Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Askari 12 wa Pakistan wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi mwa nchi

    Askari 12 wa Pakistan wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini magharibi mwa nchi

    Sep 13, 2025 07:23

    Askari wasiopungua 12 wa Pakistan wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi na magaidi kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kutumia misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Pakistan

    Pezeshkian: Iran iko tayari kutumia misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Pakistan

    Aug 30, 2025 08:56

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali ya wananchi wa Pakistan kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu wengi na kuharibiwa mali. Amesema Iran iko tayari kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko nchini Pakistan.

  • Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa

    Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa

    Aug 23, 2025 06:07

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amemfukuza kazi jenerali ambaye tathmini yake ya awali ya kiintelijensia aliyotoa ilimkasirisha Rais wa nchi hiyo Donald Trump kwa kuripoti kwamba shambulio la kijeshi ililofanya Washington mwezi Juni dhidi ya vituo vya nyuklia vya lilisababisha uharibifu mdogo tu kwa vituo hivyo.

  • Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227

    Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227

    Aug 16, 2025 01:38

    Helikopta iliyokuwa imebeba vifaa vya misaada imeanguka na kusababisha vifo vya wahudumu watano wakiwemo marubani wawili mkoani Khyber Pakhtunkhwa kaskazini magharibi mwa Pakistani huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mvua kali na mafuriko nchini kote ikifikia 227.

  • Ishaq Dar: Pakistan hivi karibuni itakuwa mwenyeji wa Rais Pezeshkian

    Ishaq Dar: Pakistan hivi karibuni itakuwa mwenyeji wa Rais Pezeshkian

    Jul 27, 2025 23:11

    Ishaq Dar Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni atafanya ziara rasmi mjini Islamabad.

  • Pakistan yasisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Iran

    Pakistan yasisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Iran

    Jul 05, 2025 00:45

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa nchi yake kwa umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala ya Iran.

  • Mwanasiasa wa India amhutubu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Tuna bahati ya kuzaliwa katika zama zako

    Mwanasiasa wa India amhutubu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Tuna bahati ya kuzaliwa katika zama zako

    Jun 30, 2025 23:02

    Mwanasiasa mashuhuri wa India amesema katika ujumbe wake kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: "Tuna bahati ya kuzaliwa katika zama zako."

  • Pakistani: Mapambano ya kijasiri ya Iran dhidi ya Israel ni ya kupongezwa

    Pakistani: Mapambano ya kijasiri ya Iran dhidi ya Israel ni ya kupongezwa

    Jun 26, 2025 12:17

    Waziri Mkuu wa Pakistan apongeza mapambano ya Iran dhidi ya hujuma ya utawala wa Kizayuni.

  • Jumatano tarehe 28 Mei 2025

    Jumatano tarehe 28 Mei 2025

    May 27, 2025 22:35

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1446 Hijria mwafaka na tarehe 28 Mei 2025.

  • Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan

    Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan

    May 27, 2025 03:09

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono usitishaji vita wa kudumu kati ya India na Pakistan, akitoa mwito wa kufanyika mazungumzo kati ya nchi za kikanda ili kutatua mizozo iliyopo na kuimarisha amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS