Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Walowezi wa Kizayuni na mbunge wa zamani wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni na mbunge wa zamani wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa al-Aqswa

    Aug 24, 2023 02:34

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wakiwa pamoja na Mbunge wa zamani wa Bunge la Israel wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.

  • OIC yatoa wito wa kulindwa Msikiti wa Al-Aqsa

    OIC yatoa wito wa kulindwa Msikiti wa Al-Aqsa

    Aug 23, 2023 02:36

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kulindwa hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima

    Aug 22, 2023 10:35

    Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.

  • Kwa mara nyingine walowezi wa Kizayuni wenye chuki na Uislamu wavamia msikiti wa al-Aqswa

    Kwa mara nyingine walowezi wa Kizayuni wenye chuki na Uislamu wavamia msikiti wa al-Aqswa

    Aug 10, 2023 13:28

    Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.

  • Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Aug 10, 2023 02:22

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.

  • Wazayuni wauvunjia heshima tena Msikiti wa al-Aqsa

    Wazayuni wauvunjia heshima tena Msikiti wa al-Aqsa

    Aug 02, 2023 10:40

    Katika hatua ambayo imekuwa ni ya kawaida katika miezi ya hivi karibuni, Wazayuni kwa mara nyingine tena wameingia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa kwa uungaji mkono wa jeshi la utawala ghasibu wa Isreal.

  • Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Jul 17, 2023 04:32

    Wazayuni maghasibu wenye misimamo ya kufurutu ada Kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.

  • Wazayuni waushambulia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Wazayuni waushambulia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Jun 15, 2023 11:31

    Askari wa utawala haramu wa Israel na walowezi wa Kizayuni wameshambulia tena Msikiti Mtukufu wa al-Aqsa.

  • Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu

    Jumbe za Kiislamu za Quds: Msikiti wa al Aqsa ni mstari wetu mwekundu

    Jun 13, 2023 04:40

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa Kiislamu na jopo la maulamaa wa Baitul Muqaddas wametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni za kutaka kubadili mazingira ya msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa eneo hilo takatifu ni mstari wao mwekundu.

  • Chama cha Jordan: Njama mpya za Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa ni kutangaza vipya

    Chama cha Jordan: Njama mpya za Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa ni kutangaza vipya

    Jun 11, 2023 07:57

    Chama cha Islamic Action Front cha Jordan kimetangaza kuwa, njama mpya za utawala wa muda wa Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa na hujuma zake dhidi ya eneo hilo takatifu ni kutangaza vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS