Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Miaka 21 baada ya Oktoba Mosi 2000; ibra na mazingatio ya Intifadha ya al-Aqswa kwa Wapalestina

    Miaka 21 baada ya Oktoba Mosi 2000; ibra na mazingatio ya Intifadha ya al-Aqswa kwa Wapalestina

    Oct 02, 2021 08:22

    Wananchi wa Palestina wamefanya maandamano kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 21 ya Intifadha ya Quds ambapo wakiwa wamebeba mabango na maberamu wametoa nara za kulaani siasa na jinai za utawala vamizi wa Quds.

  • Maelfu ya Wapalestina wasali Sala ya Ijumaa Quds licha hatua kali za Israel za kuwazuia

    Maelfu ya Wapalestina wasali Sala ya Ijumaa Quds licha hatua kali za Israel za kuwazuia

    Oct 01, 2021 23:05

    Wapalestina wapatao 50,000 jana walisali Sala ya Ijumaa katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa licha ya hatua kali za jeshi la utawala haramu wa Israel la kuwazuia waumini kuingia katika kibla hicho cha kwanza chah Waislamu.

  • Balozi wa Palestina UN: Israel inapanua kwa siri mpango wake wa silaha za nyuklia

    Balozi wa Palestina UN: Israel inapanua kwa siri mpango wake wa silaha za nyuklia

    Sep 30, 2021 00:13

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukipanua kwa siri mpango wake wa silaha za nyuklia na unafanya njama za kukwamisha uhudi za kupatikana eneo lisilo na silaha za nyuklia Asia Magharibi.

  • HAMAS yaishukuru tena Iraq kwa misimamo yake ya kupinga kuanzishwa mapatano na Israel

    HAMAS yaishukuru tena Iraq kwa misimamo yake ya kupinga kuanzishwa mapatano na Israel

    Sep 27, 2021 22:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imeishukuru serikali, makundi ya kisiasa, wazee wa koo na viongozi wa makabila ya Iraq, kwa msimamo wao wa kupinga kuanzishwa mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Jihadul Islami yatoa onyo kali baada ya Israel kuwaua Wapalestina watano

    Jihadul Islami yatoa onyo kali baada ya Israel kuwaua Wapalestina watano

    Sep 27, 2021 04:01

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya utawala huo katili kuwaua shahidi wanamapambano watano wa Palestina.

  • Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu

    Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu

    Sep 26, 2021 01:05

    Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, Palestina ingali maudhui kuu na ya asili katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • HAMAS yalaani vikao vya viongozi wa Palestina na mawaziri, wabunge wa utawala wa Kizayuni

    HAMAS yalaani vikao vya viongozi wa Palestina na mawaziri, wabunge wa utawala wa Kizayuni

    Sep 25, 2021 00:12

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikao vinavyofanywa baina ya maafisa wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas

    Sudan yacheza ngoma ya Wazayuni, yatwaa mali za harakati ya Hamas

    Sep 23, 2021 22:47

    Serikali ya Sudan imefuata nyayo za utawala katili wa Israel na kuchukua hatua ya kutwaa mali na milki za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.

  • Muqawama wa Palestina wakataa mpango wa Israel wa

    Muqawama wa Palestina wakataa mpango wa Israel wa "Uchumi Mkabala wa Usalama"

    Sep 18, 2021 21:54

    Muqawama wa Palestina umesisitizia ulazima wa kuendelea kutoa mashinikizo kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kueleza kwamba hautaruhusu wala kukubali mpango wa Kizayuni wa "Uchumi Mkabala wa Usalama".

  • Hatibu wa al Aqsa: Mapambano ya taifa la Palestina yamezima njama za Israel dhidi ya Al Aqsa

    Hatibu wa al Aqsa: Mapambano ya taifa la Palestina yamezima njama za Israel dhidi ya Al Aqsa

    Sep 15, 2021 08:27

    Hatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesema kuwa mapambano na kusimama kidete kwa taifa la Palestina vimezima na kukwamisha njama za utawala haramu wa Israel za kuudhibiti kikamilifu msikiti huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS