-
Mlipuko wa kipindupindu wauwa watu 13 katika jimbo la Niger, nchini Nigeria
Jul 24, 2025 10:31Takriban watu 13 wamefariki dunia na wengine 239 wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu unaoendelea kuenea katika wilaya sita za jimbo la Niger katikati mwa Nigeria. Taarifa hii imetolewa na mamlaka husika katika jimbo la Niger.
-
Maisha ya watu milioni 1.3 Nigeria yako hatarini baada ya WFP kusitisha misaada
Jul 24, 2025 06:49Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa litalazimika kusitisha msaada wa chakula na lishe kwa watu milioni 1.3 katika eneo lililokumbwa na machafuko zaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria mwishoni mwa mwezi huu wa Julai kutokana na hifadhi yake ya chakula na virutubisho vya lieshe kumalizika.
-
6 wauawa, 100 watekwa katika shambulio la majambazi Zamfara, Nigeria
Jul 18, 2025 16:35Watu wenye silaha wameripotiwa kuwauwa watu wasiopungua sita na kuwateka nyara wengine zaidi ya 100, wakiwemo wanawake na watoto, katika shambulio dhidi ya watu wa jamii ya Kairu katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Novak: Ushirikiano wa Russia, Nigeria ni muhimu kwa uthabiti wa soko la mafuta
Jul 16, 2025 13:33Naibu Waziri Mkuu wa Russia, Alexander Novak amesema ushirikiano wa nchi hiyo na Nigeria katika fremu ya OPEC+ una nafasi muhimu katika kudumisha uthabiti wa soko la mafuta duniani.
-
27 wauawa katika shambulio la watu wenye silaha katika jimbo la Plateau, Nigeria
Jul 15, 2025 17:16Watu wasiopungua 27 wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha kaskazini kati mwa jimbo la Nigeria la Plateau, katika machafuko ya hivi karibuni yaliyolikumba eneo hilo ambalo halina usalama wa kutosha.
-
Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia Uingereza alikokuwa matibabuni
Jul 13, 2025 18:27Muhammadu Buhari, rais wa zamani wa Nigeria aliyewahi pia kuitawala nchi hiyo kijeshi amefariki dunia mjini London, Uingereza alikokuwa kipatiwa matibabu akiwa na umri wa miaka 82.
-
Nigeria: US inazilazimisha nchi za Afrika ziwapokee wakimbizi Wavenezuela
Jul 11, 2025 16:41Nigeria imefichua kuwa Marekani inazishinikiza nchi za bara Afrika kuwakubali wakimbizi wa Venezuela wanaofukuzwa nchini Marekani.
-
Asasi: Waasi, majambazi Nigeria wameua zaidi katika nusu ya kwanza ya 2025 kuliko 2024
Jul 08, 2025 14:34Idadi ya watu waliouawa na majambazi au waasi nchini Nigeria katika nusu ya kwanza ya mwaka huu, ni kubwa mno kuliko idadi ya waliouawa mwaka wote wa 2024, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa jana Jumanne na shirika la haki za binadamu la Nigeria.
-
Kadhaa wauawa na kujeruhiwa Nigeria katika shambulio la Boko Haram
Jul 07, 2025 06:56Kwa akali watu tisa wameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Boko Haram dhidi ya jamii ya Malam Fatori katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Sheikh Zakzaky aipongeza Iran kwa kuibuka mshindi dhidi ya Israel
Jul 06, 2025 14:42Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amepongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuichakaza na kuibuka mshindi dhidi ya Israel katika vita vya siku 12.