-
Pakistan yasisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Iran
Jul 05, 2025 04:15Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa nchi yake kwa umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala ya Iran.
-
Mwanasiasa wa India amhutubu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Tuna bahati ya kuzaliwa katika zama zako
Jul 01, 2025 02:32Mwanasiasa mashuhuri wa India amesema katika ujumbe wake kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: "Tuna bahati ya kuzaliwa katika zama zako."
-
Pakistani: Mapambano ya kijasiri ya Iran dhidi ya Israel ni ya kupongezwa
Jun 26, 2025 15:47Waziri Mkuu wa Pakistan apongeza mapambano ya Iran dhidi ya hujuma ya utawala wa Kizayuni.
-
Jumatano tarehe 28 Mei 2025
May 28, 2025 02:05Leo ni Jumatano tarehe Mosi Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1446 Hijria mwafaka na tarehe 28 Mei 2025.
-
Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan
May 27, 2025 06:39Rais Masoud Pezeshkian wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono usitishaji vita wa kudumu kati ya India na Pakistan, akitoa mwito wa kufanyika mazungumzo kati ya nchi za kikanda ili kutatua mizozo iliyopo na kuimarisha amani.
-
Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan
May 12, 2025 01:58Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.
-
Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31
May 08, 2025 07:05Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo "italipiza kisasi cha damu za mashahidi wetu wasio na hatia" baada ya watu wasiopungua 31 kuripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya India kwenye mkoa wa Punjab na Kashmir inayodhibitiwa na Pakistan.
-
Araghchi: Iran iko tayari kwa mazungumzo ya 'kujenga', 'yasiyo na upendeleo' na Troika ya EU
May 06, 2025 06:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema Tehran iko tayari kufanya mazungumzo "ya kujenga na yasiyo na upendeleo" na nchi tatu zinazounda Troika ya Umoja wa Ulaya, ambazo ni Ufaransa, Ujerumani na Uingereza, kuhusu mpango wake wa nyuklia.
-
Wakati anatumikia kifungo jela, Imran Khan ateuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel
Apr 02, 2025 10:31Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani Imran Khan aliyefungwa jela, ameteuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel kwa "kazi aliyofanya kuhusiana na haki za binadamu na demokrasia nchini Pakistan". Hayo yameelezwa katika tamko lililotolewa na chama cha siasa cha Norway Partiet Sentrum.
-
Jumatano, Machi 26, 2025
Mar 26, 2025 02:38Leo ni Jumatano tarehe 25 Ramadhani 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Machi 2025.