Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Maafisa 5 wa polisi wauawa katika mripuko Pakistan

    Maafisa 5 wa polisi wauawa katika mripuko Pakistan

    Jan 08, 2024 12:21

    Maafisa wa polisi wasiopungua watano wameuawa na karibu wengine 24 kujeruhiwa baada ya gari yao kukumbwa na mripuko wakati wakiimarisha ulinzi katika zoezi la utoaji chanjo za polio huko kaskazini magharibi mwa Pakistan.

  • Azma ya Tehran na Islamabad ya kuimarisha uhusiano wao katika nyuga mbalimbali

    Azma ya Tehran na Islamabad ya kuimarisha uhusiano wao katika nyuga mbalimbali

    Jan 01, 2024 08:00

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Pakistan ameeleza kuridhishwa kwake na mwenendo unaokua wa uhusiano kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ahmad Vahidi: Makundi ya kigaidi yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni

    Ahmad Vahidi: Makundi ya kigaidi yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni

    Dec 17, 2023 07:56

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa, makundi ya kigaidi yanayotaka kuvuruga amani, usalama na umoja wa wananchi wa mkoa wa Sistan na Baluchistan nchini Iran yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kulaaniwa kimataifa veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la kusitisha vita vya Gaza

    Kulaaniwa kimataifa veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la kusitisha vita vya Gaza

    Dec 11, 2023 02:48

    Kitendo cha kinyama na cha kijinai cha Marekani cha kulipigia kura ya veto azimio la kusitisha vita Gaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimeendelea kulaaniwa kimataifa.

  • Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan

    Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan

    Nov 19, 2023 02:32

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema katika matamshi nadra na ya aina yake kuwahi kutolewa kuhusu mivutano ya karibuni kati ya nchi hiyo na utawala wa Taliban ya Afghanistan kuwa uhusiano wa nchi mbili hizo utaboreka pale serikali halali itakapoingia madarakani huko Afghanistan.

  • Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa

    Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa

    Nov 11, 2023 13:47

    Kufuatia kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Kabul na Islamabad, gazeti moja la Pakistan limeandika kuwa serikali ya nchi hiyo haiiungi mkono tena serikali ya Taliban ya Afghanistan katika ngazi ya kimataifa.

  • Kushtadi mashambulizi ya kigaidi huko Pakistan; sababu na taathira zake

    Kushtadi mashambulizi ya kigaidi huko Pakistan; sababu na taathira zake

    Nov 04, 2023 11:42

    Kitengo cha Mahusiano ya Umma cha Jeshi la Pakistan kimetangaza kuwa vikosi vya jeshi hilo vimesambaratisha shambulio la kigaidi la leo asubuhi katika kambi ya kikosi cha jeshi la anga katika mji wa Mianwali katika jimbo la Punjab. Wavamizi watatu wameuwa na magaidi kadhaa wamekimbia eneo la tukio.

  • Nchi za Kiislamu zalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya hafla ya Maulidi nchini Pakistan

    Nchi za Kiislamu zalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya hafla ya Maulidi nchini Pakistan

    Oct 01, 2023 02:54

    Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.

  • Rais wa Iran alaani mashambulizi pacha ya kigaidi Pakistan

    Rais wa Iran alaani mashambulizi pacha ya kigaidi Pakistan

    Sep 30, 2023 04:46

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amelaani mashambulizi mawili ya kigaidi yaliuoua makumi ya watu katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan.

  • Katibu Mkuu wa UN: Pakistan ni 'muathirika pacha', inahitaji na inastahiki msaada mkubwa wa jamii ya kimataifa

    Katibu Mkuu wa UN: Pakistan ni 'muathirika pacha', inahitaji na inastahiki msaada mkubwa wa jamii ya kimataifa

    Sep 29, 2023 02:36

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa mwito wa kuungwa mkono Pakistan, ambayo inaendelea kujijenga upya kufuatia mafuriko makubwa ya mwaka jana, na kuitaja nchi hiyo kuwa ni "mwathirika pacha" wa "machafuko ya hali ya hewa" na mfumo "usio wa haki" wa kifedha duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS