Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Watu wenye silaha waua abiria 11 kusini magharibi mwa Pakistan

    Watu wenye silaha waua abiria 11 kusini magharibi mwa Pakistan

    Apr 14, 2024 02:30

    Watu wenye silaha wameua abiria wasiopungua 11 katika matukio mawili tofauti yaliyojiri kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Raisi: Madola ya kibeberu yanazusha fitna ili kuvuruga usalama kati ya Iran na Pakistan

    Raisi: Madola ya kibeberu yanazusha fitna ili kuvuruga usalama kati ya Iran na Pakistan

    Apr 12, 2024 11:18

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kustawishwa uhusiano wa Iran na Pakistan hakufurahishi madola ya kibeberu na kwa hivyo yanazusha fitna ili kuleta mpasuko kati ya mataifa hayo mawili na nchi hizo mbili za Kiislamu.

  • SEPAH: Magaidi 15 wameshaangamizwa hadi hivi sasa kusini mashariki mwa Iran

    SEPAH: Magaidi 15 wameshaangamizwa hadi hivi sasa kusini mashariki mwa Iran

    Apr 04, 2024 11:38

    Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa, hadi hivi sasa magaidi 15 wameshaangamizwa katika operesheni za kuzima mashambulizi matatu ya kigaidi yaliyofanywa na magaidi hao kusini mashariki mwa Iran.

  • Sisitizo la Pakistna la kuhitajia mno gesi ya Iran

    Sisitizo la Pakistna la kuhitajia mno gesi ya Iran

    Mar 30, 2024 02:31

    Musadik Masood Malik, Waziri wa Mafuta wa Pakistan amesema kuwa nchi yake inahitajia mno gesi ya Iran na kwamba msimamo wa Islamabad uko wazi kuwa, kukamilishwa mradi wa kupelekwa gesi ya Iran nchini Pakistan ni jambo la dharura.

  • Jumamosi, 23 Machi, 2024

    Jumamosi, 23 Machi, 2024

    Mar 23, 2024 02:29

    Leo ni Jumamosi 12 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani 1445 Hijreia mwafaka na 23 Machi 2024.

  • Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Jaish al Dhulm aangamizwa katika hujuma ya askari usalama wa Iran

    Feb 26, 2024 02:31

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la "Jaish al-Dhulm" ameuawa katika shambulio la askari usalama wa Iran.

  • Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa Pakistan

    Matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa Pakistan

    Feb 13, 2024 07:18

    Tume ya Uchaguzi ya Pakistani imetangaza matokeo ya mwisho ya uchaguzi wa bunge nchini humo, na wagombea huru wenye mfungamano na chama cha Tehreek-e-Insaf cha Imran Khan wamenyakua viti 101.

  • Mamilioni ya Wapakistan wapiga kura kuchagua serikali mpya, matukio kadhaa ya mauaji yaripotiwa

    Mamilioni ya Wapakistan wapiga kura kuchagua serikali mpya, matukio kadhaa ya mauaji yaripotiwa

    Feb 08, 2024 11:33

    Wapakistani wapatao milioni 128 waliotimiza masharti leo wameelekea kwenye vituo vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu muhimu wa kuchagua serikali mpya itakayoongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo, huku usalama ukiimarishwa kwa kuchukuliwa hatua kadhaa ikiwemo kusitishwa huduma za simu za mkononi na mtandao wa intaneti licha ya kuripotiwa matukio kadhaa ya mauaji.

  • Maelfu ya watoto wanaugua nimonia nchini Pakistan

    Maelfu ya watoto wanaugua nimonia nchini Pakistan

    Feb 05, 2024 03:14

    Maafisa husika wa Afya wameripoti kutoka Pakistan kuwa watoto zaidi ya 19,000  katika jimbo la Punjab kaskazini mashariki mwa nchi hiyo  wamegunduliwa kuugua maradhi ya homa ya mapafu yaani nimonia (Pneumonia) baada ya kufanyiwa vipimo katika kipindi cha mwezi mmoja wa karibuni. 

  • Mipaka ya Iran na Pakistan kubadilishwa kuwa ya kiuchumi na kiurafiki

    Mipaka ya Iran na Pakistan kubadilishwa kuwa ya kiuchumi na kiurafiki

    Feb 01, 2024 02:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, juhudi zinafanyika kuhakikisha kwamba, mipaka ya nchi yake na Pakistan inabadilika na kuwa ya kiuchumi, amani na urafiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS