Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS: Wazayuni hawana ubavu wa kuizuia Gaza isiendeleze mapambano ya silaha

    HAMAS: Wazayuni hawana ubavu wa kuizuia Gaza isiendeleze mapambano ya silaha

    Sep 11, 2021 06:51

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuishambulia kwa mabomu Gaza haiwezi kulizuia eneo hilo lisiendeleze mapambano yake ya silaha dhidi ya adui Mzayuni.

  • Israel yaiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka Wapalestina waliotoroka jela

    Israel yaiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka Wapalestina waliotoroka jela

    Sep 10, 2021 08:16

    Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeiomba msaada Jordan kwa ajili ya kuwapata mateka sita Wapalestina waliotoroka jela ya utawala huo ghasibu.

  • Ijumaa,10 Septemba, 2021

    Ijumaa,10 Septemba, 2021

    Sep 09, 2021 22:15

    Leo ni Ijumaa tarehe 3 Safar 1443 Hijria sawa na Septemba 10 mwaka 2021

  • Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria

    Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria

    Sep 09, 2021 06:39

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Algeria imetilia mkazo msimamo wake wa kuendelea kutetea taifa la Palestina na kupinga uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Syria na Libya.

  • Mateka wa Palestina wachoma moto jela nyingine ya Kizayuni

    Mateka wa Palestina wachoma moto jela nyingine ya Kizayuni

    Sep 09, 2021 03:02

    Duru za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa, mateka wa Palestina wamechoma moto jela ya pili ya utawala wa Kizayuni.

  • Mateka Wapalestina wachoma moto jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot

    Mateka Wapalestina wachoma moto jela ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot

    Sep 08, 2021 22:05

    Duru za habari za Kiebrania zimetangaza kuwa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ya Ktzi'ot wamechoma moto vyumba walimowekwa ndani ya jela hiyo.

  • Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa

    Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa

    Sep 06, 2021 06:51

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.

  • HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    HAMAS yawataka Wapalestina wauhami Msikiti wa Aqsa

    Sep 05, 2021 22:34

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.

  • Palestina yataka kuharakishwa kesi ya kuchunguza uhalifu wa Israel mahakama ya ICC

    Palestina yataka kuharakishwa kesi ya kuchunguza uhalifu wa Israel mahakama ya ICC

    Sep 05, 2021 02:49

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imetoa wito wa kuharakishwa mwenendo wa kesi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) huko Hague nchini Uholanzi kwa ajili ya kuchunguza jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Aug 31, 2021 22:53

    Askari wa utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS