-
Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant
Nov 24, 2024 10:01Jumuiya 11 zisizo za kiserikali (NGO's) nchini Ufaransa zimeitaka serikali ya nchi hiyo itekeleze agizo la Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na mkuu wa zamani wa ulinzi Yoav Gallant.
-
Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi
Nov 06, 2024 03:05Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amemfuta kazi Waziri wa Vita wa utawala huo, Yoav Gallant kutokana na kushindwa kwa utawala huo wa Kizayuni kukabiliana na mrengo wa Muqawama katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
-
Ripoti: Netanyahu na Gallant wamekimbilia kwenye mahandaki
Oct 26, 2024 11:01Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu na Yoav Gallant Waziri wa Vita wa utawala huo wamekimbilia katika mahandaki kujificha kwa kuhofia kushambuliwa.
-
Mufti wa Oman apongeza shambulio dhidi ya makazi ya Netanyahu
Oct 21, 2024 06:35Mufti Mkuu wa utawala wa Kisultani wa Oman amepongeza shambulio la wanamuqawama lililolenga makazi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Kuuawa Haniyeh; damu katika mishipa ya muqawama
Aug 08, 2024 12:47Utawala wa Kizayuni wa Israel umeonyesha kilele cha kukataa tamaa na kukwama baada ya miezi kumi ya mauaji ya kimbari ya Wapalestina huko Gaza kwa kumuuwa kigaidi Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
UK: Hatutapinga waranti wa ICC wa kukamatwa Netanyahu kwa kuhusika na jinai za kivita
Jul 27, 2024 10:17Serikali mpya ya Uingereza imetangaza kuwa, tofauti na serikali iliyopita ya nchi hiyo, haitapinga kutekelezwa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa sababu ya kuhusika na uhalifu wa kivita.
-
Netanyahu kutopitia Ulaya akienda US, anahofia kukamatwa
Jul 11, 2024 02:33Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu amefuta mpango wa kushukia katika moja ya nchi za Ulaya kabla ya kuendelea na safari yake ya kwenda Marekani, akihofia kuwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) inajiandaa kutoa waranti wa kumtia nguvuni kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Jenerali wa Israel: ‘Makubaliano tu’ na Hamas ndio yanayoweza kuwarudisha nyumbani mateka wengine
Jun 09, 2024 09:28Israel Ziv, mkuu wa zamani wa kitengo cha operesheni za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema, inapasa kuwepo na "mpango mpana na wa kina" wa kuwarudisha mateka waliosalia na kumaliza vita.
-
Sanders: Inasikitisha kuona Netanyahu anaalikwa kuhutubia Kongresi ya US
Jun 02, 2024 10:28Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amewakosoa vikali viongozi wa Kongresi ya nchi hiyo kwa kumualika 'mtenda jinai' Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhutubia kikao cha pamoja cha Baraza la Wawakilishi na Baraza la Seneti la Marekani.
-
Russia yaishambulia US kwa kukosoa waranti wa kukamatwa Netanyahu
May 21, 2024 07:18Russia imekosoa vikali radiamali hasi ya Marekani kwa ombi la Karim Khan, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), la kutaka kutolewa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.