-
HAMAS yaitaka tena Saudi Arabia iwaachilie huru mahabusu wa Kipalestina
Oct 24, 2021 01:05Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kwa mara nyingine tena imeutaka utawala wa Saudi Arabia uwaachilie huru mahabusu wote Wapalestina inaowashikilia na kufunga mafaili yao.
-
UNESCO: Hujuma na jinai za utawala wa Kizayuni Baitul Muqaddas ni batili
Oct 14, 2021 09:32Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limesema, Baitul Muqaddas (Jerusalem) ni mji unaokaliwa kwa mabavu; na hujuma na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya mji huo ni batili.
-
OIC yalaani hatua ya Israel kubomoa makuburi ya Wapalestina Quds
Oct 13, 2021 09:26Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kubomoa makaburi ya Waislamu katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Haniya: Taifa la Palestina litaungana kutetea mji wa Quds na Msikiti wa Al Aqsa
Oct 11, 2021 07:37Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nyumba ya Sheikh Ikrima Sabri na kusisitiza kuhusu mshikamano wa Wapalestina katika kutetea Mji wa Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al Aqsa ulio mjini humo.
-
Muqawama wa Palestina wafanyia majaribio kombora jipya
Oct 10, 2021 23:00Chaneli ya televisheni ya Quds imetangaza kuwa muqawama wa Palestina umefanyia majaribio kombora jipya katika kujizatiti na kuimarisha zaidi nguvu na uwezo wake wa kijeshi.
-
Hamas yawataka Wapalestina wajitayarishe kuutetea Msikiti wa al Aqsa
Oct 09, 2021 04:26Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imewataka Wapalestina wajitayarishe kwa ajili ya kuutetea Msikiti wa al Aqsa bila ya kujali uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kusitisha azma yake ya kuruhusu ibada ya Mayahudi katika eneo hilo tukufu.
-
Wanamapambano Palestina walaani kuvunjiwa heshima Msikiti wa al Aqsa
Oct 08, 2021 13:22Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametangaza kuwa, kuwaruhusu Wayahudi kufanya ibada katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa ni hatua hatari sana inayovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
-
Az-Zahar: Uingereza ndio iliyoandaa mazingira ya Palestina kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Oct 07, 2021 01:06Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, wavamizi wa Kiingereza ndio walioandaa mazingira kwa Wazayuni kuvamia na kuikalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
"Kujipendekeza Abbas kwa Israel kunaashiria kudidimia Mamlaka ya Ndani Palestina"
Oct 05, 2021 04:30Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali hatua ya Mamhoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kujidhalilisha na kuwaangukia miguuni maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, kitendo hicho kinaonesha namna mamlaka hiyo inavyoendelea kudidimia na kusambaratika.
-
Abbas akutana na mawaziri wa Israel usiku wa manane Ramallah
Oct 04, 2021 08:07Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wawili wa utawala haramu wa Israel mjini Ramallah, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.