Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Watu 70 wameuawa katika mlipuko uliolenga kampeni za uchaguzi Pakistan

    Watu 70 wameuawa katika mlipuko uliolenga kampeni za uchaguzi Pakistan

    Jul 13, 2018 12:18

    Watu wasiopungua 70 wameuawa hii leo katika mlipuko wa bomu ulioulenga msafara wa kampeni za uchaguzi mkoani Baluchistan kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Jul 06, 2018 09:55

    Mahakama ya Kupambana na Ufisadi ya Pakistan imempata na hatia ya ufisadi wa kifedha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo pamoja na binti yake na kuwahukumu kifungo cha miaka 10 jela.

  • Jumatatu, Mei 28, 2018

    Jumatatu, Mei 28, 2018

    May 27, 2018 23:43

    Leo ni Jumatatu mwezi 12 Ramadhani 1439 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Mei 2018 Milaadia.

  • Joto ambalo halijawahi kushuhudiwa Pakistan laendelea kusababisha maafa

    Joto ambalo halijawahi kushuhudiwa Pakistan laendelea kusababisha maafa

    May 25, 2018 09:19

    Hadi sasa ongezeko la joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa mjini Karachi, Pakistan limesababisha maafa ya makumi ya watu.

  • Wimbi la joto kali laua watu 65 nchini Pakistan

    Wimbi la joto kali laua watu 65 nchini Pakistan

    May 22, 2018 09:18

    Watu wasiopungua 65 wamepoteza maisha kutokana na joto kali linaloshuhudiwa katika mji mkuu wa Pakistan, Karachi.

  • Jeshi la Iran lazima shambulio la kigaidi katika mpaka na Pakistan

    Jeshi la Iran lazima shambulio la kigaidi katika mpaka na Pakistan

    Apr 17, 2018 09:43

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH limefanikiwa kuzima jaribio la shambulizi la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hii na Pakistan, ambapo magaidi watatu wameangamizwa.

  • Wabunge Pakistan walalamikia kunyongwa raia 66 wa nchi hiyo huko Saudia

    Wabunge Pakistan walalamikia kunyongwa raia 66 wa nchi hiyo huko Saudia

    Apr 12, 2018 23:35

    Wawakilishi wa bunge la seneti nchini Pakistan wamelaani hatua ya kunyongwa raia 66 wa nchi hiyio katika kipindi cha miaka mitano pekee iliyopita huko nchini Saudi Arabia.

  • Jumatano,  4 Aprili,  2018

    Jumatano, 4 Aprili, 2018

    Apr 03, 2018 22:03

    Leo ni Jumatano tarehe 17 Rajab 1439 Hijria inayosadifiana na 4 Aprili, 2018.

  • Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir

    Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir

    Apr 02, 2018 02:53

    Watu wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India kufuatia mapigano makali baina ya wanajeshi wa India na wanamgambo wanaopigania kujitenga eneo hilo linalozozaniwa la Himalaya.

  • Pakistan yaionya Marekani kwa kuyawekea vikwazo mashirika yake saba ya nyuklia

    Pakistan yaionya Marekani kwa kuyawekea vikwazo mashirika yake saba ya nyuklia

    Mar 27, 2018 22:08

    Serikali ya Pakistan imetoa radiamali ya onyo kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington ya kuyawekea vikwazo mashirika saba ya nchi hiyo kwa kujihusisha na shughuli za nyuklia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS