• Jumanne 20 Disemba, 2016

    Jumanne 20 Disemba, 2016

    Dec 19, 2016 03:57

    Leo ni Jumanne tarehe 20 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 20 Disemba 2016.

  • Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi

    Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi

    Nov 29, 2016 09:53

    Serikali ya Oman imetangaza upinzani wake dhidi ya pendekezo la Saudi Arabia la kuiweka Harakati ya Kiislamu na ya wananchi ya Answarullah nchini Yemen katika orodha ya pamoja ya wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi kuhusiana na ugaidi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aonana na Rais Rouhani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aonana na Rais Rouhani

    Feb 21, 2016 12:32

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba, kuna wajibu wa kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara wa Iran na Oman na kuufikisha kwenye daraja ya uhusiano wa kisiasa wa pande hizo mbili.