-
Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan
May 11, 2025 22:28Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.
-
Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31
May 08, 2025 03:35Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo "italipiza kisasi cha damu za mashahidi wetu wasio na hatia" baada ya watu wasiopungua 31 kuripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya India kwenye mkoa wa Punjab na Kashmir inayodhibitiwa na Pakistan.
-
Araghchi: Iran iko tayari kwa mazungumzo ya 'kujenga', 'yasiyo na upendeleo' na Troika ya EU
May 06, 2025 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema Tehran iko tayari kufanya mazungumzo "ya kujenga na yasiyo na upendeleo" na nchi tatu zinazounda Troika ya Umoja wa Ulaya, ambazo ni Ufaransa, Ujerumani na Uingereza, kuhusu mpango wake wa nyuklia.
-
Wakati anatumikia kifungo jela, Imran Khan ateuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel
Apr 02, 2025 07:01Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani Imran Khan aliyefungwa jela, ameteuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel kwa "kazi aliyofanya kuhusiana na haki za binadamu na demokrasia nchini Pakistan". Hayo yameelezwa katika tamko lililotolewa na chama cha siasa cha Norway Partiet Sentrum.
-
Jumatano, Machi 26, 2025
Mar 25, 2025 23:08Leo ni Jumatano tarehe 25 Ramadhani 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Machi 2025.
-
Jumapili, Machi 23, 2025
Mar 22, 2025 22:51Leo ni tarehe 22 mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 23 Machi 2025 Milaadia.
-
Jamaatul-Islami yaitahadharisha serikali ya Pakistan isihadaiwe na hila za Trump
Mar 11, 2025 23:07Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami Pakistan (JIP) ameihutubu serikali ya Islamabad akisema: Marekani si yenye kuitakia kheri katu Pakistan na haipasi kuridhia matakwa ya nchi hiyo.
-
Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad
Nov 26, 2024 03:36Maelfu ya waandamanaji wanaotaka kuachiliwa huru waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan anayetumikia kifungo jela wamekaidi vizuizi vya barabarani vilivyowekwa na Polisi na gesi ya kutoa machozi waliyomiminiwa na askari hao katika azma yao ya kuingia katika mji mkuu Islamabad.
-
Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa
Nov 05, 2024 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuzusha mivutano lakini inatambua haki yake ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa.
-
Mazuwari 28 raia wa Pakistan waaga dunia katika ajali ya basi Iran
Aug 21, 2024 08:23Raia 28 wa Pakistan wamepoteza maisha huku makumi ya wengine wakijeruhiwa baada ya basi lililokuwa limewabeba kubingiria katika kaunti ya Taft, mkoani Yazd, katikati ya Iran. Mazuwari hao walikuwa wakielekea katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kwa ajili ya kushiriki Arubaini ya Imam Hussein AS.