Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani

    Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani

    Dec 07, 2018 11:03

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameeleza namna nchi hiyo inavyojuta kwa namna ilivyoamiliana vizuri na Marekani huko nyuma, akisisitiza kuwa Islamabad haitaendelea kuwa kibaraka wa Washington.

  • Kongamano la

    Kongamano la "Rehma kwa Walimwengu" latoa sisitizo kwa Waislamu kuhuisha Uislamu wa Asili

    Nov 23, 2018 01:08

    Taarifa ya mwishoni mwa kongamano la siku mbili lililofanyika mjini Islamabad, Pakistan kwa anuani ya "Rehma kwa Walimwengu" limetoa sisitizo juu ya ulazima wa Waislamu duniani kushikamana na Uislamu wa asili kwa mujibu wa mafundisho ya Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Wapakistani waendelea kuandamana kupinga kuachiwa huru mwanamke aliyevunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Wapakistani waendelea kuandamana kupinga kuachiwa huru mwanamke aliyevunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Nov 01, 2018 12:49

    Maelfu ya watu nchini Pakistan kwa siku ya pili mtawalia hii leo wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Islamabad wakilalamikia kuachiwa huru mwanamke mmoja raia wa nchi hiyo aliyeyavunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • Utayari wa maulamaa wa Pakistan wa kusaidia mchakato wa amani nchini Afghanistan

    Utayari wa maulamaa wa Pakistan wa kusaidia mchakato wa amani nchini Afghanistan

    Oct 07, 2018 03:27

    Maulamaa wa Pakistan wametangaza utayari wao wa kusaidia kuhitimisha vita nchini Afghanistan na kurejesha amani ya kudumu katika nchi hiyo.

  • Maulamaa wa Pakistan na Afghanistan wafikia mwafaka wa kufanya kikao cha pamoja ili kukomesha vita Afghanistan

    Maulamaa wa Pakistan na Afghanistan wafikia mwafaka wa kufanya kikao cha pamoja ili kukomesha vita Afghanistan

    Oct 04, 2018 04:50

    Maulamaa wa Pakistan na Afghanistan wamefikia mwafaka juu ya kufanya kikao cha pamoja kwa madhumuni ya kuhitimisha vita na mapigano nchini Afghanistan.

  • Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Saudi Arabia

    Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Saudi Arabia

    Sep 21, 2018 03:23

    Katika safari yake nchini Saudi Arabia Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo na Mfalme Salman bin Abdul Aziz pamoja na Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo.

  • Kulaaniwa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen na Waziri wa Haki za Binadamu wa Pakistan

    Kulaaniwa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen na Waziri wa Haki za Binadamu wa Pakistan

    Sep 12, 2018 02:31

    Waziri wa Haki za Binadamu wa Pakistan amelaani mauaji ya kizazi ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi madhulumu wa Yemen.

  • Nipigie baada ya dakika 30: Waziri Mkuu wa Pakistan amtaka Rais wa Ufaransa angojee kwenye laini ya simu

    Nipigie baada ya dakika 30: Waziri Mkuu wa Pakistan amtaka Rais wa Ufaransa angojee kwenye laini ya simu

    Sep 01, 2018 21:51

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitakiwa angojee kwa muda wa nusu saa kuzungumza na Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan, baada ya kumpigia simu bila taarifa wakati Waziri Mkuu huyo wa Pakistan akiwa kwenye kikao na shakhsia waandamizi wa vyombo vya habari vya nchi hiyo.

  • Mazungumzo ya Dakta Zarif na Waziri Mkuu wa Pakistan

    Mazungumzo ya Dakta Zarif na Waziri Mkuu wa Pakistan

    Aug 31, 2018 23:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Imrah Khan Waziri Mkuu wa Pakistan aliyechaguliwa hivi karibuni.

  • Zarif: Hatuna mpaka wowote katika kustawisha uhusiano wetu na Pakistan

    Zarif: Hatuna mpaka wowote katika kustawisha uhusiano wetu na Pakistan

    Aug 31, 2018 09:25

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haina mpaka wowote katika kukuza na kustawisha uhusiano wake na jirani yake Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS