-
Mahmoud Abbas 'amewapiga jambia' Wapalestina kwa kukutana na Gantz
Aug 30, 2021 06:52Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amesema kitendo cha Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kukutana na kufanya mazungumzo na Benny Gantz, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel ni sawa na kuwachoma jambia kwa nyuma Wapalestina.
-
Jihad al Islami yasisitizia wajibu wa kupambana na njama zote za Wazayuni
Aug 30, 2021 02:40Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, matamshi ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na wengine, kamwe hayawezi kuudhoofisha muqawama na kwamba makundi ya wanamapambano wa Palesitna yako tayari kukabiliana na upuuzi wowote wa Israel.
-
HAMAS: Wapalestina watapambana ili kujikomboa na kupata uhuru wao
Aug 29, 2021 10:09Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amesema, Wapalestina hawatavumilia katu kufanyiwa mapatano haki zao za kitaifa na watapambana ili kujikomboa na kupata uhuru wao.
-
HAMAS: Rais Mahmoud Abbas anatupatia masharti yale yale ya utawala haramu wa Israel
Aug 28, 2021 22:17Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali misimamo ya Mamhoumd Abbas na kueleza kwamba, Rais huyo wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina akiwa na lengo la kuhitimisha hitilafu za ndani na kukamilisha mpango wa umoja wa kitaifa amekuwa akiipatia harakati hiyo masharti yale yale ya Israel.
-
UN: Jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 Ukingo wa Magharibi
Aug 27, 2021 03:33Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu Kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) limesema jeshi la Israel limeua Wapalestina 59 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu ndani ya mwaka huu 2021 pekee.
-
Wapalestina waandamana kulaani ushirikiano wa kiusalama kati ya Mamalaka ya Ndani na Israel
Aug 26, 2021 22:06Umati mkubwa wa Wapalestina umeandamana katika mji wa Ramallah ulioko kwenye Ufukwe wa Magharibi mwa Mto Jordan kulaani ushirikiano wa kiusalama uliopo kati ya serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Haniya: Upanga wa Quds ulisambaratisha njama za kuuchafua muqawama
Aug 22, 2021 23:03Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema vita vya Saif al Quds (Upanga wa Quds) vilizima njama na juhudi zote za kutaka kuipaka matope kambi ya muqawama.
-
"Kutowajibishwa Israel kumeifanya iendelee kukiuka sheria za kimataifa"
Aug 18, 2021 08:23Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kutoubebesha dhima utawala haramu wa Israel kumeushajiisha na kuupa uthubutu wa kuendelea kukanyaga sheria za kimataifa.
-
Wapalestina 4 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel Ukingo wa Magharibi
Aug 16, 2021 03:10Askari wa utawala haramu wa Israel wamewaua shahidi vijana wanne Wapalestina kwa kuwapiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ijumaa ,13 Agosti, 2021
Aug 12, 2021 21:50Leo ni Ijumaa tarehe 4 Mfunguo Nne Muharram 1443 Hijria sawa na Agosti 13 mwaka 2021.