Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Zarif azungumza na Haniya, asema Iran imesimama pamoja na taifa la Palestina

    Zarif azungumza na Haniya, asema Iran imesimama pamoja na taifa la Palestina

    Nov 19, 2019 01:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amefanya mazungumzo na Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, na kumpongeza kufuatia ushindi wa wanamuqawama (wanamapambano) wa Palestina mbele ya utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko pamoja na taifa la Palestina na inasimama pamoja na wanamapambano shujaa katika Ukanda wa Ghaza."

  • Wanafunzi sita wa Palestina wauawa shahidi katika hujuma za utawala wa Kizayuni

    Wanafunzi sita wa Palestina wauawa shahidi katika hujuma za utawala wa Kizayuni

    Nov 15, 2019 10:21

    Wizara ya Elimu ya Palestina imetangaza kuwa, wanafunzi sita Wapalestina wameuawa shahidi kufuatia hujuma za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza.

  • Maana ya

    Maana ya "kufutwa Israel" katika mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Nov 15, 2019 09:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa sababu ya masaibu ya sasa ya Ulimwengu wa Kiislamu hususan hali ya kusikitisha ya Palestina ni udhaifu wa Umoja wa Waislamu.

  • Iran, muungaji mkono halisi wa Wapalestina katika kukabiliana na Israel

    Iran, muungaji mkono halisi wa Wapalestina katika kukabiliana na Israel

    Nov 14, 2019 21:53

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko mstari wa mbele katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika kuwatetea watu wa Palestina.

  • Ijumaa tarehe 15 Novemba 2019

    Ijumaa tarehe 15 Novemba 2019

    Nov 14, 2019 21:52

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka 1441 Hijria sawa na Novemba 15 mwaka 2019.

  • Rais Rouhani: Palestina na Quds ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu

    Rais Rouhani: Palestina na Quds ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu

    Nov 14, 2019 07:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kuwa Palestina na Quds tukufu ndiyo maudhui kuu ya Umma wa Kiislamu na kuongeza kuwa: Ulimwengu wa Kiislamu hautawaruhusu maadui kuwafanya walimwengu wasahau kadhia ya Palestina na Quds tukufu.

  • Guterres aitaka Israel ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu huko Palestina

    Guterres aitaka Israel ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu huko Palestina

    Nov 14, 2019 06:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya raia wa Palestina.

  • Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Nov 14, 2019 04:33

    Baada ya utawala haramu wa Kizayuni kukubali masharti ya wanamuqawama wa Palestina, makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Jihadul-Islami yamekubali pendekezo la Misri kwa ajili ya kusimamisha vita.

  • Tawi la kijeshi la Jihadul-Islami lashambulia mkusanyiko wa askari wa utawala wa Kizayuni

    Tawi la kijeshi la Jihadul-Islami lashambulia mkusanyiko wa askari wa utawala wa Kizayuni

    Nov 13, 2019 04:39

    Wanamuqawama wa tawi la Al-Quds la Harakati ya Jihadul-Islami la Palestina, wameshambulia kwa kombora mkusanyiko wa askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo la mashariki mwa Rafah.

  • Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka

    Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka

    Nov 09, 2019 04:22

    Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu ndani ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni Israel, imezidi kuongezeka huku suala la matatizo ya kisaikolojia likitajwa kuwa ndio sababu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS