-
Zarif azungumza na Haniya, asema Iran imesimama pamoja na taifa la Palestina
Nov 19, 2019 01:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amefanya mazungumzo na Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, na kumpongeza kufuatia ushindi wa wanamuqawama (wanamapambano) wa Palestina mbele ya utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko pamoja na taifa la Palestina na inasimama pamoja na wanamapambano shujaa katika Ukanda wa Ghaza."
-
Wanafunzi sita wa Palestina wauawa shahidi katika hujuma za utawala wa Kizayuni
Nov 15, 2019 10:21Wizara ya Elimu ya Palestina imetangaza kuwa, wanafunzi sita Wapalestina wameuawa shahidi kufuatia hujuma za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.
-
Maana ya "kufutwa Israel" katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Nov 15, 2019 09:41Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa sababu ya masaibu ya sasa ya Ulimwengu wa Kiislamu hususan hali ya kusikitisha ya Palestina ni udhaifu wa Umoja wa Waislamu.
-
Iran, muungaji mkono halisi wa Wapalestina katika kukabiliana na Israel
Nov 14, 2019 21:53Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko mstari wa mbele katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika kuwatetea watu wa Palestina.
-
Ijumaa tarehe 15 Novemba 2019
Nov 14, 2019 21:52Leo ni Ijumaa tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka 1441 Hijria sawa na Novemba 15 mwaka 2019.
-
Rais Rouhani: Palestina na Quds ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu
Nov 14, 2019 07:11Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kuwa Palestina na Quds tukufu ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu na kuongeza kuwa: Ulimwengu wa Kiislamu hautawaruhusu maadui kuwafanya walimwengu wasahau kadhia ya Palestina na Quds tukufu.
-
Guterres aitaka Israel ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu huko Palestina
Nov 14, 2019 06:38Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya raia wa Palestina.
-
Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao
Nov 14, 2019 04:33Baada ya utawala haramu wa Kizayuni kukubali masharti ya wanamuqawama wa Palestina, makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Jihadul-Islami yamekubali pendekezo la Misri kwa ajili ya kusimamisha vita.
-
Tawi la kijeshi la Jihadul-Islami lashambulia mkusanyiko wa askari wa utawala wa Kizayuni
Nov 13, 2019 04:39Wanamuqawama wa tawi la Al-Quds la Harakati ya Jihadul-Islami la Palestina, wameshambulia kwa kombora mkusanyiko wa askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo la mashariki mwa Rafah.
-
Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka
Nov 09, 2019 04:22Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu ndani ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni Israel, imezidi kuongezeka huku suala la matatizo ya kisaikolojia likitajwa kuwa ndio sababu.