Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • Abu Ubaida: Netanyahu atakabiliwa na kipigo kikubwa kuliko kile anachohofia huko Gaza

    Abu Ubaida: Netanyahu atakabiliwa na kipigo kikubwa kuliko kile anachohofia huko Gaza

    Oct 29, 2023 22:59

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imemuonya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuhusu mipango yoyote ya kupanua mashambulizi ya nchi kavu ya utawala huo katika Ukanda wa Gaza baada ya zaidi ya wiki tatu za mashambulizi mtawalia ya mabomu na ndege za kivita za utawala huo katika eneo hilo lililo chini ya mzingiro.

  • Uungaji mkono wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa Palestina

    Uungaji mkono wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa Palestina

    Oct 21, 2023 02:46

    Moja ya matunda muhimu yaliyopatikana kutokana na jinai za kinyama na za kutisha zilizofanywa, na zinazoendelea kufanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kujitokeza msimamo na mwafaka wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu katika kuiunga mkono Palestina.

  • Hatimaye Netanyahu amdhibiti Biden

    Hatimaye Netanyahu amdhibiti Biden

    Oct 20, 2023 22:54

    Biden ambaye awali alijiepusha kumwalika Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika Ikulu ya White House, ameshawishika kukubali hila za Netanyahu, ambapo amesimamisha shughuli zake zote huko Marekani na kuamua kumtembelea katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika kilele cha uzee wake.

  • Kwa mara ya tatu, marubani wa Israel wakataa kuendesha ndege itakayombeba Netanyahu

    Kwa mara ya tatu, marubani wa Israel wakataa kuendesha ndege itakayombeba Netanyahu

    Sep 08, 2023 22:58

    Kwa mara ya tatu, marubani wa shirika kubwa zaidi la ndege la utawala wa Kizayuni wa Israel wametangaza kuwa hawataendesha ndege itakayompeleka Benjamin Netanyahu New York kulalamikia mageuzi ya mahakama yaliyofanywa na waziri mkuu huyo wa utawala huo haramu.

  • Kuibuka hitilafu mpya ndani ya baraza la mawaziri la Netanyahu kuhusu suala la usalama

    Kuibuka hitilafu mpya ndani ya baraza la mawaziri la Netanyahu kuhusu suala la usalama

    Aug 12, 2023 23:00

    Hitilafu ndani ya baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu kuhusu suala la usalama zimeongezeka ambapo mawaziri wa baraza hilo wanahitilafiana waziwazi kuhusu jambo hilo.

  • Wazayuni wakaribia kutumbukia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe

    Wazayuni wakaribia kutumbukia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe

    Jul 20, 2023 23:06

    Mkuu wa zamani wa shirika la usalama wa ndani la utawala wa Kizayuni ameshindwa kuficha hofu yake kubwa kuhusu mustakbali wa kiza wa Israel na mabadiliko ya sheria yanayopiganishwa na Benjamin Natanyahu akisema kuwa, utawala wa Kizayuni umeanza kuingia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Netanyahu alegeza kamba baada ya maji kumfika shingoni

    Netanyahu alegeza kamba baada ya maji kumfika shingoni

    Mar 28, 2023 03:59

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu amelazimika kuakhirisha utekelezaji wa mpango wake wa kile kinachoitwa 'mageuzi ya mahakama' kufuatia maandamano ya Wazayuni dhidi ya mpango huo kwa wiki 12 mfululizo.

  • Netanyahu afanikiwa kuwatoroka waandamanaji kwa msaada wa polisi ya Uingereza

    Netanyahu afanikiwa kuwatoroka waandamanaji kwa msaada wa polisi ya Uingereza

    Mar 26, 2023 04:05

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amefanikiwa kuwatoroka waandamanaji mjini London, Uingereza kwa msaada wa polisi ya mji huo.

  • Netanyahu akaribishwa UK kwa maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Netanyahu akaribishwa UK kwa maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Mar 25, 2023 04:36

    Mamia ya waungaji mkono wa Palestina na wapinzani wa utawala haramu wa Israel wamefanya maandamano mjini London, kulaani safari ya Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu nchini Uingereza.

  • Marubani wa Israel wakataa kumpeleka Netanyahu Uingereza

    Marubani wa Israel wakataa kumpeleka Netanyahu Uingereza

    Mar 24, 2023 03:35

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amelazimika kuakhirisha safari yake ya kuitembelea Uingereza, baada ya marubani kadhaa wa utawala huo kukataa kumsafirisha kwa ndege katika nchi hiyo ya Ulaya mtawala huyo mwenye misimamo mikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS