.

  • HAMAS: Taifa la Palestina limethibitisha kwamba, Masjidul Aqswa ni mstari mwekundu

    HAMAS: Taifa la Palestina limethibitisha kwamba, Masjidul Aqswa ni mstari mwekundu

    Feb 23, 2019 07:32

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa Umma wa Kiislamu.

  • Iran yalaani shambulizi la Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa

    Iran yalaani shambulizi la Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa

    Feb 22, 2019 14:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali hujuma iliyofanywa na Wazayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa na maeneo mengine ya kihistoria na Kiislamu huko Baitul Muqaddas.

  • Adnan al-Husayni aonya kuhusu njama za kuugawa Msikiti wa al-Aqswa

    Adnan al-Husayni aonya kuhusu njama za kuugawa Msikiti wa al-Aqswa

    Feb 21, 2019 02:53

    Waziri wa Masuala ya Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusiana na njama za kutaka kuugawa Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS