Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Safari ya Zarif mjini Islamabad; kufunguliwa ukurasa mpya wa uhusiano wa Iran na Pakistan

    Safari ya Zarif mjini Islamabad; kufunguliwa ukurasa mpya wa uhusiano wa Iran na Pakistan

    Aug 31, 2018 08:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelekea nchini Pakistan kwa safari rasmi ya siku mbili akiwa mwanadiplomasia wa mwanzo wa kigeni kutembelea nchi hiyo na kukutana kwa mazungumzo na maafisa mbalimbali wa serikali mpya chini ya uwaziri mkuu wa Imran Khan.

  • Maandamano ya kilomita 400 yafanyika Pakistan kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW

    Maandamano ya kilomita 400 yafanyika Pakistan kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW

    Aug 30, 2018 03:26

    "Harakati ya Tumeitika Ewe Mjumbe wa Allah" ya nchini Pakistan inayoongozwa na Allamah Khadim Hussein Razavi jana ilianza maandamano yake kutoka mji wa Lahore kuelekea Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo ambayo yanafanyika kwa lengo la kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW nchini Uholanzi.

  • Bunge la Pakistan lalaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw)

    Bunge la Pakistan lalaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw)

    Aug 27, 2018 23:13

    Wawakilishi wa bunge la seneti nchini Pakistan wametoa taarifa ya pamoja ya kulaani kitendo cha chama chenye misimamo ya chuki dhidi ya Uislamu cha Uhuru nchini Uholanzi cha kuendesha mashindano ya katuni dhidi ya Mtukufu Mtume Muhammad (saw).

  • Kuchaguliwa Imran Khan kuwa Waziri Mkuu mpya wa Pakistan

    Kuchaguliwa Imran Khan kuwa Waziri Mkuu mpya wa Pakistan

    Aug 20, 2018 03:26

    Kwa kupata kura 176 za wabunge wa bunge la taifa la Pakistan, Imran Khan, Mkuu wa Chama cha Tehreek-e-Insaf cha Pakistan ametangazwa kuwa Waziri Mkuu wa 22 wa nchi hiyo.

  • Imran Khan aapishwa kama waziri mkuu mpya wa Pakistan

    Imran Khan aapishwa kama waziri mkuu mpya wa Pakistan

    Aug 18, 2018 02:52

    Nyota wa zamani wa mchezo wa cricket nchini Pakistan amechukua nafasi ya waziri mkuu mpya wa nchi hiyo kufuatia idhini ya bunge.

  • Shauku ya Pakistan ya kustawisha zaidi uhusiano wa kibiashara na Iran

    Shauku ya Pakistan ya kustawisha zaidi uhusiano wa kibiashara na Iran

    Aug 06, 2018 02:40

    Mkuu wa Chama cha Tehreek-e-Insaf cha Pakistan ambacho hivi karibuni kiliibuka na ushindi katika uchaguzi wa Bunge, kwa mara nyingine tena ametangaza utayari wake wa kustawisha uhusiano wa pande zote na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Katibu Mkuu wa UN apongeza uchaguzi wa Bunge Pakistan

    Katibu Mkuu wa UN apongeza uchaguzi wa Bunge Pakistan

    Jul 27, 2018 23:03

    Katibu MKuu wa Umoja wa Mataifa ametoa taarifa akipongeza uchaguzi wa Bunge nchini Pakistan na kuutaja kuwa ni hatua nzuri ya kurejesha amani na demokrasia nchini humo.

  • Wasi wasi wa kushiriki baadhi ya wanachama wa zamani wa makundi ya kigaidi katika uchaguzi wa Pakistan

    Wasi wasi wa kushiriki baadhi ya wanachama wa zamani wa makundi ya kigaidi katika uchaguzi wa Pakistan

    Jul 18, 2018 22:35

    Spika wa zamani wa Bunge la Kongresi nchini Pakistan, amekutaja kushiriki kwa baadhi ya viongozi wa zamani wa makundi ya kigaidi katika uchaguzi ujao wa bunge, kuwa ni maafa.

  • Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Jul 15, 2018 23:46

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.

  • Shambulizi la kigaidi Balochistan, nchini Pakistan

    Shambulizi la kigaidi Balochistan, nchini Pakistan

    Jul 14, 2018 07:23

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga mkutano wa kampeni za uchaguzi katika mkoa wa Balochistan nchini Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS