Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • Rais wa Colombia: Netanyahu ataingia katika historia kama mhalifu wa mauaji ya kimbari

    Rais wa Colombia: Netanyahu ataingia katika historia kama mhalifu wa mauaji ya kimbari

    May 12, 2024 11:21

    Rais Gustavo Petro wa Colombia amemshambulia kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Israel Benjamin Netanyahu akisema historia itamuandika kama mhalifu wa mauaji ya kimbari.

  • Rais wa Colombia aitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu

    Rais wa Colombia aitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu

    May 11, 2024 07:59

    Rais Gustavo Petro wa Colombia ameiasa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Mawakili wa Uholanzi waitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu

    Mawakili wa Uholanzi waitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu

    May 09, 2024 02:30

    Kundi la mawakili wa Uholanzi wameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Uwezekano wa ICC kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu kwa mauaji ya Ghaza umeitia tafrani Israel

    Uwezekano wa ICC kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu kwa mauaji ya Ghaza umeitia tafrani Israel

    Apr 28, 2024 11:45

    Baraza la mawaziri la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeingiwa na tafrani na wasi wasi mkubwa juu ya uwezekano wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa kukamatwa waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu na maafisa wengine waandamizi kwa kuhusika na jinai za vita vya miezi kadhaa vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza uliozingirwa.

  • Wanachuo zaidi ya 100 wakamatwa California na Texas, US kwa kupinga vita vya Israel Ghaza

    Wanachuo zaidi ya 100 wakamatwa California na Texas, US kwa kupinga vita vya Israel Ghaza

    Apr 25, 2024 11:43

    Polisi nchini Marekani wamewakamata makumi ya wanachuo walioandamana katika Chuo Kikuu cha Texas huko Austin (UT Austin) na Chuo Kikuu cha Kusini mwa California (USC) huku maandamano yanayoongozwa na wanafunzi kupinga vita vya Israel dhidi ya Ghaza yakizidi kushika kasi nchini kote naye Spika wa Bunge Mike Johnson akipendekeza kuombwa msaada wa askari wa Gadi ya Taifa.

  • Spika wa zamani wa Marekani: Netanyahu anapaswa ajiuzulu, amekwamisha amani kwa miaka kadhaa

    Spika wa zamani wa Marekani: Netanyahu anapaswa ajiuzulu, amekwamisha amani kwa miaka kadhaa

    Apr 25, 2024 10:01

    Spika wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi amesema, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kizuizi cha kupatikana amani Ghaza na anapaswa ajiuzulu.

  • Netanyahu ashikilia msimamo wake wa kupinga kuundwa nchi huru ya Palestina

    Netanyahu ashikilia msimamo wake wa kupinga kuundwa nchi huru ya Palestina

    Apr 06, 2024 02:39

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amerudia tena msimamo wake wa kupinga katakata kuundwa nchi huru ya Palestina alipokutana na ujumbe wa Marekani wa wabunge wa chama cha Republican.

  • Axios: Netanyahu atasusiwa na sehemu kubwa ya wawakilishi wa Congress

    Axios: Netanyahu atasusiwa na sehemu kubwa ya wawakilishi wa Congress

    Mar 22, 2024 06:59

    Tovuti ya habari ya Marekani ya Axios imesema kuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, huenda akasusiwa pakubwa na "wabunge wa Congress ikiwa atakubali mwaliko wa kuzungumza mbele ya Bunge la Marekani.

  • Bolivia yataka kufunguliwa mashtaka Netanyahu katika mahakama ya ICJ

    Bolivia yataka kufunguliwa mashtaka Netanyahu katika mahakama ya ICJ

    Mar 03, 2024 04:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Bolivia ametoa wito wa kufunguliwa mashtaka Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).

  • Baada ya kutembelea Israel, mbunge wa Kongresi asema: Netanyahu ni kidhabu

    Baada ya kutembelea Israel, mbunge wa Kongresi asema: Netanyahu ni kidhabu

    Feb 29, 2024 07:12

    Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amepinga mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel huko Palestina na kumtaja Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu kuwa ni mhalifu na mwongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS