Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Uingereza inamngojea Trump amalize ziara yake ndipo itangaze kulitambua Dola la Palestina

    Uingereza inamngojea Trump amalize ziara yake ndipo itangaze kulitambua Dola la Palestina

    Sep 18, 2025 10:12

    Uingereza itaitambua rasmi Palestina kama Dola mwishoni mwa wiki hii baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhitimisha ziara yake ya kiserikali nchini humo. Hayo yamefichuliwa na gazeti la The i Paper likivinukuu vyanzo vya serikali.

  • Luxembourg kuitambua Palestina katika Mkutano Mkuu wa UN

    Luxembourg kuitambua Palestina katika Mkutano Mkuu wa UN

    Sep 16, 2025 12:07

    Serikali ya Luxembourg imetangaza mpango wake wa kulitambua taifa la Palestina, na hivyo kuungana na mataifa mbalimbali ya Ulaya ambayo yanatarajiwa kutoa tamko sawa na hili katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa baadaye mwezi huu.

  • Namna Ghaza inavyowabebesha jinamizi la kiafya wanajeshi wa Israel

    Namna Ghaza inavyowabebesha jinamizi la kiafya wanajeshi wa Israel

    Sep 16, 2025 02:17

    Makumi ya wanajeshi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel waliovamia Ghaza wameambukizwa magonjwa ya ngozi ya kuambukiza.

  • Je, dunia mara hii ina nia ya kufanikisha kuasisiwa nchi huru ya Palestina?

    Je, dunia mara hii ina nia ya kufanikisha kuasisiwa nchi huru ya Palestina?

    Sep 13, 2025 11:22

    Katika hatua ya kihistoria, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lililopendekezwa na Ufaransa na Saudi Arabia, na kutangaza kuunga mkono kuanzishwa kwa nchi huru la Palestina na kutekelezwa njia ya ufumbuzi wa serikali mbili.

  • UNGA laidhinisha kwa wingi mkubwa sana wa kura

    UNGA laidhinisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" la kuundwa Dola la Palestina

    Sep 13, 2025 03:11

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana, katika muda maalumu na zisizoweza kutenduliwa" kuelekea kwenye uundwaji wa Dola la Palestina.

  • Netanyahu aapa hakutakuwa na Dola la Palestina, asisitiza ardhi yote ni milki ya wazayuni

    Netanyahu aapa hakutakuwa na Dola la Palestina, asisitiza ardhi yote ni milki ya wazayuni

    Sep 12, 2025 10:28

    Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwa, hakutakuwa na dola la Palestina, na kusisitiza kwamba ardhi zote za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu ni milki ya wazayuni.

  • Bunge la Ulaya lataka kutambuliwa rasmi Palestina Huru

    Bunge la Ulaya lataka kutambuliwa rasmi Palestina Huru

    Sep 12, 2025 06:37

    Bunge la Ulaya limepasisha azimio likielezea wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Ukanda wa Gaza, na kuzitaka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuliweka suala la kutambuliwa taifa huru la Palestina kwenye ajenda.

  • Uhispania yamuita nyumbani balozi wake wa Israel

    Uhispania yamuita nyumbani balozi wake wa Israel

    Sep 10, 2025 06:40

    Vyombo vya habari vya Uingereza vimeripoti kuwa Uhispania imemuita tena balozi wake katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) ikilalamikia sera za mauaji za Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Netanyahu na jeshi la kizayuni watoa vitisho vikali kwa Wapalestina: Ondokeni Ghaza sasa hivi!

    Netanyahu na jeshi la kizayuni watoa vitisho vikali kwa Wapalestina: Ondokeni Ghaza sasa hivi!

    Sep 09, 2025 10:28

    Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ametishia kile anachokiita operesheni kali ya ardhini katika mji wa Ghaza, huku akitoa vitisho kwa Wapalestina walioko katika mji huo kwa kuwataka waondoke sasa hivi.

  • Uhispania yataka Israel ifukuzwe kwenye mashindano ya baiskeli

    Uhispania yataka Israel ifukuzwe kwenye mashindano ya baiskeli

    Sep 06, 2025 11:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania ameunga mkono wito wa kuondolewa timu ya waendesha baiskeli ya Israel kwenye mashindano ya mchezo huo yanayoendelea, kufuatia maandamano na malalamiko ya waungaji mkono wa Palestina nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS