Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Khalid Mash'al: Kufanya mapatano na utawala wa Kizayuni ni kulisaliti taifa la Palestina

    Khalid Mash'al: Kufanya mapatano na utawala wa Kizayuni ni kulisaliti taifa la Palestina

    Nov 19, 2021 08:29

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS nje ya nchi amesema mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni kosa kubwa na usaliti kwa taifa la Palestina.

  • Jumamosi, 13 Novemba, 2021

    Jumamosi, 13 Novemba, 2021

    Nov 13, 2021 00:51

    Leo ni Jumamosi tarehe 7 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1443 Hijria mwafaka na tarehe 13 Novemba 2021 Miladia.

  • Israel imewafanyia ujasusi wafanyakazi wa asasi za kirai za Palestina

    Israel imewafanyia ujasusi wafanyakazi wa asasi za kirai za Palestina

    Nov 09, 2021 04:40

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu la Ulaya limefichua kuwa, programu ya kijasusi ya utawala wa Kizayuni ya Pegasus imetumika kuwachunguza na kuwafuatilia wafanyakazi wa asasi za kiraia za Kipalestina, hususan zilizowekwa kwenye eti ya orodha ya ugaidi ya Tel Aviv.

  • Jumapili, Novemba 7 2021

    Jumapili, Novemba 7 2021

    Nov 07, 2021 00:04

    Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Saba Rabiu Thani 1443 Hijria sawa na tarehe 7 Novemba 2021 Milaadia.

  • Mwaka wa 104 tangu kutangazwa Azimio la Balfour na sisitizo la Wapalestina la kuendeleza mapambano

    Mwaka wa 104 tangu kutangazwa Azimio la Balfour na sisitizo la Wapalestina la kuendeleza mapambano

    Nov 05, 2021 05:38

    Huku yakitangaza taathira na madhara ya Azimio la Balfour ambalo lilliunga mkono rasmi kuanzishwa utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina, makundi ya mapambano ya Palestina yamesisitiza juu ya kuendeleza mapambano dhidi ya utawala huo.

  • HAMAS: Hakuna dola lolote linaloweza kuwalazimisha Wapalestina watoke katika ardhi zao

    HAMAS: Hakuna dola lolote linaloweza kuwalazimisha Wapalestina watoke katika ardhi zao

    Nov 03, 2021 04:13

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, hakuna dola lolote duniani lenye uwezo wa kulilazisha taifa la Palesitna liondoke katika ardhi zake na kuzifumbia macho.

  • Jihad Islami yatishia kuingia katika vita vya moja kwa moja na Israel

    Jihad Islami yatishia kuingia katika vita vya moja kwa moja na Israel

    Nov 03, 2021 00:03

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetangaza kuwa itaanzisha vita silaha vya moja kwa moja dhidi ya utawala haramu wa Israel, iwapo utawala huo utaendelea kuwanyanyasa na kuwakandamiza wafungwa wa Kipalestina.

  • Ismail Haniya: Utawala haramu wa Israel umo katika hali ya kudhoofika zaidi

    Ismail Haniya: Utawala haramu wa Israel umo katika hali ya kudhoofika zaidi

    Oct 30, 2021 09:33

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umo katika hali ya kudhoofika sana na katu hauwezi kuwa na ushawishi tena katika eneo la Asia Magharibi.

  • Makundi ya muqawama yaonya kuhusu kuendelea hujuma dhidi ya maeneo matakatifu Palestina

    Makundi ya muqawama yaonya kuhusu kuendelea hujuma dhidi ya maeneo matakatifu Palestina

    Oct 27, 2021 04:39

    Makundi ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina yameuonya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuhusiana na kuendelea uvamizi na hujuma dhidi ya maeneo matakatifu ya Kiiislamu huko Palestina hususan makaburi ya al-Yusufiya huko Quds inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wanawake 33 wa Kipalestina wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha Israel

    Wanawake 33 wa Kipalestina wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha Israel

    Oct 26, 2021 04:30

    Shirika moja huru la kutetea haki za binadamu limesema makumi ya wanawake wa Palestina wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya na yasiyo ya kibinadamu na vyombo vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika gereza la Damon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS