Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Mipaka ya Iran na Pakistan kubadilishwa kuwa ya kiuchumi na kiurafiki

    Mipaka ya Iran na Pakistan kubadilishwa kuwa ya kiuchumi na kiurafiki

    Feb 01, 2024 02:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, juhudi zinafanyika kuhakikisha kwamba, mipaka ya nchi yake na Pakistan inabadilika na kuwa ya kiuchumi, amani na urafiki.

  • Imran Khan na msaidizi wake wahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kuvujisha siri za Serikali ya Pakistan

    Imran Khan na msaidizi wake wahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kuvujisha siri za Serikali ya Pakistan

    Jan 31, 2024 02:40

    Mahakama ya Pakistan imemhukumu waziri mkuu wa zamani Imran Khan na msaidizi wake wa karibu, waziri wa zamani wa mambo ya mje Shah Mahmood Qureshi, kifungo cha miaka 10 jela katika kesi inayohusiana na uvujaji wa siri za serikali.

  • Amir Abdollahian: Iran na Pakistan zimekubaliana kupanua ushirikiano wa kupambana na ugaidi

    Amir Abdollahian: Iran na Pakistan zimekubaliana kupanua ushirikiano wa kupambana na ugaidi

    Jan 30, 2024 11:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Tehran na Islamabad zimekubaliana kupanua ushirikiano kwa ajili ya kupambana na ugaidi.

  • Tehran: Iran na Pakistan hazitaruhusu maadui waharibu uhusiano wao wa kindugu

    Tehran: Iran na Pakistan hazitaruhusu maadui waharibu uhusiano wao wa kindugu

    Jan 28, 2024 07:54

    Kufuatia shambulio lililowalenga raia wa Pakistan ndani ya Iran, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Tehran na Islamabad hazitavumilia chokochoko za kuharibu uhusiano wa nchi hizo mbili.

  • Mapigano yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili

    Mapigano yazuka kati ya majeshi ya Pakistan na Afghanistan kwenye mpaka wa nchi mbili

    Jan 21, 2024 11:25

    Mapigano yamezuka kati ya vikosi vya mpakani vya jeshi la Pakistan na vya utawala wa Taliban ya Afghanistan katika eneo la mpaka wa nchi hizo mbili.

  • Pakistan yatangaza kurejesha uhusiano kamili na Iran baada ya mivutano iliyojitokeza

    Pakistan yatangaza kurejesha uhusiano kamili na Iran baada ya mivutano iliyojitokeza

    Jan 20, 2024 06:53

    Pakistan imetangaza kurejesha kikamilifu uhusiano wa kidiplomasia na Iran baada ya kujitokeza mivutano mikali ya mpakani ambayo haijawahi kushuhudiwa kati ya nchi mbili juu ya operesheni za kupambana na ugaidi.

  • Azma thabiti ya Iran na Pakistan ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kupambana na ugaidi

    Azma thabiti ya Iran na Pakistan ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kupambana na ugaidi

    Jan 20, 2024 03:00

    Baada ya kushadidi mivutano ya mpakani kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Pakistan katika kipindi cha siku mbili zilizopita, viongozi wa Tehran na Islamabad wamesisitiza kuendeleza uhusiano wa kirafiki kati ya nchi mbili, kuheshimiwa umoja wa ardhi za mataifa hayo mawili na kuwepo uratibu na mashauriano ya karibu zaidi katika kupambana na magenge ya kigaidi.

  • Balozi mdogo wa Pakistan Tehran aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Balozi mdogo wa Pakistan Tehran aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Jan 18, 2024 09:28

    Balozi mdogo wa Pakistan mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kufuatia mlipuko uliotokea leo asubuhi katika kijiji cha mpakani katika mkoa wa Sistan na Baluchistan hapa nchini.

  • Kundi la kigadi la Jaishu Dhulm lakiri kushambuliwa ngome zake Pakistan

    Kundi la kigadi la Jaishu Dhulm lakiri kushambuliwa ngome zake Pakistan

    Jan 17, 2024 08:05

    Kundi la kigaidi la Jaishu Dhulm limetangaza kuwa ngome zake zimelengwa na kushambuliwa kwa makombora usiku wa kuamkia leo katika mpaka wa Iran na Pakistan.

  • Islamabad yaituhumu Kabul sambamba na kufanyika juhudi za kupunguza mivutano

    Islamabad yaituhumu Kabul sambamba na kufanyika juhudi za kupunguza mivutano

    Jan 13, 2024 06:26

    Sambamba na kufanyika safari ya Mkuu wa chama cha Jamiat Ulamae Pakistan na mazungumzo yake na maafisa wakuu wa kundi la Taliban la Afghanistan kwa lengo la kupunguza mivutano, Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ya Pakistan kwa mara nyingine tena amedai kuwa ardhi ya Afghanistan inatumiwa na maadui dhidi ya Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS