Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mtoto wa Kipalestina

  • Utawala wa Kizayuni umeweka rekodi mwaka 2016 ya kuua watoto wengi Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni umeweka rekodi mwaka 2016 ya kuua watoto wengi Wapalestina

    Jan 05, 2017 16:10

    Shirika la Kimataifa la Kulinda Watoto (DCI) limeeleza katika ripoti yake mpya kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel uliua watoto wengi zaidi Wapalestina katika mwaka uliomalizika wa 2016 kulinganisha na miaka 10 iliyopita na wala hauwajibiki mbele ya yeyote kwa mauaji uliyofanya.

  • Shoukry: Kuuliwa watoto wa Kipalestina  hakuwezi kutajwa kuwa ni ugaidi

    Shoukry: Kuuliwa watoto wa Kipalestina hakuwezi kutajwa kuwa ni ugaidi

    Aug 22, 2016 16:12

    Sameh Shoukry, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ameamsha hasira katika Ulimwengu wa Kiarabu Jumapili hii baada ya kusema kuwa vitendo vinavyofanywa na Israel haviwezi kutajwa kuwa ni ugaidi dhidi ya raia wa Palestina.

  • Russia: Marekani inawasaidia magaidi wanaoua watoto wa Palestina

    Russia: Marekani inawasaidia magaidi wanaoua watoto wa Palestina

    Jul 24, 2016 02:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, ripoti zinaonesha kuwa, watu waliomchinja mtoto wa Kipalestina na kuonesha mkanda wa video wa kitendo cha kukata kichwa cha mtoto huyo katika mitandao ya kijamii wanasaidiwa na kuungwa mkono na Marekani.

  • UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina

    UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina

    Jun 25, 2016 12:52

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina.

  • Mzingiro wa Israel wawafanya watoto Gaza waache masomo na kulazimika kufanya kazi

    Mzingiro wa Israel wawafanya watoto Gaza waache masomo na kulazimika kufanya kazi

    Jun 12, 2016 07:43

    Idadi kubwa ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza wamelazimika kuacha masomo na kufanya kazi ili kuzisaidia familia zao kimaisha kutokana na dhiki iliyosababishwa na mzingiro na mashambulio ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya eneo hilo.

  • Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni

    Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni

    Jun 01, 2016 15:28

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi kwa kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina zaidi ya elfu mbili tangu kuanza Intifadha ya Masjidul Aqsa mwaka 2000.

  • Mashirika 40 ya haki za binadamu Ufaransa yatangaza mshikamano na watoto wa Kipalestina

    Mashirika 40 ya haki za binadamu Ufaransa yatangaza mshikamano na watoto wa Kipalestina

    May 01, 2016 04:21

    Zaidi ya mashirika 40 ya kutetea haki za binadamu nchini Ufaransa yametangaza mshikamano na watoto wadogo na vijana chipukizi wa Kipalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Takwimu za watoto wa Kipalestina walioko kwenye jela za Israel na radiamali za kimataifa

    Takwimu za watoto wa Kipalestina walioko kwenye jela za Israel na radiamali za kimataifa

    Apr 12, 2016 08:07

    Kwa mujibu wa takwimu za utawala wa Kizayuni wa Israel kuna watoto 437 Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala huo.

  • Askari wa Kizayuni wamewatia nguvuni mamia ya watoto wa Kipalestina

    Askari wa Kizayuni wamewatia nguvuni mamia ya watoto wa Kipalestina

    Apr 05, 2016 14:03

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewatia nguvuni watoto 1,899 wa Kipalestina tangu ilipoanza Intifadha ya Quds hadi sasa.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS